Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 67,252
- 168,563
Tehteh ukiniambia nikae pozi kama hilo kwani naweza lipatia tena sasa mweeHayo ndio maneno aisee na hiko kidole mdomon naaam
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tehteh ukiniambia nikae pozi kama hilo kwani naweza lipatia tena sasa mweeHayo ndio maneno aisee na hiko kidole mdomon naaam
Ha ha ha ha hilo lilikuja automatic enhee ki ukwel hako ka avatar tunasababishiana ugomv na smart hv hviTehteh ukiniambia nikae pozi kama hilo kwani naweza lipatia tena sasa mwee
Pesa na utam bhaaasiHahaha maajabu haya dunia,yani inamaanisha io badoo ni mwendo wa pesa tu[emoji23][emoji23][emoji23]poleni mnaohonga
Babu hebu funguka vizuri ni 10,000 tu au umesahau kuweka ziro 2 hapo mbele,maana kwa hasira hizi sitaki kuamini.![]()
![]()
![]()
Huyu ni tapeli Mkubwa katika mitandao Ya kijamii hasa hasa badoo nadhani tushauriane kumkamata huyu mtu.maana ni Shida kashawatapeli watu wengi sana.nikiwemo Mimi nilimutumia elfu 10 .kwa Mashati aje tuonane Lkn mwisho wa Siku Ukawa ni maumivu .nimekusudia kuchafua Ktk mitandao yoote ikiwemo .nataka kuprint Picha zake kwa wingi halafu nizisambaze Posta yoote Na. Viunga yake has a Zanzibar Maana amekalia ni mkazi wa huko visiwani.bila uisahau kariakoo.na MAGOMENI.km bujeti Yangu itatosha nafika mpk Arusha Na. Pia kutangaza ktk gazeti la udaku japo moja natummpia tangazo huko.
Siri Yangu Mkuu .lkn nimelizwa na haitatolezea Tena.najua kuna watu wameshawagi Kupigwa mzigo Wa Maana m huyu demuBabu hebu funguka vizuri ni 10,000 tu au umesahau kuweka ziro 2 hapo mbele,maana kwa hasira hizi sitaki kuamini.
Ple kaka,mi toka nisome habari za hawa watu malipo ni baada ya mechi HAPANA tupa kuleeeSiri Yangu Mkuu .lkn nimelizwa na haitatolezea Tena.najua kuna watu wameshawagi Kupigwa mzigo Wa Maana m huyu demu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] noma sanaPale mpemba alipopigwa pesa ndefu na simu ikazimwa![]()
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] duh hukomi tuu kamanda..Japo umenikombea visenti lakini bado nakupenda tu.![]()
Kwa kila kamanda "NO RETREAT NO SURENDER" ndio mpango mzima[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] duh hukomi tuu kamanda..
upuuzi mtupuHuu mtandao mbona waliojiunga wengi no watu wenye shida kimaisha. Wasio na ajira,wasio na elimu, wenye kazi duni, mademu wengi wanafanya kazi saloon, bar hata zile za kishua lakini njaa ndio imetawala sana bin mizinga type hizo, akina mama was nyumbani wasio na shughuli, Kwa utafiti wangu in mademu choka mbaya hakuna mboga saba huko. Ni kwanini wadau
yaha yaani hao mm najisemea kuibiea kwao ni jambo la kawaida sanaYaani mademu wanaojielewa wako mtaani !
Unafuata malaya badoo? [emoji13] [emoji13] [emoji13]
Wacha tuu muibiwe?