Mwanamke au mwanaume wako akijiunga Badoo muogope

Mwanamke au mwanaume wako akijiunga Badoo muogope

Huyo sio msemaji wao, Bali ni mmoja wao. Nashangaa humu JF watu wanachatig nae as if ni Dem, huyo ni gay [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Kwani gay ana shida gani? Muache mwenzako kutetea sio dhambi, kama hutaki umba dunia yako ukakae huko
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] anateseka na mtu asiye mfahamu wala huyo mtu hana tyme na yeye.

Anabakii kuugulia na maumivu yasiyo na shkwaviii.
Woiiiiiiii, achana nae, and stress za life lake.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hata mm nashangaa, tupo ulimwenguni wacha watu waishi maisha yao ili mradi hamkeri mtu. Unakuta hitu linaropoka mfukoni halina hata mia sasa ndio nini, badala ya kupambana lipate kipato limekalia kuzungumaza mambo ya watu, sijui anachimbachimba ili na yeye ajue namna ya kudonolewa kizenji
 
Jamani kuna mtandao unaitwa badoo, yani huko kuna malaya wa kutupwa, siku hizi ukitaka msichana wa fasta we jiunge huko tu, wamezagaaa kama siafu ila kuna kamtimdo wadada wa huko wamebuni kama wanaambizana vile. Ukichati nae tu kidogo utasikia,"naomba niazime 30000 nina shida sana, nitakurudishia ndani ya wiki moja".

Sasa mtu unajiuliza" namkopeshaje fedha mtu ambae sijawahi hata kumuona? Haaahaaa hiyo ndio hatari ya badoo bwana, yani ukikataliwa badoo basi wewe jichunguze una matatizo gani.
Wasichana wengi waliomp badoo ni washamba na wachafu
 
Well said!
Niliwahi kufanya pilot study humo nikajikuta nimekula mhanga chap...please usijaribu kama haupo serious...shetani yupo
 
Jamani kuna mtandao unaitwa badoo, yani huko kuna malaya wa kutupwa, siku hizi ukitaka msichana wa fasta we jiunge huko tu, wamezagaaa kama siafu ila kuna kamtimdo wadada wa huko wamebuni kama wanaambizana vile. Ukichati nae tu kidogo utasikia,"naomba niazime 30000 nina shida sana, nitakurudishia ndani ya wiki moja".

Sasa mtu unajiuliza" namkopeshaje fedha mtu ambae sijawahi hata kumuona? Haaahaaa hiyo ndio hatari ya badoo bwana, yani ukikataliwa badoo basi wewe jichunguze una matatizo gani.
Huo mtandao wana data wanakusanya kutoka kwa individuals mbali na kuwakutanisha watu, ipo siku wakifikia malengo yao watu watabaki uchi hadharani maana yanayoendelea huko siyo madogo
 
Jamani connection ya pisi kali za mzumbe na sua university plzzzz. Moro huku ni bby making weather
 
Back
Top Bottom