Mwanamke huyu anadaiwa kuwa nyuma ya mafanikio ya Dokta Cheni

Mwanamke huyu anadaiwa kuwa nyuma ya mafanikio ya Dokta Cheni

KUNA CHIMBO VIP LA HUDUMA KWA MEMBA TU WADAU TULIKUA TUNAPISHANA NA MGANGA MIKUFU..
KIINGILIO UNALIPIA KADI MWAKA MZIMA MILIONI MOJA NA LAKI SITA...
UKITAKA KADI VIP MILIONI TATU..
AFU SERVICE UNALIPIA KUTOKANA NA CLASSIC YA WATOA HUDUMA KUANZIA LOCAL MPAKA WA KIMATAIFA...
WATOTO WOTE PISI KALI WA MJINI WAPO HUKO NA WASHUA WOTE WANAENDA KUFANYIWA MASAJI HUKO...
ILA KUNA PROTOCAL LAZIMA UFUATE ILI KULINDA PRIVATE ZA WAHUSIKA...
I MEAN WAUZAJI NA WANUNUZI....
SASA MGANGA MIKUFU TUMEGUMIANA SANA KULE ILA NDIO HIVYO KILA MTU ANAFUATA YANAYOMUHUSU...
HATA YULE MCHUNGA KONDOO WA KULE KAWE M.....
TUMEGUMIANA SANA HUKO KILA MMOJA AKIJISEVIA ODER YAKE..
WALE WAZEE WA VIP DELVERY WANANIELEWA 🤣🤣😋
Toba Yarabyyyyyyyyyyyyyyy!

Ah Mkuu nimekuvulia kofia, huna mpinzani!

Hayo ndio machimbo ya akina Salaam nasikiaga tu leo ndio umeniambia kiundani!
 
Toba Yarabyyyyyyyyyyyyyyy!

Ah Mkuu nimekuvulia kofia, huna mpinzani!

Hayo ndio machimbo ya akina Salaam nasikiaga tu leo ndio umeniambia kiundani!
KUNA VIP ZA WAHINDI NA WACHINA,,,,,NIMEPISHANA SANA NA WADAU AMBAO NIKISEMA NITAPATA KESI...🤣🤣🤣😂😂 SITAKI KUA SHAHIDI
SALAAAAM A.K.A MENEJA KIPARA MZEE WA KUNUNUA ORDER ZA AKINA NICO......... BERRY.....MTAALAMU WA TIT.......JOB 🤣🤣🤣
NA MWENZIE MAMA WAWILI 🤣😃🤣🤣
ACHILIA MBALI ORDER ZA KUTOKA NAIROBI....NA KIGALI
WAZEE WA VIP CONNECTION KAMA MGANGA MIKUFU WANANIELEWA....
 
Mara ya mwisho nilikuja Tanzania akanialika kwake, alikuwa kahama Kariakoo anakaa Upanga njia ya kwenda Muhimbili, nyumba za msajili, sijui siku hizi naita National Housing, zilizokuwa za wahindi zamani, nyumba nzuri tu ilikuwa/ Hiyo miaka mimgi sana nyuma.


Huyo kijana watu wanamzulia tu, ni mjukuu wake mtoto wa Mariam huyo, nilikiona kilivyokuwa kidogo pale Upanga.

Haya nambie Salma yuko wapi sasa, ndiyo ana kesi au kafungwa, masikini rafiki yangu. Habari nzito hii kwangu.

Namfahamu yeye namfahamu nadhani ndugu yake yule au babake mdogo, sina uhakika, anaitwa Dr. Kesi Mtambo, alikuwa Daktari wa Nyerere enzi hizo akawa ndiye daktari pekee wa acupuncture Tanzania nzima enzi hizo, alipelekwa China kusomea., sijui bado yu hai maana alikuwa mtu mzima.

Pia namfahamu ndugu yake Mboni nadhani cousin wake huyu, aliokuwa A-Air Tanzania ilipoanishwa tu, nadhani aliwahi kuwepo East African Aurways, nmfahamu pia mdogo wake anaitwa Mhando, alikuwa mtundu mtundu sana tunamtania "kumi na moja kasoro 25. Miguu yake ilivyokaa, sijui yuko wapi masikini ya Mungu nilikuwa nnikipita Kariakoo hakuna asiyemjuwa. nikipita kariakoo akiniona hata wapi huko, lazima aje, Ahhh sister wangu leo nimekuona umetokea kama nyota ya jaa, leo watanikoma mtaani, lazima nideke sana tu.


Nipe habari za ndugu yangu Salma na Mariam mwanawe.

Siamini kama Salma ni tapeli, nafahamu kuwa ni mwanamke jasiri na mchapa kazi. Huyo itakuwa katumiwa tu na wauza magari na madalali wa nyumba kwa umaarufu wake.

Mimi nakumbuka alikuwa dalali mzuri wa nyumba za msajili tu, ilikuwa ukitaka nyumba za msajili enzi hizo, ukimuona Salma ana connections zake msajili huko, hukosi nyumba.

Mwenyezi Mungu amsaihilishie na amtowe kwenye majanga, atakuwa ni mtu mzima sana sasa.
Pitia kwanza hizo nyaraka kisha tuendelee, uzuri hiyo lugha unaimudu.
 

Attachments

Mara ya mwisho nilikuja Tanzania akanialika kwake, alikuwa kahama Kariakoo anakaa Upanga njia ya kwenda Muhimbili, nyumba za msajili, sijui siku hizi naita National Housing, zilizokuwa za wahindi zamani, nyumba nzuri tu ilikuwa/ Hiyo miaka mimgi sana nyuma.


Huyo kijana watu wanamzulia tu, ni mjukuu wake mtoto wa Mariam huyo, nilikiona kilivyokuwa kidogo pale Upanga.

Haya nambie Salma yuko wapi sasa, ndiyo ana kesi au kafungwa, masikini rafiki yangu. Habari nzito hii kwangu.

Namfahamu yeye namfahamu nadhani ndugu yake yule au babake mdogo, sina uhakika, anaitwa Dr. Kesi Mtambo, alikuwa Daktari wa Nyerere enzi hizo akawa ndiye daktari pekee wa acupuncture Tanzania nzima enzi hizo, alipelekwa China kusomea., sijui bado yu hai maana alikuwa mtu mzima.

Pia namfahamu ndugu yake Mboni nadhani cousin wake huyu, aliokuwa A-Air Tanzania ilipoanishwa tu, nadhani aliwahi kuwepo East African Aurways, nmfahamu pia mdogo wake anaitwa Mhando, alikuwa mtundu mtundu sana tunamtania "kumi na moja kasoro 25. Miguu yake ilivyokaa, sijui yuko wapi masikini ya Mungu nilikuwa nnikipita Kariakoo hakuna asiyemjuwa. nikipita kariakoo akiniona hata wapi huko, lazima aje, Ahhh sister wangu leo nimekuona umetokea kama nyota ya jaa, leo watanikoma mtaani, lazima nideke sana tu.


Nipe habari za ndugu yangu Salma na Mariam mwanawe.

Siamini kama Salma ni tapeli, nafahamu kuwa ni mwanamke jasiri na mchapa kazi. Huyo itakuwa katumiwa tu na wauza magari na madalali wa nyumba kwa umaarufu wake.

Mimi nakumbuka alikuwa dalali mzuri wa nyumba za msajili tu, ilikuwa ukitaka nyumba za msajili enzi hizo, ukimuona Salma ana connections zake msajili huko, hukosi nyumba.

Mwenyezi Mungu amsaihilishie na amtowe kwenye majanga, atakuwa ni mtu mzima sana sasa.
Faiza shikamoo mama...
Kumbe wewe bibi...
Vp Muscat wazima huko
 
KUNA VIP ZA WAHINDI NA WACHINA,,,,,NIMEPISHANA SANA NA WADAU AMBAO NIKISEMA NITAPATA KESI...🤣🤣🤣😂😂 SITAKI KUA SHAHIDI
SALAAAAM A.K.A MENEJA KIPARA MZEE WA KUNUNUA ORDER ZA AKINA NICO......... BERRY.....MTAALAMU WA TIT.......JOB 🤣🤣🤣
NA MWENZIE MAMA WAWILI 🤣😃🤣🤣
ACHILIA MBALI ORDER ZA KUTOKA NAIROBI....NA KIGALI
WAZEE WA VIP CONNECTION KAMA MGANGA MIKUFU WANANIELEWA....
😆 😆 😆
Hujawahi kunichekesha kama leo!

Nyieeeee, nilidhani najua yote kumbe mi bado mgeni mjini hapa nina kamba mguuni?
Zile tit huwa sielewi hadi najiuliza kama ana akili timamu mzigo wote wa nini kumbe kuna biashara yake mahsusi?
Niungane tu kijijini kulima na ndugu yangu Its Pancho

Sasa Salaam mbona nasikia watoto wa mjini wanasema shughuli hakuna? 😜

Hao wadau wengine twende nao kwa code, mbona tuko vizuri tu?
 
NALETA NIFAH....
SIKU HIYO NIPO MITAA YA KIJICHI BAR FLAN HV NAWEKA DILI ZANGU SAWA.
MARA DAKTARI MIKUFU ANAINGIA NA MTOTO MKALI ENEO NILILOKUWEPO.
DUUUH NIKAONA DAKTAR MIKUFU YUPO VIZURI NA WATOTO...WA KIKE.
MDAU AKANIAMBIA KUA DAKTARI MIKUFU CHAKULA CHA WATU....
ANALIKA YAANI MCHICHA MWIBA ......ILA NDIO HIVYO KIMYA KIMYA KAMA ILIVYO MTOTO WA NYEMBO NA MABASHA ZAKE WA KIARABU PALE KKOO
🤣🤣🤣
AFU SALMA WATOTO KIBAO WAUZA SURA WA KINONDONI WALIKUA WANAMVIZIA AWALEE,,,,HASA WALE BONGO MUVI WENYE BIFU MMOJA ANA DUKA LA NGUO.
NA YULE ANAEJIFANANISHA NA KANUMBA....
WAUZA SURA KIBAO WALIKUA WANAJIPENDEKEZA KICHIZI KWA YULE MSHANGAZI WA MJINI....
Wewe jamaa una mastori mengi ya town, napenda sana nyama unazoongezea kwenye nyuzi pendwa za Nifah

Nyie mtu 3 ni tunu hapa jf katika ubuyu wa celebs. Sipati picha mkipiga colabo na cocastic
 
😆 😆 😆
Hujawahi kunichekesha kama leo!

Nyieeeee, nilidhani najua yote kumbe mi bado mgeni mjini hapa nina kamba mguuni?
Zile tit huwa sielewi hadi najiuliza kama ana akili timamu mzigo wote wa nini kumbe kuna biashara yake mahsusi?
Niungane tu kijijini kulima na ndugu yangu Its Pancho

Sasa Salaam mbona nasikia watoto wa mjini wanasema shughuli hakuna? 😜

Hao wadau wengine twende nao kwa code, mbona tuko vizuri tu?
SALAAM ANABUSTIWA NA DI......O🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom