Mwanamke hata kabla hujamtongoza anakuwa amesha tambua lengo lako kupitia lugha ya macho

Mwanamke hata kabla hujamtongoza anakuwa amesha tambua lengo lako kupitia lugha ya macho

Charlez kanumba

Senior Member
Joined
Nov 2, 2024
Posts
187
Reaction score
501
ikitokea umekutana na mwanamke akakuvutia kwa mara ya kwanza na ukamtazama directly machoni/usoni.

Basi tambua ubongo wa huyo mwanamke unaanza kukudescribe papo kwa hapo kama unafaa kuwa nae au hufai, na baadae huyo mwanamke hukaa na kukufikiria kisha atajipa jibu yeye mwenyewe kama ni YES au NO(kumbuka hapo bado hujamtongoza bali umemtazama machoni tu!

Mfano atakuwa akiwaza hivi--jamani yule kaka ni mtanashati natamani angekuwa husband wangu!/ aisee yule mkaka mchafu hivi ana mpenzi kweli?)

Sasa baadae ukija kumtongoza akikupa jibu la YES au NO amini anacho kwambia sababu alisha tambua lengo lako kabla kupitia lugha ya macho ulipomtazama na alipata muda wa kukufikiria since day one alipo kuona, Ndio maana mwanaume unaushauriwa kujiweka nadhifu muda wote.

Sababu mwanamke atakavyo kuona siku ya kwanza ndivyo atakavyo kuchukulia.

Hii ni code nimepewa na mdada nami sijawa mchoyo nimewasirisha
 
Basi utakuwa bado mtoto Kama Leo ndo umejua Hilo wazee tunalielewa.
Kwamba hapo ulipo mwanamke akiwa anakuijia kichwa yako huwa haisomi kwamba huyu anakuja kwa Nia gani?..
Kwa ulimwengu wa Sasa wewe hakikisha mfuko wako unajiweza hayo mengine Dunia ishahama huko
 
Upo sahihi kwa mwanzo wenu wa kukutana (mwanamke yoyote hata awe boss tajiri ukimtongoza kwa kujiamini atakupa jibu la YES), shida ni atataka akujue zaidi, licha ya kukubali ombi lako.

Akija kugundua wewe ni kapuro, anakupiga chini mchana kweupe..... shida sio mwanzo, bali je kuna vigezo vyake vingine atahitaji kuvifahamu.
 
ikitokea umekutana na mwanamke akakuvutia kwa mara ya kwanza na ukamtazama directly machoni/usoni.

Basi tambua ubongo wa huyo mwanamke unaanza kukudescribe papo kwa hapo kama unafaa kuwa nae au hufai, na baadae huyo mwanamke hukaa na kukufikiria kisha atajipa jibu yeye mwenyewe kama ni YES au NO(kumbuka hapo bado hujamtongoza bali umemtazama machoni tu!

Mfano atakuwa akiwaza hivi--jamani yule kaka ni mtanashati natamani angekuwa husband wangu!/ aisee yule mkaka mchafu hivi ana mpenzi kweli?)

Sasa baadae ukija kumtongoza akikupa jibu la YES au NO amini anacho kwambia sababu alisha tambua lengo lako kabla kupitia lugha ya macho ulipomtazama na alipata muda wa kukufikiria since day one alipo kuona, Ndio maana mwanaume unaushauriwa kujiweka nadhifu muda wote.

Sababu mwanamke atakavyo kuona siku ya kwanza ndivyo atakavyo kuchukulia.

Hii ni code nimepewa na mdada nami sijawa mchoyo nimewasirisha
Mchango wako katika taifa ni zero kabisa! Kwahiyo kukubaliwa au kukataliwa na mwanamke kunaathiri kitu gani katika maisha yako mpaka ugharamike kukaa nadhifu kisa eti nipendwe na mwanamke! Ndo maana mnaambiwa tafuta hela! Pochi kama imeshiba utagombaniwa! Mxiuuuuh!
 
Back
Top Bottom