ChickMagnet
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 2,676
- 3,451
Nenda ukale watoto grade A mzeeNgoja tuzamie sisi graduates
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nenda ukale watoto grade A mzeeNgoja tuzamie sisi graduates
Hapana bwana ni msimamo wako tu.
Kwani gay ana shida gani? Muache mwenzako kutetea sio dhambi, kama hutaki umba dunia yako ukakae hukoHuyo sio msemaji wao, Bali ni mmoja wao. Nashangaa humu JF watu wanachatig nae as if ni Dem, huyo ni gay [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Hata mm nashangaa, tupo ulimwenguni wacha watu waishi maisha yao ili mradi hamkeri mtu. Unakuta hitu linaropoka mfukoni halina hata mia sasa ndio nini, badala ya kupambana lipate kipato limekalia kuzungumaza mambo ya watu, sijui anachimbachimba ili na yeye ajue namna ya kudonolewa kizenji[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] anateseka na mtu asiye mfahamu wala huyo mtu hana tyme na yeye.
Anabakii kuugulia na maumivu yasiyo na shkwaviii.
Woiiiiiiii, achana nae, and stress za life lake.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mbn hujaweka?Subiri leo usiku naweka link kama zote
Wasichana wengi waliomp badoo ni washamba na wachafuJamani kuna mtandao unaitwa badoo, yani huko kuna malaya wa kutupwa, siku hizi ukitaka msichana wa fasta we jiunge huko tu, wamezagaaa kama siafu ila kuna kamtimdo wadada wa huko wamebuni kama wanaambizana vile. Ukichati nae tu kidogo utasikia,"naomba niazime 30000 nina shida sana, nitakurudishia ndani ya wiki moja".
Sasa mtu unajiuliza" namkopeshaje fedha mtu ambae sijawahi hata kumuona? Haaahaaa hiyo ndio hatari ya badoo bwana, yani ukikataliwa badoo basi wewe jichunguze una matatizo gani.
Eeh wekaUnazitaka?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Well said!
Niliwahi kufanya pilot study humo nikajikuta nimekula mhanga chap...please usijaribu kama haupo serious...shetani yupo
sijaelewa kamaaanisha nni jamaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huo mtandao wana data wanakusanya kutoka kwa individuals mbali na kuwakutanisha watu, ipo siku wakifikia malengo yao watu watabaki uchi hadharani maana yanayoendelea huko siyo madogoJamani kuna mtandao unaitwa badoo, yani huko kuna malaya wa kutupwa, siku hizi ukitaka msichana wa fasta we jiunge huko tu, wamezagaaa kama siafu ila kuna kamtimdo wadada wa huko wamebuni kama wanaambizana vile. Ukichati nae tu kidogo utasikia,"naomba niazime 30000 nina shida sana, nitakurudishia ndani ya wiki moja".
Sasa mtu unajiuliza" namkopeshaje fedha mtu ambae sijawahi hata kumuona? Haaahaaa hiyo ndio hatari ya badoo bwana, yani ukikataliwa badoo basi wewe jichunguze una matatizo gani.
Muambie akueleweshe.sijaelewa kamaaanisha nni jamaa
Hauna hata degree ya kula Malaya badoo Kuna level za malayaWasichana wengi waliomp badoo ni washamba na wachafu
mhanga wa nn?Well said!
Niliwahi kufanya pilot study humo nikajikuta nimekula mhanga chap...please usijaribu kama haupo serious...shetani yupo
Vipi kuhusu tinder?Hauna hata degree ya kula Malaya badoo Kuna level za malaya
Mzumbe kuna pisi yangu tafadhari usiguseJamani connection ya pisi kali za mzumbe na sua university plzzzz. Moro huku ni bby making weather