Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,761
- 216,011
mimi niko organic mkuu.Inamaana hata wewe pia imeshindwa kujitokeza kuwakomboa wanawake wenzako? Au wewe ni white in nature?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mimi niko organic mkuu.Inamaana hata wewe pia imeshindwa kujitokeza kuwakomboa wanawake wenzako? Au wewe ni white in nature?
Harafu wote wanasema.......... naishi Dar kwa Bashite!!Kwanini usiulize hukohuko Badoo??
Ukikua utaifahamu tuNdo nini Badoo?
Sucha romantic womanmimi niko organic mkuu.
Ndio maana nasema lete picha ambazo una uhakika nazo. sio unatapeliwa halafu unalazimisha kuwa mwenye picha ni tapeli wakati hata hamjakutana.Inamaana na wale tuliokwisha wat...mba sio wenyewe au?
[emoji23]Hehehe makubwa
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Mkuu hapo usijilaumu maana ndipo na pesa yako 'imeliwa kiume'.
Ukimpata hewani mwambie kuna visenti vingine huku aje avimalizie wallah.
Hii sasa uongo mume edit ,ebu itizame vizuri io picha kaaa,kuna kamkono pemben ya uyo manamke.
Sasa huyo si ndo mwanaume yuko na kisu chake hapo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hii sasa uongo mume edit ,ebu itizame vizuri io picha kaaa,kuna kamkono pemben ya uyo manamke.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Badoo inawaibisha na kuwashushia hadhi zao wanawake.
Just imagine upo ofisi moja kali matata sana hapo dar, mle ndani kuna vibinti unafanya navyo kazi ila vina uso wambuzi yaani fully ubize na usmart. Hamaki unafungua laptop yako unaingia badoo na fake id unavikuta kule na vi picha vya ofisi, kwa vile wameruhusu wawe tracked na hio service unaona location ni mita 1. Una muomba urafiki mna chat baadae anataka kukutapeli unamzukia live... vipi mbona hukuja.. basi inakuwa ni aibuuuuu
Hahahahahah[emoji23][emoji23][emoji23]kumbeeeSasa huyo si ndo mwanaume yuko na kisu chake hapo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huyu mtoto anaitwa Zubeda a.k.a Zuu,kwao Temeke Mwembe Yanga,sasa hivi anaishi Ilala kuna jamaa kaelewa show kampangia upande.Siri Yangu Mkuu .lkn nimelizwa na haitatolezea Tena.najua kuna watu wameshawagi Kupigwa mzigo Wa Maana m huyu demu
Live bila chenga