Sanchez magoli
JF-Expert Member
- Apr 24, 2015
- 4,055
- 8,540
Sawa sawa boss!!! Mawindo mema huko ulipo.Asili ya huu uzi ni screenshots kama hizi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa sawa boss!!! Mawindo mema huko ulipo.Asili ya huu uzi ni screenshots kama hizi.
Sawa sawa boss!!! Mawindo mema huko ulipo.
Huku tiyari nimeshaambiwa ntume pesa ya chipsi!!! Kazi kweli kweli.Hahahahaha
Huku tiyari nimeshaambiwa ntume pesa ya chipsi!!! Kazi kweli kweli.
Mwambie aje aifuate mzeeHuku tiyari nimeshaambiwa ntume pesa ya chipsi!!! Kazi kweli kweli.
Nimemwambia nipo London lounge, aifate ntamuongezea na hela ya kwenda kuhifadhia kwenye kibubu chake cha malengo.
Huku tiyari nimeshaambiwa ntume pesa ya chipsi!!! Kazi kweli kweli.
Hahaha hii kuseviwa chipsi kuku nami nimehisi ivo mkuuDuh HAYA sasa unaanza jufanywa ATM..
Mbaya zaidi anaweza kukusevu "chips kuku"
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna izo mambo!!! Ukishafanya registration kazi yako kubwa ni kuanzia Ku like picha za wadada utakaowaelewa ikitokea picha za unazo like na wao wa ka Ku like pia ndo hapo mnaweza chat free pasipo payment kwaiyo kikubwa we ni Ku jilikia picha za watoto wazuri. Hapa penyewe nipo mawindoni mkuu
unahofia kitu cha mkongo #kasongo, hizo sehemu zenu huwa hazi komoleki mamito. mtunuku tu jamaa
mpaka umekuwa muoga, hahaha nahofo uko nyuma ulikutanaga na njemba iliyokutoa jasho mpk ukasahau pichu!!!
Full kuwindana!!! mitandaoni raha sana
Noma sana BAD-OOView attachment 778131View attachment 778132
Kwa nini mkuu?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Toto la kihaya hilo...
Ukiwa unakula hili zigo jiandae kulala kwenye kona ya kitanda
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji299][emoji299][emoji299]
Mkuu umefaudi hilo zigo hatari.Kichwa nimekikata lakini mkuu sababu za kimaadili!!!mmoja ya criteria yangu kubwa mwanamke awe na tako tu mengine ntavumilia.sio kimtu kimbau mbau unashika shika viu ugoko vyake tu.