Wanaume WA Sahiv sio wale wa zamani jombaaa,Waangalie Michelle na Barack Obama walipo leo hii. Walianza hawana kitu maskini wa kutupa lakini leo wanakula matunda ya penzi lao la ukweli matunda ya jasho ambalo wamechuma pamoja. Hizo tamaa zenu na mapenzi yenu FAKE zitawapeleka pabaya.
Ushasema mwanamke hapa nazungumzia mwanamke sizungumzii shepu ya mwanamke au mwanaume hapa? Upo ankoo?Ukute mwanamke mwenyewe Tako pasi, paja fito mguu wa juma nyoso, mbaya zaidi sura ya Toyota funcargo[emoji34]
Sent from my TECNO KB8 using JamiiForums mobile app
Mie nimeandika huyo anaesema maneno hayo kwenye post yukoje, nime imagine tu[emoji1]Ushasema mwanamke hapa nazungumzia mwanamke sizungumzii shepu ya mwanamke au mwanaume hapa? Upo ankoo?
Wanaume WA Sahiv sio wale wa zamani jombaaa,
Wanaume hawataki kuvuja Jasho, mwanaume muda wote yupo laini laini kama maini.
Nendeni jando jombaaa, mwanaume wa ukweli unatakiwa utahiriwe bila ganzi upo?
Huyo mwanaume ni mjinga na mpumbavu kuwa na mwanamke Kama weweUshasema mwanamke hapa nazungumzia mwanamke sizungumzii shepu ya mwanamke au mwanaume hapa? Upo ankoo?
Huyo mama huwa ni kipensi suruali, sijui hata kama ana mume maana ni katili kwa maandiko yake na she does not sound as a woman, she is not humble halafu hana respect kwa wanume, yeye anawaza pesa tu na thamani ya mume kwake sio utu wala upendo bali ni pesa hata kama ni ya ushirikina au ya wiziWaangalie Michelle na Barack Obama walipo leo hii. Walianza hawana kitu maskini wa kutupa lakini leo wanakula matunda ya penzi lao la ukweli matunda ya jasho ambalo wamechuma pamoja. Hizo tamaa zenu na mapenzi yenu FAKE zitawapeleka pabaya.
Jamani wasimangeni tu wanaume, mtapigwa mimba na kutelekezwa Hadi akili ziwakae sawa. Mpaka mtakapo jifunza kuwaenzi na kuwaheshimu wanaume zenu hata kama hawana pesa