Mwanamke au mwanaume wako akijiunga Badoo muogope

Mwanamke au mwanaume wako akijiunga Badoo muogope

Badoo inawaibisha na kuwashushia hadhi zao wanawake.

Just imagine upo ofisi moja kali matata sana hapo dar, mle ndani kuna vibinti unafanya navyo kazi ila vina uso wambuzi yaani fully ubize na usmart. Hamaki unafungua laptop yako unaingia badoo na fake id unavikuta kule na vi picha vya ofisi, kwa vile wameruhusu wawe tracked na hio service unaona location ni mita 1. Una muomba urafiki mna chat baadae anataka kukutapeli unamzukia live... vipi mbona hukuja.. basi inakuwa ni aibuuuuu
 
Mimi alinambia anaishi Kimbiji, sasa kila nikicheki GPS inasema yupo kama km2 tu toka nilipo, kwavile kichwa cha chini kilinizidi akili nikamtumia hela, sasa hiyo asubuhi kwenye saa 3 hv, ikafika saa 7 nikamuuliza vp hujafika bado Akajibu yupo kwenye pikipiki, ikafika saa 10 nikamuuliza tena hujafika Akajibu nipo kwenye pikipiki, nikasema duh! Nishaliwa[emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
kila siku anabadili profile huyo japo jina ni lile lile MONICA
 
d54dd4058ea69a6e7daace1a120f2f4c.jpg
8692698203326061ad279d2068f3257f.jpg
7f469265aa92a202434e8fe0a74fc08e.jpg


Huyu ni tapeli Mkubwa katika mitandao Ya kijamii hasa hasa badoo nadhani tushauriane kumkamata huyu mtu.maana ni Shida kashawatapeli watu wengi sana.nikiwemo Mimi nilimutumia elfu 10 .kwa Mashati aje tuonane Lkn mwisho wa Siku Ukawa ni maumivu .nimekusudia kuchafua Ktk mitandao yoote ikiwemo .nataka kuprint Picha zake kwa wingi halafu nizisambaze Posta yoote Na. Viunga yake has a Zanzibar Maana amekalia ni mkazi wa huko visiwani.bila uisahau kariakoo.na MAGOMENI.km bujeti Yangu itatosha nafika mpk Arusha Na. Pia kutangaza ktk gazeti la udaku japo moja natummpia tangazo huko.
Huyo dada namfahamu vizuri sana anaitwa Zubeda alikuwa anaishi ilala kwa sasa amehamia mbagala nadhani, au kigamboni nimesahau, nataka kukwambia tu hapo umedanganywa kwa picha tu, huyu dada alikuwa anapenda kujaza mipicha yake mitandaoni, wenye kazi na picha wamechukua wamezifanyia kazi, ninayo mpaka namba yake na huwa naongea nae, mara nyingi sana napenda kuwaambia hawa dada zetu, kujaza mipicha yenu mitandaoni hamko salama, itakuja kutumika sivyo mtajuta
 
unajua mnatukana wanawake tu bure sometimes mnachart na wanaume wenzenu mnapigwa tu hela
Kumbe hata tuliowagonga ni wanaume eeeh, kiufupi ndipo Malaya walipoamia, sema picha nyingi ni fake wamechukua picha za watu fb ndio wameweka kuna mama ni MTU mzima yupo Moro nimekuta picha zake nikashtuka nikamchokoza nikizani ni yeye kumbe loo ni jitu linajiuza kupitia picha zake na Huyo mama ana watoto wakubwa ni washkaj nataman nikawaambie jinsi picha za mama yao zinavyotumika vibaya kujiuza, mbaya zaidi kila akipost picha mpya fb Malaya anacopy ana paste badoo so ukiwa mjinga unaweza zani ndie akija ni MTU mwingine kabisaa
 
Back
Top Bottom