Kujichubua ni jambo lingine na linashika kasi kweliushauri huu unapaswa kuangaliwa kwa jicho la pekee. Kwa mtazamo wangu naona haya ni muhimu;
1. Unadhifu ni zaidi ya kujipodoa na kujichubua
2. Urembo ni tabia ya mtu. Hawezi kujiremba kama sio mtu aliyezoea kujiremba na kupangilia vipodozi
3. Urembo na unadhifu sio suala la kipato, hata kwa kipato kidogo tu mtu unajiweka sawa.
4. Mwanaume ni mdau namba moja kwa urembo na unadhifu wa mke wake.
5. N.k
Huyo mume ana lake.Wanaume bana,yupo dada mmoja alipendaga kuvaa suruali,vimini,wigs na makorokoro mengine,bwana akampenda akamuoa,ile kuingia tu ndani akaambiwa mama hapa vimini marufuku,hapa ni nguo ndefu na kukata nywele tu.....dada akabisha bisha weee mume akamwambia chagua moja,ndoa au hizo nguo zako.Ikabid dada achague ndoa,saivi unaweza kusema anakimbilia 40s,kumbe yuko btn 25_28
Mimi siwezi kukutaman kwa nywele au kope au kucha bandia. Mwanamke cha kwanza kutamanisha ni shape, hata kama kavaa yale sijui bulga bakiza jicho tu itaonekana. Nikiangalia mbele nkaona ujazo, nkaangalia nyuma nkaona something to touch baasi mengine yanafuataKwani mwanamke unavyomuona siku ya kwanza unavutiwa na nini kwake? Usiseme akili maana hata hajazungumza huwez jua akili yake ikoje
Hapo kwenye mawig mnatakiwa muelewe sio kila mwanamke ana nywele za kuchana kurudi nyuma. Wengine tuna kipilipili hakifai hata kusuka minyoosho.Huyo mume ana lake.
Mimi pia sipendi makorokocho mengi hususan kwenye kusuka, nampenda my wife akiwa na nywele zake za asili, akichana akazilaza upande au kaweka rollers zikatengeneza waves yaan mimi full rubudani. Kusuka akisuka rasta nyembamba sema nna wasiwasi na wamasai[emoji16] .
Siji kumnunulia mawigi na nikikuta amenunua nalitia moto. Uzuri nguo namnunulia mimi ndefu kiasi, naye ashaelewa nazopendelea so na yeye ameshafanana nami.
Utamfanya apate sifa sasa [emoji23][emoji23][emoji23]
Good girl!!Okay dear. Nitaanza kumjulisha
Ndo vle ile kauli inasema kilaWenzio wanasema sasa mtu akate nywele
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] shenzy zake ananijaza huko basi unatamani kumwona huyo shunie
Wakunyumba mm huwa naharibu sana nikilewa acha tuSema mara nyingi huwa sijuti nilichokisema
Sasa mimi namuaga. Na saa ingine namwambia njoo anakuja. Ila bado anasema nikae ndani. Na natokaga Friday tu nikitoka ofisini naunga mtaani. Juzi kanirudisha home saa 4 yani basi tuu
Hahahahhaha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
hahahahaa acha tu nicheke mieMimi afanye usafi wooote lakini pale kati asitoe zote yani hivyo tu
Hahahhahha sawa Don sisi tupoKabisa, sema mwenyewe wiki hizi sizisomi kabisa, nahisi kama mvua inanyesha mfukoni mwangu yaani.
Ntawatafuta hizi mvua zikipungua, ngoja nifanye kazi za huku shamba kwanza.
Karibu sana, nimekuhamu vilivyo...hahahahaa acha tu nicheke mie
wewe mzima lakini?