IGUDUNG'WA
JF-Expert Member
- Oct 22, 2011
- 2,071
- 1,317
Ushamla?Muepukeni huyo jambazi la kike na tapeli balaa ukikaa vibaya unaibiwa Simu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ushamla?Muepukeni huyo jambazi la kike na tapeli balaa ukikaa vibaya unaibiwa Simu
Je, ulibahatika kigozi manyoya mkuu? Kazi safi sana.Hii kazi ilinambia inakaa kiwalani
kila siku anabadili profile huyo japo jina ni lile lile MONICAMimi alinambia anaishi Kimbiji, sasa kila nikicheki GPS inasema yupo kama km2 tu toka nilipo, kwavile kichwa cha chini kilinizidi akili nikamtumia hela, sasa hiyo asubuhi kwenye saa 3 hv, ikafika saa 7 nikamuuliza vp hujafika bado Akajibu yupo kwenye pikipiki, ikafika saa 10 nikamuuliza tena hujafika Akajibu nipo kwenye pikipiki, nikasema duh! Nishaliwa[emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huyo kala pesa ni dume mwenzako hiyo picha tuMkuu hapo usijilaumu maana ndipo na pesa yako 'imeliwa kiume'.
Ukimpata hewani mwambie kuna visenti vingine huku aje avimalizie wallah.
ni nani huyo?Kuna mmoja yeye hana longo ukimpigia anakupa mambo yuko
Huyo dada namfahamu vizuri sana anaitwa Zubeda alikuwa anaishi ilala kwa sasa amehamia mbagala nadhani, au kigamboni nimesahau, nataka kukwambia tu hapo umedanganywa kwa picha tu, huyu dada alikuwa anapenda kujaza mipicha yake mitandaoni, wenye kazi na picha wamechukua wamezifanyia kazi, ninayo mpaka namba yake na huwa naongea nae, mara nyingi sana napenda kuwaambia hawa dada zetu, kujaza mipicha yenu mitandaoni hamko salama, itakuja kutumika sivyo mtajuta![]()
![]()
![]()
Huyu ni tapeli Mkubwa katika mitandao Ya kijamii hasa hasa badoo nadhani tushauriane kumkamata huyu mtu.maana ni Shida kashawatapeli watu wengi sana.nikiwemo Mimi nilimutumia elfu 10 .kwa Mashati aje tuonane Lkn mwisho wa Siku Ukawa ni maumivu .nimekusudia kuchafua Ktk mitandao yoote ikiwemo .nataka kuprint Picha zake kwa wingi halafu nizisambaze Posta yoote Na. Viunga yake has a Zanzibar Maana amekalia ni mkazi wa huko visiwani.bila uisahau kariakoo.na MAGOMENI.km bujeti Yangu itatosha nafika mpk Arusha Na. Pia kutangaza ktk gazeti la udaku japo moja natummpia tangazo huko.
aaaah aaah aaah nouma!Hahahaha nmecheka sn kila nkisoma izi post kaa
0673899900
aaaah aaah aaah nouma!
Naona wameambizana bei yao ianzie 40 [emoji12] [emoji12] [emoji12] maana mpaka sasa walio kwenye list kama wanne hivyo same priceKazi kazi![]()
Kumbe hata tuliowagonga ni wanaume eeeh, kiufupi ndipo Malaya walipoamia, sema picha nyingi ni fake wamechukua picha za watu fb ndio wameweka kuna mama ni MTU mzima yupo Moro nimekuta picha zake nikashtuka nikamchokoza nikizani ni yeye kumbe loo ni jitu linajiuza kupitia picha zake na Huyo mama ana watoto wakubwa ni washkaj nataman nikawaambie jinsi picha za mama yao zinavyotumika vibaya kujiuza, mbaya zaidi kila akipost picha mpya fb Malaya anacopy ana paste badoo so ukiwa mjinga unaweza zani ndie akija ni MTU mwingine kabisaaunajua mnatukana wanawake tu bure sometimes mnachart na wanaume wenzenu mnapigwa tu hela
Kweli kabisa! Yaani kuna mkaka nilikutana nae badoo enzi hizo hadi leo tuna urafiki mzuri... Amekua zaidi ya ndugu.
Hapana!! Alihitaji tu mtu wa kumfariji kimawazo!!!Ameshakubandua huyo mkaka au bado?