Mwanamke au mwanaume wako akijiunga Badoo muogope

Mwanamke au mwanaume wako akijiunga Badoo muogope

ase chapa dudu badoo kipindi flani mpaka ub.oo ulichubuka..
yani nikiingia tu..nachukua namba tatu chap..na log off kati ya tatu mmoja lazma achapike tu
 
Ukiwa na mume yupo badoo andika huna mume

Ukiwa na mke yupo badoo andika huna mke
Huo ndo ukweli badoo umegeuka mtandao kama wa kujiuza hivi

Ukiwa mpenzi wako, bae, dear, honey, boyfriend,girlfriend, yupo kule andika maumivu

Mwanaume wa badoo au mwanamke wa badoo ni wa wengi wala sio wa mmoja au wako peke yako

Halafu badoo kuna wanaume ambao "hawaeleweki" eleweki wanamambo ya 4g
Na wewe unafanya nini huko badoo?
 
Ukijibiwa naomba unitag me mwenyewe sielewi..

badoo what is it??
Ule ni apps ya danguro kuuza na kununua, pia kuchunwa unamtongoza dem Mkali kumbe men,washaliwa ng'ombe wengi sana mmoja alimtumia laki dem baada ya kuonyesha private pics ambazo unalipia elf tano akufungulie unaechat nae kumbe ni men,unauziwa Picha tu.
 
Jamani ingekuwa kila mtu ana mpenz mmoja sasa wengine watakosa wa kudanga nao so hiyo mitandao ipo kwa ajili ya kina sisi mabachela, wenye wapenzi ndo wanatuvurugia mishe zetu hawatosheki, mabachela tunapendana kimpango wetu na tunameet badoo tunapeana namba tunapiga stori weeeeh hadi tunajishtukia tumelalia shuka moja
 
Back
Top Bottom