Babchabi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2012
- 1,745
- 777
Kwa kweli hili suala mimi hua najiuliza sana na sijabahatika kumpata mwanamke nikamuuliza je na wao wanawake hua wanatikwa na manii kama vile wanaume hususan pale panapofanyika tendo la ndoa?
================================================================================================================
================================================================================================================
I will shoot straight.
Ndio, wanawake wanakojoa wanapofika kileleni katika tendo la ndoa. Hii inaitwa female ejaculation au squirting. Wakati male ejaculation inaweza kuwa na ujazo wa kijiko 1 au 2, ya wakina mama inaweza kufikia ujazo wa kikombe na zaidi.
Wetness kwenye uke ni muhimu ili tendo la ndoa lisimuumize. Lakini mwanamke anapofika kileleni anatoa haya maji zaidi ili sperms zipate medium ya kuogelea zinapotafuta yai.
Wakina mama wanatofautiana na kiasi gani cha haya maji wanayatoa. Kuna light squirters na wale super (niagara) squirters. Ukikutana na super-squirter utajua tu kwa sababu itabidi muweke mataulo ili muweze kulala. Wanawake pia wana uwezo wa kuwa na multiple-ejaculations kama umemuandaa vizuri.
Somo:
Ili mpenzi wako (mke) aweze ku-squirt, ni lazima umuandae vizuri. Haya mambo ya "slam-bam thankyou-maam" uta-climax wewe lakini sio yeye. Ukiweza kumfanya mpenzi wako a-squirt ni dalili kuwa umemridhisha vya kutosha.
Wakina mama msione aibu kama utalowesha shuka kwa gharika utakalolishusha kwani hii inamuashiria mwenzio kuwa kibarua ulichompa amekitimiza.
Wakina baba kila siku lengo lako katika tendo la ndoa ni kumfanya mwenzio a-squirt. Ukiweza kufanya hivi kila mara huyo mama atakufunga kamba kwenye tendegu usitoke.