Mwanamke Jipende Natural Achia Misitu

Mwanamke Jipende Natural Achia Misitu

Mimi siwezi kukutaman kwa nywele au kope au kucha bandia. Mwanamke cha kwanza kutamanisha ni shape, hata kama kavaa yale sijui bulga bakiza jicho tu itaonekana. Nikiangalia mbele nkaona ujazo, nkaangalia nyuma nkaona something to touch baasi mengine yanafuata
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huyo mume ana lake.
Mimi pia sipendi makorokocho mengi hususan kwenye kusuka, nampenda my wife akiwa na nywele zake za asili, akichana akazilaza upande au kaweka rollers zikatengeneza waves yaan mimi full rubudani. Kusuka akisuka rasta nyembamba sema nna wasiwasi na wamasai[emoji16] .
Siji kumnunulia mawigi na nikikuta amenunua nalitia moto. Uzuri nguo namnunulia mimi ndefu kiasi, naye ashaelewa nazopendelea so na yeye ameshafanana nami.
Haha uko vizuri sasa vipi kuhusu make up,wigs zake usiwe unachoma bana,kuna siku mtu hujisikii kusuka na nywelr zimekaa ovyo unawaza utatokaje ila ukiwa na kawigi kako unakatupia tu.Wengine kufunga malemba ili kuficha ya kichwani ni wavivu kama mimi vilemba jaman.uwi
 
Mimi siwezi kukutaman kwa nywele au kope au kucha bandia. Mwanamke cha kwanza kutamanisha ni shape, hata kama kavaa yale sijui bulga bakiza jicho tu itaonekana. Nikiangalia mbele nkaona ujazo, nkaangalia nyuma nkaona something to touch baasi mengine yanafuata
Hahaha eti something to touch,haha bas we ni wale wa wowowoooooo
 
Back
Top Bottom