Mwanamke huyu anadaiwa kuwa nyuma ya mafanikio ya Dokta Cheni

Mwanamke huyu anadaiwa kuwa nyuma ya mafanikio ya Dokta Cheni

Umeleta umbea ukakutana na professionals 🤣🤣🤣🤣
Jf watu wanajua vitu halafu wanakaa navyo tu siku mtu akigusa tu watu wanamwagikaaa
Sidhani kama mngekuwa mnatumia majina yenu halisi mngeweza kubully na kudharirisha watu humu kwa kinachoitwa Ubuyu. Ubuyu mzuri ni kwa mwenzako ila usikuguse wewe. Heshimuni wenzenu na acheni kupakazia watu ushoga na usagaji. Kama nyie akina cocastic ndio mashoga sio vyema kila mtu kumuita na kumpakazia ushoga. Tumieni majina yenu halisi tuone kama mnaweza kuandika hizi nyuzi za kipuuzi za kudharirisha utu wa wenzenu.
 
Sasa hizi ni code? Mbna simple tyuuh.
Km ni Dr mikufu na huyo the greatest si walisha share bwana kutoka mjengoni.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ukishazushia wenzako mashoga wewe itakusaidia nini? Acha hizi tabia sio nzuri, mnadharirisha wenzenu bila sababu. Mwenzenu warumi sasa anagonhwa Makenzie na mapepo sasa huku kuzimu alipo kwa huu upuuzi aliokiwa anazushia wenzie huku yeye kafa kwa Kansa mk...... tokana na ushoga wake. Acheni hizi tabia. Hao mnaowazushia wana ndugu na familia.
 
Sina jibu la uhakika kama yupo uraian ama lupango.

Sababu baada ya kusikia taarifa ya yeye kukamatwa sikutaka tena kumfatilia.

Ila sister ukimuona ni mtu smart sana.
Lazima awe smart, haya mabalaa huwezi kuyafanya ukiwa na akili ndogo.

Inahitajika akili kubwa kwelikweli kufanya utapeli kwa kiwango cha juu mpaka kuwa tajiri namna ile.
Of course na roho ngumu pia…
 
Sidhani kama mngekuwa mnatumia majina yenu halisi mngeweza kubully na kudharirisha watu humu kwa kinachoitwa Ubuyu. Ubuyu mzuri ni kwa mwenzako ila usikuguse wewe. Heshimuni wenzenu na acheni kupakazia watu ushoga na usagaji. Kama nyie akina cocastic ndio mashoga sio vyema kila mtu kumuita na kumpakazia ushoga. Tumieni majina yenu halisi tuone kama mnaweza kuandika hizi nyuzi za kipuuzi za kudharirisha utu wa wenzenu.
Mkuu twende pole pole
Kwenye comment yangu sijaona nilipomdhalilisha mtu
Labda ungemquote muhusika
Mimi ni msomaji tu kama wewe
 
Sidhani kama mngekuwa mnatumia majina yenu halisi mngeweza kubully na kudharirisha watu humu kwa kinachoitwa Ubuyu. Ubuyu mzuri ni kwa mwenzako ila usikuguse wewe. Heshimuni wenzenu na acheni kupakazia watu ushoga na usagaji. Kama nyie akina cocastic ndio mashoga sio vyema kila mtu kumuita na kumpakazia ushoga. Tumieni majina yenu halisi tuone kama mnaweza kuandika hizi nyuzi za kipuuzi za kudharirisha utu wa wenzenu.
Mkuu ID yako naipendaga, hivyo imekusaidia nitakustahi…

Nyuzi za hivi hazikufai, achana nazo.
Hapa sisi tunasema robo tu, nje ya hapa watu wanasema waziwazi na ni zaidi ya haya.

Huwezi kuwazuia watu kusema!
 
Yule mzee kalostisha wengi sana mkuu, na kama angekuwepo mpaka leo aisee watu wengi sana wangekuwa wanaishi kama mashetani kama akivyokuwa akisema..
Ni wapumbavu tu ndio wamesahau haya wanamsifu na kumkumbuka.
Kipindi chake tumeishi maisha mabaya sana. Hela hamna na bado amani hamna!
Mungu Mkubwa!
 
Back
Top Bottom