Mwanamke huyu anadaiwa kuwa nyuma ya mafanikio ya Dokta Cheni

Mwanamke huyu anadaiwa kuwa nyuma ya mafanikio ya Dokta Cheni

Nimekusaidia usilishwe matango pori, yeye anaweza kujua kuliko mimi muhusika?

Wewe nenda tu ila ukweli nimeshakupa.
hapana lazima na ubuyu wako tuule...haiwezekani...wewe utulishe ubuyu wa watu wengine harafu wako hutaki uliwe🤣🤣🤣🤣​
 
Sasa huo ndiyo utapeli? Kumtengenezea mtu passport ndiyo utapeli? Hata babake mdogo Zungu naibu spika, Mzee Hussein Azan ilikuwa ndiyo kazi yake.

Hivi mnaufahamu utapeli au mnausikia tu?

Kishwachiwa jela, kashinda rufaa,
Bibi tatizo lako mtu akishakua wa upande wako mahaba yanakuzidi.

Mahakama zetu hizi ni tia maji tia maji, haki inanunuliwa.

Nimewahi kutaka kufungua kesi ya madai kwenye mambo ya biashara, hakimu akanieleza bila kupepesa inabidi niandae mazingira yeye na team yake niwawezeshe, kiukweli sikurudi nilikubali kupoteza nianze upya kuliko kulipa hao punk ass mofos.

Ushindi wa mahakamani kama chaguzi zenu tu.
 
Hawajui kitu,mtu wa kuwarahisishia watu kazi siyo utapeli. Wengi humu ni wakuja. Faiza wewe ni Mama yangu aisee,heshima kwako na nina uhakika Mama yangu mmekua wote Kkoo enzi hizo. Heshima Kwako.
Kwa hiyo kutengeneza passport nyumbani kwako sio utapeli?

Kama ni biashara au huduma halali kwanini hamna agency zilizopewa licence kutoa hizo huduma?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwann lakinii??
Kwa sababu mnaumiza watu kwa kuwazushia ushoga. Hili linaumiza sana. Hii bullying yenu sio jzuri. Ningekuwa mmojawapo ninayezushiwa hakika ningeipeleka JF mahakamani kwa kesi ya "defamation" na ningehitaji billions of money pia wanisafishe. Acheni huu upuuzi wa kuzushia watu.

Imekuuma ya Warumi, sasa kafaidika nini na kuumiza na kuzushia watu. Muda alioutumia kuzushia na kuumiza wengine si bora angeutumia kutengeneza na Mungu wake? Sasa anakula Mbaranga na makwenzi toka kwa mapepo huku alipo. Anavuna alichopanda. Bado nawe siku yako yaja usipobadilika na kutengeneza na Mungu wako. We kila mtu ni shoga huko Daslama. Yaani kuvulowa uanaume kwako no kotu kidogo tu haya Simi inamvua mtu uanaume huko Daslama.

Badilikeni hii haisaidii zaidi ya kuumiza. Katika jamii zetu za kiafrika ni bora umzushie mtu mwizi, mvuta bangi au anauza madawa ya kulevya ila sio ushoga. Ni fedheha kubwa katika jamii.
 
Ana kabinti amekazalisha kanampelekesha sana ukiachana na yule utukumbuke na naiona kesho
Jamaa nliambiwa yupo singo ila anawafunua sana pisi kali zinazoenda kukanyaga wese pale uwanjan kuna dada mmoja ni mpangaji mwenzangu kashapiga sana na kamtelekeza mpaka sasa dada hakanyagi viwanja vya kawe
 
Back
Top Bottom