Mwanamke huyu anadaiwa kuwa nyuma ya mafanikio ya Dokta Cheni

Mi hawa mashangazi sijui kama nitawaweza yaani mi bila kuwa na hisia na mwanamke siwezi kufanya nae chochote na nikijilazimisha basi baada ya hapo ntaenda kuoga maji lita 300 au kama ni mashuka ya ghetto nitaamka niyafue hata kama ni usiku wa manane
Basi utachelewa sana, baba zako akina Cheni ndio wametoboa hivyo 😆😆
 
Mimi niulize 80s kurudi nyuma
 
Wewe Kiswahili umefundishwa kuandika kwa herufi za kilatino, ambazo hazijakamilika.

Mimi Kiswahili nimezaliwa nacho na nimeanza kukiandika kwa herufi zake za asili, za Kiarabu.

Jifunze kwangu kuandika Kiswahili.
Jamaa kachokoza vita, hatoiweza asilani!
 
Ucjekua wa kugombana na sope kisa boss, sope akaambiwa "sipo hapa kubishana nawee, utatoka ww mie utaniacha"
Watu na mashemu zao mjinii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tobaaaaa! Kwahiyo sope kanyang'anywa tonge na kaka vishimo?
Ah nyie jamaniiiii!
 
Ila pamoja na yote, lazima tuamini ule msemo wa wahenga!
NYUMA YA MAFANIKIO YA MWANAUME, KUNA MWANAMKE!
Bi Salma lazima alipe MAOVU YAKE...
Bw Cheni aache uninafsi na utoto, amkumbuke shangazi...
 
Hapana yule sio n shemej ake, boss yuko na sope
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwan hujui Dimp ni mke halali wa Gavana??
Kwa maana ya mdogo wake Boss kubwa? Ah mimi siamini hata.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…