Mwanamke hata umfanyie Haya yote, Ila Tambua...

Edelyn katika jina jingine hahaaa...we usipoolewa na mimi basi Wanaume watanyanyasika tu kwako, yani unahitaji kuwa na Kidume kama mimi ili nikutibu matatizo yako kimahaba na kisaikolojia [emoji4]
Marianah[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kipi kinaendelea hapa wanabodi???
 
Kuwa na six packs haihusiani na nguvu za kiume.. Baadhi wana nguvu za kuliwa tigo bro,... Hizo nyama tu,.. Nguvu za kiume ni kitu tofauti kabisa,.. Hujasikia wanajeshi wakigongewa?... Kusugua ni kipaji kingine kabisa
 
Edelyn katika jina jingine hahaaa...we usipoolewa na mimi basi Wanaume watanyanyasika tu kwako, yani unahitaji kuwa na Kidume kama mimi ili nikutibu matatizo yako kimahaba na kisaikolojia [emoji4]

Mkuu niko tayari kutoa ushirikiano kadri ya uwezo wangu wote nilionao katika kutimiza hili unalosema hapa!

Ukimtuliza huyu mwanamke utakuwa umefanya jambo kubwa kijamii.
 
Nyie wote baba yenu mmoja
 
Nyie wote baba yenu mmoja
Hiki ndicho ninachokipinga.
Huwezi ukanitreat Mimi vibaya kwa sababu ya makosa ya mtu mwingine,,yaani Ni uonezi na sideserve hayo kabisa.
Mimi Ni Mimi, Mimi Sio mtu mwingine yoyote.
Acheni kutuletea stress za watu wengine,mnatuonea
 
Mkuu niko tayari kutoa ushirikiano kadri ya uwezo wangu wote nilionao katika kutimiza hili unalosema hapa!

Ukimtuliza huyu mwanamke utakuwa umefanya jambo kubwa kijamii.
Ushirikiano gani!??[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi nyie mnamjua huyo!??
Mna uhakika ana matatizo au mnafanya assumptions ambazo hazipo!??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ushirikiano gani!??[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi nyie mnamjua huyo!??
Mna uhakika ana matatizo au mnafanya assumptions ambazo hazipo!??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

tufahamishe basi kama unamjua vizuri kuliko sisi
 
Ukitaka usipate tabu na hawa watu, ukiwa naye jione kama haunaye na ukiwa haunaye jione kama unaye. Sheria hii ni muhimu sana, watakuheshimu ukiwapata na hutopata tabu ukiwakosa
 
Ni matajiri wangapi wanahudumia vizur lakin wanawake zao wanachepuka? Wamekosa pesa? Wamekosa matunzo? No
Hawatabiriki hawa. Unaweza ukawapa BOT.. akaja kuliwa na dereva toyo
Na jamaa wa toyo wanawanufaika Sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Asante sana Mzee Baba, hizo baraka zako nimejiandaa kuzipokea hivi punde ngoja kwanza Bibiye atoke kibaruani nianze kumpa lesson taratibu, hakika ataelewa tu somo [emoji39][emoji851]
Mkuu niko tayari kutoa ushirikiano kadri ya uwezo wangu wote nilionao katika kutimiza hili unalosema hapa!

Ukimtuliza huyu mwanamke utakuwa umefanya jambo kubwa kijamii.
 
Wanawake wenzio watakuja kukusupport kwa hii hoja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…