Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
Hao ni wale last breed ya wanaume waliopotea. Kuna watu wana extreme uvumilivuUna moyo umkute kitandani na umsamehe duu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao ni wale last breed ya wanaume waliopotea. Kuna watu wana extreme uvumilivuUna moyo umkute kitandani na umsamehe duu
Unaweza kuwa na nguvu vizuri tu ila bado umepoa km uji wa juzi,, rafiki yangu utasalitiwa tuKutosha kwa maana ya sex kitandani si kweli, ninachoshukuru nilimpata wa saizi yangu hilo tu
Sema hata makuzi yanachangia, Mi huyo jamaa ningempa vichwa vya kutoshaMaamuzi haya yangenicost sana wakati mwingine nasema ni Binti tu na tamaa zake
[emoji23]Sema hata makuzi yanachangia, Mi huyo jamaa ningempa vichwa vya kutosha
Kweli wanawake hamjui mnataka nn, anyway kwangu haijalishi lakini usaliti sio sifa, usaliti Hauna tuzo, mtu umempa pesa ya kumkidhi saloon ni kila baada ya wiki mbili, anachotaka kapewa, ety usaliti kisa mwanaume kapoa, hapana kwakweli,Unaweza kuwa na nguvu vizuri tu ila bado umepoa km uji wa juzi,, rafiki yangu utasalitiwa tu
Jamaa ni muungwana sana.Unavumiliaje ujinga kama huo!!!!
Yaani nimkute manzi angu na njemba wametoka kutiana niwaache???...Yaani kichapo kingeanza palepale, ningeanza na hako kajamaa kako uchi,ni vifuti vya mapumbu hadi kakinai, manzi nae adhabu yake angejuta kudate namimi.
Au hicho kijamaa kilikuzidi mbavu ndio maana ukawa mnyonge???
Watoto wa Nonde hatukosi beto la kumtoboa mtu tukimshindwa kwa ngumi,
Sinaga simile na mambo ya kijinga.
Baada ya kumfumua ubongo ..kifuatacho?We sijui nikuiteje ukifumania mke ni kumpasua ubongo tu
We fuata ushauri acha kujiulizaBaada ya kumfumua ubongo ..kifuatacho?
Mi sina subira kwa kweli maana, huwezi wakuta watu wametoka kudinyana alafu ukawaacha eti moyo wa subraJamaa ni muungwana sana.
Katika uvumilivu wake hajapoteza lolote.
Natamani ningekuwa na moyo wa subira kama mleta uzi.
Changamka,, jitahidi kuongeza uchangamfu tunadharau sana mwanaume anaesamehe usaliti tena ulioshuhudia kwa macho yako na ushahidi wote,,Kweli wanawake hamjui mnataka nn, anyway kwangu haijalishi lakini usaliti sio sifa, usaliti Hauna tuzo, mtu umempa pesa ya kumkidhi saloon ni kila baada ya wiki mbili, anachotaka kapewa, ety usaliti kisa mwanaume kapoa, hapana kwakweli,
Mimi siwezi badirishwa kisa mwanamke, naamin kama alitaka mwanaume aliechangamka kashampata tayari na ndo maana alikua anaweza kudanganywa wanabadirisha majina kila nikifumania text (huu ni aina nyingine ya ujinga wa mwanamke mpumbavu)
Naamini wa type yangu yupo na nitakuwa comfortable nae
Hahaha wapenda mikikimikiki eeWakaka km wewe mmepooa hadi kwa bed mko hivyo hivyo Yani,, uzuri wenu hampigagi matukio ila sasa ndo hivyo hamtutoshi vizuri
Ni mnyonge huyo, yaani!!!!! Ila hatufanani mioyoYani mtoa mada ulivyopoa 😂😂😂Hadi kero mnakuwaga sio watundu kabisa nyie,, demu umemkuta na mtu na bado ukaendelea kujipendekeza 🤣🤣aina yako simtaki aisee
Sina hiyo experience ya kufumania, sijui ikitokea itakuajeMi sina subira kwa kweli maana, huwezi wakuta watu wametoka kudinyana alafu ukawaacha eti moyo wa subra
Nawewe ni wale wale kama mtoa mada
Wakaka km wewe mmepooa hadi kwa bed mko hivyo hivyo Yani,, uzuri wenu hampigagi matukio ila sasa ndo hivyo hamtutoshi vizuri
Kuna utulivu wa nje ila kwa bed mafia huyo sawa ila kwa mwandiko wake huyu mtulivu pote😂😂😂Utulivu hampendi kabisa au sio.....
Huu sio unyonge ni ufalaNi mnyonge huyo, yaani!!!!! Ila hatufanani mioyo
Eeeh sio tumekaa sebuleni tunaangaliana km waandishi wa habari wakimrikodi rais kwenye mkutano,, inatakiwa unibonyeze tako, unikonyeze,, ushike simu yangu uikague kague,, unitekenye unibusu,, nk namna hiyo yaniHahaha wapenda mikikimikiki ee