Mwanamke kama mwanaume hana hela, hana love

Mwanamke kama mwanaume hana hela, hana love

Sikubaliani na wewe hata kidogo, kuna raha yake kuanza chini pamoja hadi kufikia mafanikio , kwani ni wanaume wangapi wanapambana uko nje kwa ajili ya wake zao na familia ya mke na wakati huo wewe mwanamke upo tu nyumbani.....nashidwaje sasa kupambana kwa ajili ya mme wangu

Upendo - Uvumilia, hauhesabu mabaya, hauna ubinafsi n.k
 
Wisdom at the highest level 🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾
Thank you 🙏🏽

Kwa kweli sio wachaga wote, ila hawa wachache kama akina bushmammy wanaharibu sana,

halafu hata lugha yake tu anavyoandika utadhani msela wa kijiweni, huwezi kujua kama ni mwanamke.

Nahisi kutakua na walakini kwenye makuzi ya huyu mama au pengine alishatendwa sana na wanaume ila sidhani kama yupo sawa kiakili
 
Huyo mwanaume ni mjinga na mpumbavu kuwa na mwanamke Kama wewe
Wa kulaumiwa ni huyo mwanaume alikosea kuchagua
Ndiyo wale wanaume wanaoa tako badala ya mke
Utavuna ulichopanda
Wewe na wewe sijiu umetokea na wap maana badala ya kuja na hoja unatoka na matusi au kisu kimegonga kwenye mfupa?
 
Huyo mama huwa ni kipensi suruali, sijui hata kama ana mume maana ni katili kwa maandiko yake na she does not sound as a woman, she is not humble halafu hana respect kwa wanume, yeye anawaza pesa tu na thamani ya mume kwake sio utu wala upendo bali ni pesa hata kama ni ya ushirikina au ya wizi

I am not trying to judge he in any ways ila najaribu kusema ambacho nakisoma toka kwake
Mdada mbona wanitukana, wewe kwa akili yako unafikiri nikileta mada hapa najiandikia mimi au? Umeona hali ya mtaani wanawake wanavyopata shida kutokana na wanaume wa siku hizi kuwa mizigo mizito kama zege?

Huu sio muda wa kuwaonea huruma wanaume tena.
 
Jamani wasimangeni tu wanaume, mtapigwa mimba na kutelekezwa Hadi akili ziwakae sawa. Mpaka mtakapo jifunza kuwaenzi na kuwaheshimu wanaume zenu hata kama hawana pesa
Mwanaume kama Hajui kutafuta hela huyo nae ataitwa mwanaume? Hiyo heshima ataipata wap sasa?
Muda wote mtu yupo Rojo Rojo tu
 
Bushmamy kazana mwaya kutafuta pesa, lea kibenten chako....maisha yanasonga....ila kama hujaolewa ukiolewa salaleeeeee namuonea huruma huyo mume atakayekuoa ...una chuki na wanaume..sijui uliumizwa na mmoja wao ama na wewe umelelewa na single mother??? hii anger towards men imetokea wapi?? sema usaidiwe...
Sijawahi umizwa wala nazungumzia hali ya kawaida nayoina mitaani
 
Akili za wanaume Zina nini cha zaidi?
Umekosa Nilichokiandika au umekurupushwa
Duuuh...Hivi nyangulo ndio nini?tatizo huzijui akili za wanaume zikoje usingesema hayo yote..
[/QUOTE
 
Mdada mbona wanitukana, wewe kwa akili yako unafikiri nikileta mada hapa najiandikia mimi au? Umeona hali ya mtaani wanawake wanavyopata shida kutokana na wanaume wa siku hizi kuwa mizigo mizito kama zege?

Huu sio muda wa kuwaonea huruma wanaume tena.
Kwa hiyo hao wanawake wa mtaani ndo wamekutuma uje uwasemee huku!?
 
Back
Top Bottom