Nelson Jacob Kagame
JF-Expert Member
- Dec 26, 2022
- 9,576
- 13,545
Wa kua chakula cha yule bosi wa Ya...ga spoti club π€£π€£π€£Ucjekua wa kugombana na sope kisa boss, sope akaambiwa "sipo hapa kubishana nawee, utatoka ww mie utaniacha"
Watu na mashemu zao mjinii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nifa kama nifah π€£π€£π€£Halafu hii story ya Ben ipo kitambo sana kuna ukweli? Jamaa nimeishi nae mtu poa sana masikini.
Nikawa namchora tu alikuwaga ananikubali mwenyewe angejua ni mbea niliyeshindikana π π
Yule ambaye mke wake amegeuka motivation speaker?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee hao MCs mbna karibia wote ni ngapulila, nilichoka kwa huyu MC na mwenye kanisa, wakati naambiwa habari zake nlikua siamini, maana akianza kumpamba mkewe na familia yake utasema baba bora.
Si alikuja kujichanganya kwa kijana wa chuo, lahaulaa yaan baba anatuma text kwa kumsifia kijana kuwa kamkaza vzuri, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Convo ilianza insta had tsup, kuzisoma mie hoii, afu anasisitiza awe msiri, alimpa 200k, walienda fanyia huko bagamoyo, inasemekana ana kapagale ka kufanyia ufuska wake.
[emoji119][emoji119]
Nipo Shungubweni kwa mkanada jamani.Huyo hayupo Urabuni, yupo Canada nadhani.
Yule mfupi kama simtank la lita 200? DooohWewe mjengoni wamejaa wazibua mtaroo, akat had mtumbuliwa kwenye muhimili unaojitegemea ni mdau, tena yeye akiingiza tako 3 kamwaga wazanaki.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], sio ke wa me wote anapita nao.
Kawamaliza watoto wa CBE na mipango.
Basi Khadija Kopa alikukosha sana kwenye "Nalijua Jiji"Dar ni kubwa sana, unaweza kuwa unaijuwa mitaa yako, anaeongolewa hapa ni mtu wa mtaani kwangu Kariakoo. Kariakoo wote na gerezani yake na Jangwani na Upanda kuanzia miaka ya 80 kwenda nyumma tulikuwa tunajuwana wote. Labda uwe wakuja, na hata wakuja tunawajuwa, si ndiyo wenyeji wao sisi.
Huyu mc mwenye church unamaanisha liplip?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee hao MCs mbna karibia wote ni ngapulila, nilichoka kwa huyu MC na mwenye kanisa, wakati naambiwa habari zake nlikua siamini, maana akianza kumpamba mkewe na familia yake utasema baba bora.
Si alikuja kujichanganya kwa kijana wa chuo, lahaulaa yaan baba anatuma text kwa kumsifia kijana kuwa kamkaza vzuri, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Convo ilianza insta had tsup, kuzisoma mie hoii, afu anasisitiza awe msiri, alimpa 200k, walienda fanyia huko bagamoyo, inasemekana ana kapagale ka kufanyia ufuska wake.
[emoji119][emoji119]
Hapana yule sio n shemej ake, boss yuko na sopeWa kua chakula cha yule bosi wa Ya...ga spoti club [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamani wewee woiiiihYule mfupi kama simtank la lita 200? Doooh
Kale kazee si kalikuwa hata kutembea hakawezi kanachechemea?
Muulize cocaNi Mc gani huyo mbona mafumbo yamekuwa mengi jamani?
Hapana, ni huyu mkewe kapata u daktari juzi juzi.Yule ambaye mke wake amegeuka motivation speaker?
Najua na matibabu alimlipia...Hapana yule sio n shemej ake, boss yuko na sope
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwan hujui Dimp ni mke halali wa Gavana??
Tobaaaaa! Sasa kale kalivyo kafupi jamani!Kongwa π€£π€£π€£ππππ alikua na kale kabinti kake ka CBE kanatoa service...kanakaa kule bunju ushuani.
Ila Kongwa kawala bongo muvi karibia wote kuanzia 2015.....alimrithi mzee wa tabasamu kwa kuwala bongo muvi
Mama ntilie wa dodoma anajua
ila bi Faiza unaonekana ni mkali sana huna masihara hata kidogo ukauzu mwingiKama wewe, au siyo?
Waarabu wa Pemba mnajuwana kwa vilemba.
Mmmmh ni "kipigo"Huyu mc mwenye church unamaanisha liplip?