Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiingia kwenye web page ya badoo kuna malipo yanajitokeza pale, ambapo unatakiwa kulipia ili uweze kuaccess vizuri members wengine waliopo hiumoMalipo ya nini???
[emoji15] [emoji23] [emoji15] WafuasiNgoja wafuasi wenzako waje.
sasa kwanini ulipie?Ukiingia kwenye web page ya badoo kuna malipo yanajitokeza pale, ambapo unatakiwa kulipia ili uweze kuaccess vizuri members wengine waliopo hiumo
Duh hao members wengine wana nini cha zaidi?Ukiingia kwenye web page ya badoo kuna malipo yanajitokeza pale, ambapo unatakiwa kulipia ili uweze kuaccess vizuri members wengine waliopo hiumo
shogaaaaa yupMtandao wa machangudoa na mashoga
Hakuna namna mkuu.Mkuu jibu lako umeua. Safi.
Jifunze kwa wenzako waliotuma wametoa ushuhuda wa kutosha humu.Duh! Ndo maana kila nikitaka kutuma nasita!!!!
Kule ni danguro mkuu ila kama mtu akiwa kichwa maji atayakoga matusi tu na kuambiwa nina mtu wangukulalek
Hapendi ujinga.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] dadeki kachomoa
Ulipotea sana mkuu, mambo!
Sisi tunaeka pics za wauza mbunye badoo,,kama una ndugu yako katika picha hizo pole sana kikubwa mtafutie shughuli ya kufanya kama unauchungu nae ili aache kuuza mbunye.Naunga mkono hoja. kama kulikua kuna ulazima wa kuweka picha ya mtu basi walau hata sura ikatwe au izibwe. sio vizuri kabisa kuanika watu hapa ukizingatia jf Ina member wengi ndugu zao wa karibu wanaweza kupita hapa wakaona. Mods/ na aliweka picha zao fanyeni utaratibu wa kuziondoa