Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Marianah[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Edelyn katika jina jingine hahaaa...we usipoolewa na mimi basi Wanaume watanyanyasika tu kwako, yani unahitaji kuwa na Kidume kama mimi ili nikutibu matatizo yako kimahaba na kisaikolojia [emoji4]
Kaone kwanza, kazi uchochezi tu [emoji28]Marianah[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].Kaone kwanza, kazi uchochezi tu [emoji28]
Bro nikwambie tu ukweli,kama mwanaume kakupendea pesa ila tambua lzm awe na kijana aliyejazia wakufanyia show off kwa mashoga zake
Edelyn katika jina jingine hahaaa...we usipoolewa na mimi basi Wanaume watanyanyasika tu kwako, yani unahitaji kuwa na Kidume kama mimi ili nikutibu matatizo yako kimahaba na kisaikolojia [emoji4]
Nyie wote baba yenu mmojaNdio nyie tunawachukulia serious halafu nyie hamuappreciate ,mnatuchukulia poa tu.
Sio vizuri hivyo.. mwenzio akikuchukulia serious Basi na Wewe mchukulie hivyohivyo.
Usitake advantage ya mmoja aliyewahi kukuumiza kumuumiza mwingine ambaye Hana hatia yoyote
Hiki ndicho ninachokipinga.Nyie wote baba yenu mmoja
Ushirikiano gani!??[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu niko tayari kutoa ushirikiano kadri ya uwezo wangu wote nilionao katika kutimiza hili unalosema hapa!
Ukimtuliza huyu mwanamke utakuwa umefanya jambo kubwa kijamii.
Ushirikiano gani!??[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi nyie mnamjua huyo!??
Mna uhakika ana matatizo au mnafanya assumptions ambazo hazipo!??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu niko tayari kutoa ushirikiano kadri ya uwezo wangu wote nilionao katika kutimiza hili unalosema hapa!
Ukimtuliza huyu mwanamke utakuwa umefanya jambo kubwa kijamii.
Na jamaa wa toyo wanawanufaika Sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ni matajiri wangapi wanahudumia vizur lakin wanawake zao wanachepuka? Wamekosa pesa? Wamekosa matunzo? No
Hawatabiriki hawa. Unaweza ukawapa BOT.. akaja kuliwa na dereva toyo
Naona unajitia kumjua mtu usiyemjua[emoji3]tufahamishe basi kama unamjua vizuri kuliko sisi
Mkuu niko tayari kutoa ushirikiano kadri ya uwezo wangu wote nilionao katika kutimiza hili unalosema hapa!
Ukimtuliza huyu mwanamke utakuwa umefanya jambo kubwa kijamii.
Wanawake wenzio watakuja kukusupport kwa hii hoja.Ni ujinga tu kuanza kuweka definitions kwamba usifanye hili na hili kwa wanawake maana mwisho wa siku ataku cheat. Hata sisi wanaume tuna cheat pia, wapo wanaofugwa na wanawake na kupewa kila kitu ila mwisho wa siku wana cheat. Ni majuzi tu hapa Pricess Haya Hussein (mke wa mtawala wa Dubai) alimkimbia mume wake na sasa kesi inanguruma London, imagine mke wa mtawala wa dubai anakimbia!! kuna mtu anaitwa Alwaleed Talal ana utajiri wa dola bil 27 ana share mpaka google huko, na ni hivi karibuni tu alikimbiwa na mke wake mrembo princess Ameera, hii ni complicated issue ambayo ni ngumu kuamua nani hasa anaharibu. Sasa wanaume kwamba tuache kuwatunza wake zetu ama wapenzi wetu eti kwa sababu mwisho wa siku wata cheat... Nonsense kabisa!!