Mwanamke hata uwe mzuri vipi mwanaume atachepuka tu, uzuri haumzuii mwanaume kuchepuka

Mwanamke hata uwe mzuri vipi mwanaume atachepuka tu, uzuri haumzuii mwanaume kuchepuka

The Evil Genius

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2014
Posts
6,017
Reaction score
19,506
Wanawake wengi hasa wenye maumbile mazuri hua wanaamini uzuri ni kama kinga yao kwa waume zao ili wasichepuke.

Mwanamke akishakuwa mzuri anaamini mume ama mpenzi wake hana sababu ya kuchepuka kwani yeye huyo mwanamke anaamini mwanaume wake hana anchokikosa kwa sababu yeye ni mzuri.

Utashangaa mwanamke akijua unachepuka anakuuliza, umekosa nini kwangu ama nina madhaifu gani hadi uchepuke na mwanamke mwingine.

Kitu wasichokijua wanawake wote ni kwamba mwanaume hachepuki kwa sababu ana mwanamke mwenye sura mbaya ama sura nzuri, ama masikini ama tajiri, mwanaume anachepuka tu kutii kiu yake.

Juzi mwanamke wangu mmoja amenishika na hard evidence kwamba nachepuka, halafu akakuta mwanamke naechepuka nae ni mbovu mara 10 kuliko yeye, ananiuliza nimekosa nini kwake hadi nichepuke na mwanamke wa aina ile.

Huyu mwanamke na wanawake wengine wasichokijua ni kwamba wanaume ni kama fisi, fisi anaweza kula mizoga, mifupa na hata akawinda mnyama mzima alienona akamla, so wanyama wazima wakimkimbia fisi haina maana kwamba fisi hana alternative, yeye anaendelea kuishi maisha safi tu.

1632292599340.png
 
Mtoa mada unajisifu ujinga, binafsi mm nlikua na tabia kama zako miaka 7 iliopita, baadae niliacha coz Nlipogegeda mademu wengi, sikuona faida yoyote nliopata, zaidi ya kujiweka kwenye risk ya kupata ukimwi na kukinai ngono The Underboss
Mwanaume unakinai ngono vipi? Mwanaume uko sexually active unakinai vipi ngono?

Ngono ni life time responsibility ya mwanaume. Unakinai vipi?
 
Mwanaume hata ukutwe red handed kanuni ni kukataa mwanzo mwisho. Kukubali ni kumpa sababu ya kuchepuka.

Also upo sahihi. Mfano mimi naweza mtokea mtu kwaajili ana kifua kikubwa, bonus point akivaa bra nzuri.

Oyaaa mke amekukuta unagonga live bado unakataaa[emoji28][emoji28]. Vijana wa hovyo bhana[emoji28][emoji28][emoji28]
 
Mkuu kama kweli umefumwa jipe azabu ya kuhama maana ni lazima utagongewa na huenda ikiwa kitandani mwako
 
Back
Top Bottom