Mwanamke au mwanaume wako akijiunga Badoo muogope

Mwanamke au mwanaume wako akijiunga Badoo muogope

5d07e2425eaf932528a48ab7b2ea1936.jpg
 
Naunga mkono hoja. kama kulikua kuna ulazima wa kuweka picha ya mtu basi walau hata sura ikatwe au izibwe. sio vizuri kabisa kuanika watu hapa ukizingatia jf Ina member wengi ndugu zao wa karibu wanaweza kupita hapa wakaona. Mods/ na aliweka picha zao fanyeni utaratibu wa kuziondoa
Mnatetea matapeli?[emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji30] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35]
 
Shukuru umekutana na muwazi, mwengine hapo angekuzuga na kukushawihi umtumie vipesa vya kusuka. Haaahaa.
Hata kama angenificha lakini nimtumie hela kidanganyio kusuka, big NO
 
mi nishapiga sana hawa madada wa badoo, sijakumbana na hizo kadhi mnazosema, huwaambia kopa ukifika nakupa, nilikuja kuacha 1 tushaonana wakati naenda nunua condom akadai bby nichukulie na ky, kwa kweli hamu ilinitoka hapo hapo nikisingizia kuumwa na nikaacha mpaka leo, nikatoka
 
mi nishapiga sana hawa madada wa badoo, sijakumbana na hizo kadhi mnazosema, huwaambia kopa ukifika nakupa, nilikuja kuacha 1 tushaonana wakati naenda nunua condom akadai bby nichukulie na ky, kwa kweli hamu ilinitoka hapo hapo nikisingizia kuumwa na nikaacha mpaka leo, nikatoka
Ky mafuta ya joti au?? Mkuu umekimbia kisa Ky[emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Hapafai huko kuna mhindi mmoja alitaka nimbandue, akidai anakubali zagamba za watu weusi. Ni milionea mkubwa tu hapo k/koo akifanya biashara ya mitumba.
Nikamwambia tuma picha nione mzigo, hata sikuamini macho yangu alikua mhindi kweli lakini sio demu bali MDINGI mwenye almost 55.
 
Hapafai huko kuna mhindi mmoja alitaka nimbandue, akidai anakubali zagamba za watu weusi. Ni milionea mkubwa tu hapo k/koo akifanya biashara ya mitumba.
Nikamwambia tuma picha nione mzigo, hata sikuamini macho yangu alikua mhindi kweli lakini sio demu bali MDINGI mwenye almost 55.
Kule ni balaa baba ukiingia kichwa kichwa.
 
mi nishapiga sana hawa madada wa badoo, sijakumbana na hizo kadhi mnazosema, huwaambia kopa ukifika nakupa, nilikuja kuacha 1 tushaonana wakati naenda nunua condom akadai bby nichukulie na ky, kwa kweli hamu ilinitoka hapo hapo nikisingizia kuumwa na nikaacha mpaka leo, nikatoka
Nilishapiga sana pia kule ila changamoto zake ni kubwa na lisipokukuta hili ujue litakukuta hili
 
Back
Top Bottom