Mwanamke hata umfanyie Haya yote, Ila Tambua...

mwenzako katoka kutoa milioni 3 na nusu pale resort ili atolewe mnaso wa topeni.. we endelea tu mzee baba.
 
Jamani mtupumzishe. Tafteni Pesa Kwanza maana rich men don't complain but these small boys who call themselves hustlers. Kila siku thread mpya kuhusu wanawake

Your manipulation game is too old!

kwamba unasisitiza wanaume watafute kwanza hela wakishazipata ndio waanze kufikiria wanawake, wanawake hao hao ambao ukiwahonga Iphone X wanaitumia kutuma picha za uchi kwa vi-boyfriend vyao vya zamani vilivyowatoa bikra, wanawake hao hao ambao ukiwahonga IST wanaigeuza gest kwa kugongewa na visharobaro vyenye six packs, wanawake hao hoa ambao ukiwapangishia apartment wanaligeuza danguro na siku ukitaka kuja anakwambia umpe taarifa kwanza ili usije ukajionea maajabu.

Nyie watu hamna jema!! nawahurumia tu wanaume ambao bado wana waamini na kufuata ushauri wenu kama huu unaoutoa hapa! eti tafutenj hela..[emoji23][emoji23]
 
The truth is wanawake hawajui nini wanataka. Maamuzi yao si logical.. yanategemea emotions. Ndio maana anaeza akasema anahitaj pesa.. kesho yake akahitaji kingine kabisa.

So usiwachukulie serious.

Wow!!

Kama inawezekana waambie moderators wachukue angalau nusu ya likes zote nilizonazo kisha wakupe wewe kwa ajiri ya hii comment. Safi sana mkuu hii comment yako imeshiba mno
 

ahahahaha!!! manyoko zake mfikishie hili tusi hiyo boya.
 
Mpe hela mwanamke ili avue chupi kirahis, ila usimhudumie.
 
mpe pole sana na atawahi kufa huyo jamaa.
 
sio kweli mbona mi wangu namgegeda mwenyewe tu
 
Mwana anahonga samsung s10 dem anatumia kupigia nude atutumie..
Hii dunia sio fair
 
Mwanamke ni mtu pekee aliyeongea na shetani direct na hatujui waliongea nn tofauti na kudanganywa kula lile tunda so hawa watu hawawezekani kirahisi jamani tukubali tukatae ila ukifanya tafiti utaelewa tuu anayekataa anakuwa tu ameamua kuziba masikio yake na macho .
 
volume inakata na kurudi hasa spika ya kushoto walipokaa wenye pochi nene, huku kwetu iko sawa
 
Hao wanawake wasiojielewa tu.... Chumba akipangisha Y basi hakuna X wala kiumbe mwingine yeyote atalala humo zaidi ya Y mwenyewe.... The same na huko kwenye magari na nini na nini.........
 
Hivi kumbe wanawake wote duniani wako hivyo? Halafu Lizarazu bwana wanawake tukitaja maovu yenu mnasema tuna stress tunawachukia wanaume na tunawasingizia ila ninyi mkitaja maovu yetu huwa hamna stress na mnajiona mko sahihi kabisa si eti?
 
Wow!!

Kama inawezekana waambie moderators wachukue angalau nusu ya likes zote nilizonazo kisha wakupe wewe kwa ajiri ya hii comment. Safi sana mkuu hii comment yako imeshiba mno
Kama ambavyo unaona mimi sijawahi kuongelea jema lolote kuhusu wanaume na wewe naomba unionyeshe comment yako yoyote kwenye thread yoyote ambayo umewahi kuongelea jema lolote kuhusu wanawake you always see women as a problem and what about men? Innocent huh? Siyo bure hata wewe umeshawahi kuumizwa kwenye mapenzi masikini pole yote maisha tu
 
Na hao wasiojielewa(kwa mujibu ya hii comment) wako wengi sana kuliko wanaojielwa.
Kama wanaume tu yaani wasiojielewa ndiyo wako wengi kuliko wanaojielewa sasa sijui tunafanyaje yaani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…