Mwanamke kama havai shanga siwezi kuwa na mahusiano nae, kabla ya yote nauliza kuhusu Shanga kama anazo

Mwanamke kama havai shanga siwezi kuwa na mahusiano nae, kabla ya yote nauliza kuhusu Shanga kama anazo

Nowadays mambo ya cheni na shanga nayo ni kama yamevamiwa.

Haiingii akilini Hadi wadada vibonge eti nao uvaa cheni na shanga viunoni.

Unajiuliza Sasa kibonge nae anavaa shanga/cheni ili akatike kitu gani wakati kiuno chenyewe Hana🤔
 
Nowadays mambo ya cheni na shanga nayo ni kama yamevamiwa.

Haiingii akilini Hadi wadada vibonge eti nao uvaa cheni na shanga viunoni.

Unajiuliza Sasa kibonge nae anavaa shanga/cheni ili akatike kitu gani wakati kiuno chenyewe Hana🤔
Wewe Tena mabonge ndio shanga inaleta vibes tamu
 
Sina mengi ya kusema kichwa cha habari Kiko bayana karibu tuzungumze wengine mna mtazamo gani kuhusu wanawake hasa kuvaa shanga.

Vibe langu limekaa kwenye shanga, obviously shanga huambatana na miuno kama yote

Pang Fung Mi
muhimu zaidi ukiweka angalau iwe na resistance, sio kitu hakina kingo wala mwisho wa kina hakijulikani 🐒
 
Haaaahaaa!! Uwe unawanunuliaaa🤣🤣🤣🤣 Nyie ndio mnataka wanawake waliopendeza na hamjui nani kampa hiyo Hela ya kusuka Wala nguoo!!!
 
Kuna watu watakuomba picha, nimekusaidia kuweka mkuu......

images (4).jpeg
 
Back
Top Bottom