Mwanamke hufatiliwa sana na Mwanaume asiyeweza kumuacha

Mwanamke hufatiliwa sana na Mwanaume asiyeweza kumuacha

kilamba lamba

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2020
Posts
427
Reaction score
738
Natumai mu wazima humu ndani,

Kiukweli leo nimeamini mwanamke unayemfatilia sana na kumchunga ndiye mwanamke usiyeweza kumuacha kirahisi. Hili nalizungumzia hapa siropoki tu kutokana na kiporo nilichokula ila nina ushahidi nalo kwangu na washkaji na marafiki zangu kwa ujumla.

Mwanamke usiyempenda usimfatilie sana muache na yeye atafute atakaye mpenda labda ndo fungu lake la kujenga familia.

NAWASILISHA
 
Akizingua inaishia hapohapo, hata kama namfuatilia kiasi gani
 
Ukiwa unamfatilia ujue ndo unatafta sabb z kumuacha. Kama haitakuw rahis kumuacha bhasi urudi tu kwa mungu baba mana stresi ni mingiii
 
Mambo ya kufuatiliana sio!!
Kweli ila baada ya kufatilia ule uzi wa NILIKULA TUNDA KIMASIHARA , na nkaona jinsi wake za watu, na madem wanavyoliwa ....apa ni full survelliance 24/7 na full tracking kwa mtu wangu

sitaki utani mm
 
Uaminifu ndiyo mpango mzima mambo ya kufuatiliana yamepitwa na wakati.
 
Back
Top Bottom