FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Sijawahi kumuona binadam mwenzangu "mbwa". Ujinga huo.Wakati Azimio la Arusha linatangazwa tayari bibi Faiza alikuwa kashatamka "Wanaume wote mbwa tu"..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijawahi kumuona binadam mwenzangu "mbwa". Ujinga huo.Wakati Azimio la Arusha linatangazwa tayari bibi Faiza alikuwa kashatamka "Wanaume wote mbwa tu"..
Canada kubwa sana, Mwenyezi Mungu amjaalie awe kafanikisha kilichompeleka.Mhando alienda Canada. Sijui yu wapi siku hizi. Alikua na usuhuba sana na rapper Saigon mtoto wa Sinza miaka ile.
Ujue hizi nyuzi nyingine unasoma, mengine hujui, ila unajisikia raha unavyo deCODE hizo code zenu.Mm simooooooo🤣🤣😂😊
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee hao MCs mbna karibia wote ni ngapulila, nilichoka kwa huyu MC na mwenye kanisa, wakati naambiwa habari zake nlikua siamini, maana akianza kumpamba mkewe na familia yake utasema baba bora.Coca KASHAINGIA MJENGONI...
SALUTEEEEE,,,,,,,,MPAKA HII UNAIJUA DUUUU WEWE MTOTO MPEKUZI [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Naomba ukimaliza tu kuuandika ukipost, post inayofuata niite nije tukiwashe.Nipo kisangani...nikirudi bongo...nakuletea uzi kamili wa mdau anaekula cocaine first grade...
Wamemgeuza teja ili wapige hela zake kirahisi....
Afu ni mchicha mwiba pia..
ASILIMIA 35% YA WABANA PUA NI MCHICHA MWIBA...
"miaka ya 20's ndiyo maana yake nini?Cheni miaka ya 20's mwanzoni alikua anatunzwa na shangazi angu kabisa anaitwa mama mzungu sasa huyu nae wa lini??
😂🤣🤣Ujue hizi nyuzi nyingine unasoma, mengine hujui, ila unajisikia raha unavyo deCODE hizo code zenu.
Ujue hizi nyuzi nyingine unasoma, mengine hujui, ila unajisikia raha unavyo deCODE hizo code zenu.
Bibi ushaanza gubu"miaka ya 20's ndiyo maana yake nini?
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Mnajiandikia tu vitu hamuelewi hata maana yake. Ulichokiandika na sentensi haviendani kabisa.
Tanzania kazi tunayo kubwa sana katika elimu yetu, watu wanaenda shule kusomea ujinga.
Nani huyu... Huyu huyu anaesemekana ni teja...Nipo kisangani...nikirudi bongo...nakuletea uzi kamili wa mdau anaekula cocaine first grade...
Wamemgeuza teja ili wapige hela zake kirahisi....
Afu ni mchicha mwiba pia..
ASILIMIA 35% YA WABANA PUA NI MCHICHA MWIBA...
Bila code nitafungwa mkuu.Naomba ukimaliza tu kuuandika ukipost, post inayofuata niite nije tukiwashe.
Usiuweke kwa code sasa, mimi sipendi mambo ya kuumizana vichwa.
Siyo gubu, nishaanza kutowa elimu ambayo walimu wake, majuha kama yeye, hawakumfundisha.Bibi ushaanza gubu
Wewe mjengoni wamejaa wazibua mtaroo, akat had mtumbuliwa kwenye muhimili unaojitegemea ni mdau, tena yeye akiingiza tako 3 kamwaga wazanaki.SIKU MOJA NIPO CHIMBO LA BE........ KINYA.......A ENZI HIZO LIPO KWENYE CHATI ALIINGIA MGANGA MIKUFU NA MDAU MMOJA HV...
LAKINI POZI ZAO MMMH ZILINITIA SHAKA...
HUYO MDAU YUPO MJENGONI KITAMBO......
KUMBE ALIKUA ANAWALA [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kumbe ndio michezo yake iliyomlea? [emoji38] [emoji38] [emoji38]
Huyu nae wa zamani hizo, itakuwa huyu alimzidi kete shangazi yako.