SAMBUTHA the king
Member
- Jul 12, 2016
- 89
- 44
Jipuuuuuuuuuuuuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jipuuuuuuuuuuuuu
Kutokana na maelezo yako.uonavyo wewe
Hahahahaha[emoji23]pole
Hahahaha wallah dunia ina mambo[emoji23][emoji23]hadi nmecheka kwa sauti
Mkuu lengo si ilikuwa ni kuonana nae tu! Je kama akija sahv muonane hutamchafua?
HahahahaHahahaaahaaaa, huko huwa hutongozi. Ni straight to the point, na Never pay in advance. Biashara ya huko ni Nipe Nikupe
HahahahhaMimi alinambia anaishi Kimbiji, sasa kila nikicheki GPS inasema yupo kama km2 tu toka nilipo, kwavile kichwa cha chini kilinizidi akili nikamtumia hela, sasa hiyo asubuhi kwenye saa 3 hv, ikafika saa 7 nikamuuliza vp hujafika bado Akajibu yupo kwenye pikipiki, ikafika saa 10 nikamuuliza tena hujafika Akajibu nipo kwenye pikipiki, nikasema duh! Nishaliwa[emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wa badoo wameniliza sanaHahahaha
Hahahahaha nmecheka sn ,ngoja niendelee kupita kusoma izi comments,kuna mtandao unaitwa badoo kumbe hahaha ,polen nyote mlioibiwa inasikitisha sn
Hahahaha pole mkuuMademu wa badoo ni shida,,nishafungishwa safari toka posta mpaka buza two times aiseeee
Hehehe makubwa![]()
Na hawa pia wamejaa badoo[emoji85] [emoji85]
Hahaha maajabu haya dunia,yani inamaanisha io badoo ni mwendo wa pesa tu[emoji23][emoji23][emoji23]poleni mnaohonga
Story zikapigwe wapi hahahaDuh! Safi sana.
Hehehee poleView attachment 450461Huyu mtoto wa kiarabu sijui ana ukweli au ndiyo anataka kufanya yake asubuhi hii.....hajui kama mimi ni Master.
Hahaha![]()
![]()
Wae mnaotafuta kwenye badoo migoma hiyo[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23]