Mwanamke au mwanaume wako akijiunga Badoo muogope

Mwanamke au mwanaume wako akijiunga Badoo muogope

Arabian queen naona umependezwa sana na watu wanavyoingizwa mjini kupitia badoo. Heeheeehee
 
Koh koh koh koh ko ptyuuu
***************************

Mzungu wangu hana shidaaa
Hata simuombi yeye mwenyewe anajua majukumu yake as a man
Msimu wa sikukuu huu zamaaaani muamala ushasomaa
He's a responsible man ever seen before


cc: Smart911


Lazima nikutunze na kukuthamini mahondaw usijali love..
 
Anaemiliki huo mtandao inaonekana ni mtu mwenye njaa sana kuliko wamiliki wote wa social networks duniani.
 
d54dd4058ea69a6e7daace1a120f2f4c.jpg
8692698203326061ad279d2068f3257f.jpg
7f469265aa92a202434e8fe0a74fc08e.jpg


Huyu ni tapeli Mkubwa katika mitandao Ya kijamii hasa hasa badoo nadhani tushauriane kumkamata huyu mtu.maana ni Shida kashawatapeli watu wengi sana.nikiwemo Mimi nilimutumia elfu 10 .kwa Mashati aje tuonane Lkn mwisho wa Siku Ukawa ni maumivu .nimekusudia kuchafua Ktk mitandao yoote ikiwemo .nataka kuprint Picha zake kwa wingi halafu nizisambaze Posta yoote Na. Viunga yake has a Zanzibar Maana amekalia ni mkazi wa huko visiwani.bila uisahau kariakoo.na MAGOMENI.km bujeti Yangu itatosha nafika mpk Arusha Na. Pia kutangaza ktk gazeti la udaku japo moja natummpia tangazo huko.
Babu hebu funguka vizuri ni 10,000 tu au umesahau kuweka ziro 2 hapo mbele,maana kwa hasira hizi sitaki kuamini.
 
Kwa wale wanaoshangaa yanayotokea badoo, ni kwamba ile ni 'dating site'.. Ila sasa naona wadau wengi wanauza na kununua "kazi", na wengine kama hivyo wanatapeliwa. Humo humo kuna vidume vinajifanya ni mademu na kutapeli watu wenye njaa zao [emoji16][emoji16][emoji16].

Kuweni makini wadau, usikubali kununua mbuzi kwenye gunia. Wengi ni matapeli
 
Huu mtandao mbona waliojiunga wengi no watu wenye shida kimaisha. Wasio na ajira,wasio na elimu, wenye kazi duni, mademu wengi wanafanya kazi saloon, bar hata zile za kishua lakini njaa ndio imetawala sana bin mizinga type hizo, akina mama was nyumbani wasio na shughuli, Kwa utafiti wangu in mademu choka mbaya hakuna mboga saba huko. Ni kwanini wadau
upuuzi mtupu
 
mie huu mtandao nishagonga sana na ingekuwa penseli basi ingekuwa ishakwisha kabisa, ila inabidi uwe mjanja na wewe ukicheza unaliwa, cha ajabu mpaka wake za watu nao wanajiuza humu, niliacha siku niliyofatwa na shoga, tena likawa linanibembeleza sana kuwa nikikupa mie utasahau wote niliowahi lala nao, kwa kweli nilidelete account yangu hapo hapo sijataka tena kuingia huu mtandao
 
Back
Top Bottom