Mwanamke: Dalili kwamba very soon utaisaliti ndoa yako


Umenitonesha kidonda kilichoanza kupona
Haswa kwenye hiyo no.3
 
Mtambuzi una elimu sawia sana hasa kwa hawa teamRafiki ,wakifanya mistake advantage kwetu team B

Hapo mnapewa elimu na mkuu Mtambuzi kuwa mambo yenu yanasababisha wake zenu waje watafute ahueni timu pendwa!!!!!!

Kalagabaho!!!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Haya bana! Ila ujue sisi viumbe ni complicated sana, kila siku utapata Mapya,basi chukua mazuri kayatendee kazi using kuchapiwa,lolz

Na complicated viumbe needs complicated treatment sasa bila kujimix na wanaojua si itabaki siri ya ndani........frankly humu najifunza mengi and rest assured the knowledge bank is getting turgid!!!!
 
Na complicated viumbe needs complicated treatment sasa bila kujimix na wanaojua si itabaki siri ya ndani........frankly humu najifunza mengi and rest assured the knowledge bank is getting turgid!!!!
Good, nanyolai wewe!!!!!!!!
 
I hope ujumbe umefika kwa kina kaka mtuelewe,mwanamke anaekupenda kwa dhati kucheat sio rahisi aisee,

Hapo ndipo umesema kweli. İla kwa mwanaume kucheat ni inevitable. kwahiyo wanaume tucheat reşponsibly. Baaas.
 
Kweli ndoa ni zaidi ya chuo kikuu
 
umesema kweli ila wanawake nao huwa hawana ustamilivu linapompata yeye.
 
Hapo kwa kutokusema kwamba umeolewa ni dhambi kubwa sana, ndio wanaofanya wengine tuje kuumizwa baadae.
 
Hapo ndipo umesema kweli. İla kwa mwanaume kucheat ni inevitable. kwahiyo wanaume tucheat reşponsibly. Baaas.

mhhhh acheni kucheat bwn za wake zenu hazitoshi?...inauma ujue...au dont let her find out
 
mhhhh acheni kucheat bwn za wake zenu hazitoshi?...inauma ujue...au dont let her find out

Thats what i meant. kucheat reşponsibly ni pamoja na sio tu kumfanya asijue, bali asihisi kabisa.

Za wake zetu hazitoshi????? Well K moja haijawahi kumtosha mwanaume mmoja. Hata kama huwa haijai.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…