Mwanamke huyu anadaiwa kuwa nyuma ya mafanikio ya Dokta Cheni

Mwanamke huyu anadaiwa kuwa nyuma ya mafanikio ya Dokta Cheni

Kuna kitu mtu kanikumbusha, huyo Zahir Zorro nimesoma nae Primary Dar. Nilimsahau kabisa. Alikuwa darasa moja nyuma yetu, Kisarawe Primary School.
Huyo Shagy hatujamfahamu wote, AbdulKareem tuliowafahamu ni kama nilivyokueleza juu huko, na anaefanana na jina Shagy, ni Shedi Sheni, mtoto wa gerezani huyu alikuwa anapiga organ, Mwenyezi Mungu amrehem.

Kuna mtu mwingine nyumba uliyoitaja alikuwa akiitwa Hamza. Halafu wengine tuliwajuwa ni kina marehem Jerry Riyami, hao wote tukijuwana sana utotoni, mtaa huo huo lakini kama unarudi kwenda shule ya Zanaki.

Siku nikimpata au nikimkumbuka ntakujulisha lakini mpaka sasa picha yake haiji kabisa katika watu niliowafahamu enzi hizo mitaa hiyo.

Ukitoka nyumba hiyo unayoisema ukienda kama unaelekea Muhumbili kulikuwa kina Bate, ndugu watatu mabaharia na baba yao alikuwa Captain wa meli. Nadhani wanaishi Australia hivi sasa kasoro mmoja nilikuwa naonana nae Kariakoo, anaitwa Othman, wenhine ni Farouq na Mustafa. hawa ni mitaa hiyo unayosema na walikuwa hawatoki hiyo nyumba, walikuwa na kijiwe chao kinaitwa Black September.

Hapo hapo kwa kina Bate walikuwa Waunguja, kwa Mzee Musa, kina marehem Selemani Mabalungi na dada zake wawili walikuwa marafiki zangu.
Una taarifa Jerry Riyami alifariki?
 
Sasa ukianzisha thread uwe unaniita basi na wewe.
Yani hadi zinafungiwa mi sijui jamani? Uko serious kweli Mkuu?

Haya tuendelee na zee la ganda la ndizi [emoji1787][emoji1787]
Hivi enzi zile yule dada mzuri aliyekuwa anaigiza kama mpenzi wake Naro alipiga kweli au?
Yule nae alikuwa maharage sana, nilipewa story zake na wadogo zake na yule mganga wake wa Kisukuma aliyefariki nilichoka!
Kawa mchaMungu siku hizi msimseme nifah mi naogopaa[emoji17][emoji17][emoji17]
 
Faiza kumbe unamjua Salma upande mmoja tu, hukua unamjua vizuri,
Salma ni tapeli wa matapeli, hapo nyumbani kwake Upanga hakuna dili zilizokua hazipigwi, uhamiaji ilikua kwake (ukitaka passport unaenda kwake anatengeneza chap),
Enzi za Kikwete alikua hashikiki, polisi walikua wanaogopa kwenda kwake kumkagua, ila Magufuli ndie aliyemkomesha na kumtia ndani hadi kumfunga hiyo miaka 99,

Huyo Mariam hawezi kumjukuu Dr. Cheni kwanza Cheni anaweza kua agemate wake au Cheni kamzidi kidogo pia sidhani kama Mariam ana mtoto, ninachojua ni mashine ya kusaga na kukoboa na ana 'mke' kabisa anaishi nae japo anawabadilisha sana,

Sema sasa reporter Nifah imekuaje hujajua kama Salma alishatoka jela? japo ilikua kimya kimya watu wasijue ila alipunguziwa miaka hadi akapewa miezi kadhaa na hakuimaliza akatoka kwa msamaha.
Sasa huo ndiyo utapeli? Kumtengenezea mtu passport ndiyo utapeli? Hata babake mdogo Zungu naibu spika, Mzee Hussein Azan ilikuwa ndiyo kazi yake.

Hivi mnaufahamu utapeli au mnausikia tu?

Kishatolewa jela, kashinda rufaa,
 
Mbona siku nyingi huyuu ka Kuna MTU WA mjini hajui pole yake!!
Afu anatongoza sasaa!!!
Huyu mtu namheshim sana hasa kile kipindi chake cha asubuhi jumapili pale clouds Cha jicho la tofauti!!

Kuna wengine Wana tatizo la hormones Sasa sijui na huyu nae!!

Mi kina chonishangaza mtu mwenye akili timamu anawezaje ku disa mbele ya mwanamme mwenzake!!hapo tu!!
 
Sasa huo ndiyo utapeli? Kumtengenezea mtu passport ndiyo utapeli? Hata babake mdogo Zungu naibu spika, Mzee Hussein Azan ilikuwa ndiyo kazi yake.

Hivi mnaufahamu utapeli au mnausikia tu?

Kishwachiwa jela, kashinda rufaa,
Hawajui kitu,mtu wa kuwarahisishia watu kazi siyo utapeli. Wengi humu ni wakuja. Faiza wewe ni Mama yangu aisee,heshima kwako na nina uhakika Mama yangu mmekua wote Kkoo enzi hizo. Heshima Kwako.
 
Back
Top Bottom