Mwanamke: Dalili kwamba very soon utaisaliti ndoa yako

Mwanamke: Dalili kwamba very soon utaisaliti ndoa yako

Usiombe mwanamke akuchoke, hapo ndiyo utaijua shubili ya mapenzi.

Usiombe mwanamke akayazoe maumivu kutokana na yale mabaya unayomtendea na kupelekea maumivu, kisha akamwaga chozi lake, pasipo kulithamini ukarudia tena makosa yale yale, utajuta kubarehe na kuingia katika dunia ya mapenzi.
 
Daaanh kama mtu atabisha basi tena!!!!!!
The Boss unasema!!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Weli said, ila title kama haiko sawa,katika point nyingi ulizozitoa na jinsi ulivyoelezea yote yanasababishwa na wanaume,unaonaje hili likawa funzo kwa wanaume kuwasaidia wake zao wasiwasaliti.
 
Usiombe mwanamke akuchoke, hapo ndiyo utaijua shubili ya mapenzi.

Usiombe mwanamke akayazoe maumivu kutokana na yale mabaya unayomtendea na kupelekea maumivu, kisha akamwaga chozi lake, pasipo kulithamini ukarudia tena makosa yale yale, utajuta kubarehe na kuingia katika dunia ya mapenzi.
Kweli kabisa.
 
Weli said, ila title kama haiko sawa,katika point nyingi ulizozitoa na jinsi ulivyoelezea yote yanasababishwa na wanaume,unaonaje hili likawa funzo kwa wanaume kuwasaidia wake zao wasiwasaliti.

Mmmmmh naona everlenk umeamua haswa!!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Usiombe mwanamke akuchoke, hapo ndiyo utaijua shubili ya mapenzi.

Usiombe mwanamke akayazoe maumivu kutokana na yale mabaya unayomtendea na kupelekea maumivu, kisha akamwaga chozi lake, pasipo kulithamini ukarudia tena makosa yale yale, utajuta kubarehe na kuingia katika dunia ya mapenzi.

Hii aya ya PILI sijui kuna mtu kakuelewa? Umeongea point nzito sana,kula like 10000!!!!
 
Kaka Mtambuzi, kwenye hoja za namna hii huwa nakuvulia kofia ....
Uzi umejaa uchambuzi wenye ukweli na uhalisia wa maishaa.
 
Last edited by a moderator:
Okey, thank you!!! Ila hata nawe kwenye thread moja unafunguka kweli na babu.

Ha ha haaaaa everlenk unajua kuna vitu kama ukikosea stepu kuvijua basi unakuwa kundi bovu sasa kama knowledge ipo humu kwa nini nisihakikishe naelewa!!!!!!?????

Kama ile kule au hii hapa is all about how women keep it going..........nahitaji kujua vema
 
Last edited by a moderator:
Ha ha haaaaa everlenk unajua kuna vitu kama ukikosea stepu kuvijua basi unakuwa kundi bovu sasa kama knowledge ipo humu kwa nini nisihakikishe naelewa!!!!!!?????

Kama ile kule au hii hapa is all about how women keep it going..........nahitaji kujua vema

Haya bana! Ila ujue sisi viumbe ni complicated sana, kila siku utapata Mapya,basi chukua mazuri kayatendee kazi using kuchapiwa,lolz
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom