rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 16,784
- 23,312
Sina uhakika ila nyumba ipo lakini pamepooza labda nikipita jumatano nimuulizieBado yupo?
Nijuavyo huduma zake anakuja kukufanyia acupuncture nyumbani kwako.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sina uhakika ila nyumba ipo lakini pamepooza labda nikipita jumatano nimuulizieBado yupo?
Nijuavyo huduma zake anakuja kukufanyia acupuncture nyumbani kwako.
Kama sio mods kutupoozesha kutwa nzima ya leo tungekuwa mbali sana, na ningeshawaletea ubuyu mwingine wa Mange na Kinje walivyochambana usiku wa kuamkia leo.Tupe tupe connection
Afu mbona uzi ausogei
Afu ivi jux analiwa kweli au maan dunia ina mambo hii
Sina uhakika ila nyumba ipo lakini pamepooza labda nikipita jumatano nimuulizie
Asante sana Mkuu, nashukuru sana.Nifah unajua kuweka story kiutamu, very attractive to read..!!
Mashangazi watamu sana, na mimi huwa najua sehemu yao moja ukipatia vizuri, basiiii utakula mema yote ya dunia hii, utaona raha zisizo elezeka, walaah..!!
M.o.d.s wanaendesha huu mtandao Kizee sana sijui wanafikiri wote ni wazee em tuletee ubuyu wa Kibakuli kafanyaje uko daslam?Kama sio mods kutupoozesha kutwa nzima ya leo tungekuwa mbali sana, na ningeshawaletea ubuyu mwingine wa Mange na Kinje walivyochambana usiku wa kuamkia leo.
Yani wamechambanaaaa [emoji1487][emoji1487]
Huyo mlamba midomo yeye huwa anawala wenzie na rafiki yake yule jamaa kutokea Singida.
Ndio story yao kubwa inayofahamika.
Dduhh hapa hata mimi pampaluu nimefaham 😅Kwani wenzetu hamkusoma kitabu cha Takadini?
Umeleta umbea ukakutana na professionals 🤣🤣🤣🤣Kwani wenzetu hamkusoma kitabu cha Takadini?
Hunaga bayaLeo umekubali ubuyu?
Asante
Kabla ya hapo alikuwa anataka ubunge kupitia CCM akakosa..hisia zake zilipelekea akaichukia kumbe hajui ndio aliharibu kila kitu.Miiko gani Mkuu?
Huyu Bi Mkubwa si aligombea ubunge Tanga kupitia ACT 2015?
Unaonekana kufahamu mambo, ni wachache wanalijua hili.Hizo ndio lobbying, Unakaa na matajiri ili uwe tajiri
Mtu ambaye anaona jamaa hastahili kuishi kwenye apartment nzuri, kuendesha gari nzuri na kuvaa vizuri kwa sababu hajatoa nyimbo. Atakuwa hajui hizo issue za ommy zinaweza muingizia kiasi gani
Sikatai pengine kulikuwa na makosa ila haikufaa kuushikilia uzi kutwa nzima!M.o.d.s wanaendesha huu mtandao Kizee sana sijui wanafikiri wote ni wazee em tuletee ubuyu wa Kibakuli kafanyaje uko daslam?
Kwakweli watoto wa mjini wametishaaaaUmeleta umbea ukakutana na professionals 🤣🤣🤣🤣
Jf watu wanajua vitu halafu wanakaa navyo tu siku mtu akigusa tu watu wanamwagikaaa
Wewe nimekunyooshea mikono, umeleta upande mwingine wa story na kuna uwezekano mkubwa wa moja kwa moja kuhusiana na hilo.Kabla ya hapo alikuwa anataka ubunge kupitia CCM akakosa..hisia zake zilipelekea akaichukia kumbe hajui ndio aliharibu kila kitu.
Mbaya zaidi hakutaka kusubiri na kama angesubiri basi huu ungekuwa wakati wake wa kuwa mbunge.
Daah juzi kati mdogo ake kipenzi amefariki.