Mwanamke hata umfanyie Haya yote, Ila Tambua...

Mwanamke hata umfanyie Haya yote, Ila Tambua...

mwenzako katoka kutoa milioni 3 na nusu pale resort ili atolewe mnaso wa topeni.. we endelea tu mzee baba.
 
Jamani mtupumzishe. Tafteni Pesa Kwanza maana rich men don't complain but these small boys who call themselves hustlers. Kila siku thread mpya kuhusu wanawake

Your manipulation game is too old!

kwamba unasisitiza wanaume watafute kwanza hela wakishazipata ndio waanze kufikiria wanawake, wanawake hao hao ambao ukiwahonga Iphone X wanaitumia kutuma picha za uchi kwa vi-boyfriend vyao vya zamani vilivyowatoa bikra, wanawake hao hao ambao ukiwahonga IST wanaigeuza gest kwa kugongewa na visharobaro vyenye six packs, wanawake hao hoa ambao ukiwapangishia apartment wanaligeuza danguro na siku ukitaka kuja anakwambia umpe taarifa kwanza ili usije ukajionea maajabu.

Nyie watu hamna jema!! nawahurumia tu wanaume ambao bado wana waamini na kufuata ushauri wenu kama huu unaoutoa hapa! eti tafutenj hela..[emoji23][emoji23]
 
The truth is wanawake hawajui nini wanataka. Maamuzi yao si logical.. yanategemea emotions. Ndio maana anaeza akasema anahitaj pesa.. kesho yake akahitaji kingine kabisa.

So usiwachukulie serious.

Wow!!

Kama inawezekana waambie moderators wachukue angalau nusu ya likes zote nilizonazo kisha wakupe wewe kwa ajiri ya hii comment. Safi sana mkuu hii comment yako imeshiba mno
 
Dah ku*****ke kuna boya moja linakaa Moro lina gereji linapigwa mizinga na dem analizarau kis***nge. Yaan boya linamtumia dem daily hela ya kula 5k na gharama zingne na gheto kampangishia,,,na simu kali. Afu kuna kiboya flan ivi kinahongwa na huyo dem kwa hela za huyo jamaaa. Na anakazwa ndan ya hilo gheto.


Ww Ib ni faraaa

ahahahaha!!! manyoko zake mfikishie hili tusi hiyo boya.
 
Your manipulation game is too old!
kwamba unasisitiza wanaume watafute kwanza hela wakishazipata ndio waanze kufikiria wanawake, wanawake hao hao ambao ukiwahonga Iphone X wanaitumia kutuma picha za uchi kwa vi-boyfriend vyao vya zamani vilivyowatoa bikra, wanawake hao hao ambao ukiwahonga IST wanaigeuza gest kwa kugongewa na visharobaro vyenye six packs, wanawake hao hoa ambao ukiwapangishia apartment wanaligeuza danguro na siku ukitaka kuja anakwambia umpe taarifa kwanza ili usije ukajionea maajabu.
Nyie watu hamna jema!! nawahurumia tu wanaume ambao bado wana waamini na kufuata ushauri wenu kama huu unaoutoa hapa! eti tafutenj hela..[emoji23][emoji23]
Mpe hela mwanamke ili avue chupi kirahis, ila usimhudumie.
 
Dah ku*****ke kuna boya moja linakaa Moro lina gereji linapigwa mizinga na dem analizarau kis***nge. Yaan boya linamtumia dem daily hela ya kula 5k na gharama zingne na gheto kampangishia,,,na simu kali. Afu kuna kiboya flan ivi kinahongwa na huyo dem kwa hela za huyo jamaaa. Na anakazwa ndan ya hilo gheto.
Ww Ib ni faraaa
mpe pole sana na atawahi kufa huyo jamaa.
 
sio kweli mbona mi wangu namgegeda mwenyewe tu
 
Mwana anahonga samsung s10 dem anatumia kupigia nude atutumie..
Hii dunia sio fair
 
Mwanamke ni mtu pekee aliyeongea na shetani direct na hatujui waliongea nn tofauti na kudanganywa kula lile tunda so hawa watu hawawezekani kirahisi jamani tukubali tukatae ila ukifanya tafiti utaelewa tuu anayekataa anakuwa tu ameamua kuziba masikio yake na macho .
 
Kuna msemo huwa una tumiwa na mabaharia kuwa "Ukianza kuwaelewa wanawake wanachohitaji kwenye maisha yao Basi ujue unakaribia kufa"

Ni Mara kibao nimekutana na Matajiri wengi wakilia sana kisa mapenzi,Ila cha ajabu wanawake wanadai mapenzi ni pesa,Sasa huwa najiuliza ni kitu gani huwafanya matajiri hawa kulia licha ya kuwahudumia wanawake wao kwa kila kitu,

Ndo nikagundua haya[emoji116][emoji116]

[emoji117]Ukimnunulia simu mpenzi wako tambua kuwa sisi tutampigia video call usiku na atatuonyesha chupi aliyo vaa tena uliyo mnunulia wew,,Usipanic bro,ni kiherehere chako.

[emoji117]Ukimpangishia nyumba,Tambua sisi tutaingia humo na kumkaza vizuri tena na maji tutaoga,,,Acha kulia,jifute machozi bro ni sifa zako zimekuponza.

[emoji117]Ukimnunulia gari tambua kuna bishoo flani utakutana nalo linaliendesha, tena likiwa na demu mwingne,,,,Tulia fala wew nikueleze.

[emoji117]Mwanamke ukizidisha kumhonga kumbuka ndo mwanzo wa kukudharau mpaka kukuita majina ya ajabu mbele za mashoga zake,,,,Acha ufala bro,hzo pesa jenga nyumba upangishe.

[emoji117]Wanawake wakiwa mbele za watu uta wasikia "Eti oooh mwanaume pochi bhana ma-six packs yanini" Huku wakiona mwanaume mwenye six packs akili zina wahama,Bro nikwambie tu ukweli,kama mwanaume kakupendea pesa ila tambua lzm awe na kijana aliyejazia wakufanyia show off kwa mashoga zake,,,Tulia nikupe maujanja pimbi wew.

[emoji117]Hii Dunia ya sasa kitu cha kujivunia ni nguvu za kiume Alafu pesa,ukiwa navyo hvyo vitu viwili basi ujue hii Dunia ni yako,,,,Sasa kunguni wew jifanye kutafuta pesa tu huku nguvu za kiume huna,hzo pesa zitaishia kwa mabisho wenye six packs.

Volume iko Sawa huko,,,,??
volume inakata na kurudi hasa spika ya kushoto walipokaa wenye pochi nene, huku kwetu iko sawa
 
Hao wanawake wasiojielewa tu.... Chumba akipangisha Y basi hakuna X wala kiumbe mwingine yeyote atalala humo zaidi ya Y mwenyewe.... The same na huko kwenye magari na nini na nini.........
 
Hivi kumbe wanawake wote duniani wako hivyo? Halafu Lizarazu bwana wanawake tukitaja maovu yenu mnasema tuna stress tunawachukia wanaume na tunawasingizia ila ninyi mkitaja maovu yetu huwa hamna stress na mnajiona mko sahihi kabisa si eti?
Your manipulation game is too old!

kwamba unasisitiza wanaume watafute kwanza hela wakishazipata ndio waanze kufikiria wanawake, wanawake hao hao ambao ukiwahonga Iphone X wanaitumia kutuma picha za uchi kwa vi-boyfriend vyao vya zamani vilivyowatoa bikra, wanawake hao hao ambao ukiwahonga IST wanaigeuza gest kwa kugongewa na visharobaro vyenye six packs, wanawake hao hoa ambao ukiwapangishia apartment wanaligeuza danguro na siku ukitaka kuja anakwambia umpe taarifa kwanza ili usije ukajionea maajabu.

Nyie watu hamna jema!! nawahurumia tu wanaume ambao bado wana waamini na kufuata ushauri wenu kama huu unaoutoa hapa! eti tafutenj hela..[emoji23][emoji23]
 
Wow!!

Kama inawezekana waambie moderators wachukue angalau nusu ya likes zote nilizonazo kisha wakupe wewe kwa ajiri ya hii comment. Safi sana mkuu hii comment yako imeshiba mno
Kama ambavyo unaona mimi sijawahi kuongelea jema lolote kuhusu wanaume na wewe naomba unionyeshe comment yako yoyote kwenye thread yoyote ambayo umewahi kuongelea jema lolote kuhusu wanawake you always see women as a problem and what about men? Innocent huh? Siyo bure hata wewe umeshawahi kuumizwa kwenye mapenzi masikini pole yote maisha tu
 
Na hao wasiojielewa(kwa mujibu ya hii comment) wako wengi sana kuliko wanaojielwa.
Kama wanaume tu yaani wasiojielewa ndiyo wako wengi kuliko wanaojielewa sasa sijui tunafanyaje yaani
 
Back
Top Bottom