Mwanamke kama mwanaume hana hela, hana love

Mwanamke kama mwanaume hana hela, hana love

Na upuuzi wao wanaouandika katika social media mbali mbali ndiyo unazidi kuharibu mahusiano na hata ndoa kwa wengi kuiga huo upuuzi unaosambazwa mitandaoni.

True mademu wa bongo ni fake sana.... Halafu ni hiki kizazi kilichozaliwa mid 1990's.
 
Mdada mbona wanitukana, wewe kwa akili yako unafikiri nikileta mada hapa najiandikia mimi au? Umeona hali ya mtaani wanawake wanavyopata shida kutokana na wanaume wa siku hizi kuwa mizigo mizito kama zege?

Huu sio muda wa kuwaonea huruma wanaume tena.
Kwanza nani amekudanganya wanaume wanataka kuhurumiwa?!

Jua tu majukumu yako ya kike hauyajui.
 
Na upuuzi wao wanaouandika katika social media mbali mbali ndiyo unazidi kuharibu mahusiano na hata ndoa kwa wengi kuiga huo upuuzi unaosambazwa mitandaoni.
Naam mabinti wengi wanakuwa influenced na hayo mautopolo yao
 
Oyaaa wanawake wenzangu, maandiko yanasema kabisa mwanaume utakula kwa Jasho na wewe mwanamke utazaa kwa uchungu. Halafu home una kisiki cha mpingo kimekaa home kimitego kinasuburi ulete nyama na ndizi au mchele, Thubutuuuuu mxiuuuuu ya shangazi yake. Utakuwa umelogwa wewe.

Piga mateke ngumi kwa fujo alete hela sio kukaa home amechomekea suruali kama mwanaume kumbe mdoli tu fukuza hapo hana maana

Mwanamke akiotea kidogo tu kelele.
Anza kupiga hayo mateke na ngumi. Kesho atakuwepo mkata kucha, atakuja muuza mitumba, na wengine wengi watafuata kwa gharama zako.
Hapo utapanda cheo na kuwa shuga mamii kijeba
 
Na upuuzi wao wanaouandika katika social media mbali mbali ndiyo unazidi kuharibu mahusiano na hata ndoa kwa wengi kuiga huo upuuzi unaosambazwa mitandaoni.
Inawagharimu wao lakini....

Maana kwa mfano mimi nikitazama age mate wangu au wale wanawake nimewazidi kuanzia miaka 1 hadi 5 wengi kwasasa wameshakanyaga au wanakaribia 30.

Wameshavurugwa na hawana ladha tena maana wameshaanza kukomaa.

Ila nikitazama ambao wapo available wengi ni watoto wa kuanzia 1997 kuendelea...... Wengi sana ni wa umri wa kuanzia 1999......

So kimsingi maisha ya wanawake yanatakiwa utulivu na hekima sana maana wao ndio huwa wanapoteza malengo na directions haraka.

Mimi nikizaa na wanawake 10 still nina nafasi ya kuanza maisha na mwanamke mpya tena mbichi kabisa..... Ila mwanamke akizaa na wanaume wawili tu wakamtenga tayari ameshachemsha gemu.

Zari yule pale anajifanyaga sijui boss lady ila tazama kila siku kulia lia hapewi matunzo na kutaka attention ya wanaume.
 
Watoto wa kike miaka hii mnaishi kwa hisia sana..... Yaani mnaishi maisha ya kutumia hisia badala uhalisia.

Ndio maana leo unaweza kwenda kuazima gari ya mtu, ukatafuta hela kidogo na ukamuomba rafiki yako nyumba yake na ukatumia hivi vitu kumpata mwanamke unaemtaka sababu wanaishi kwa hisia na kutaka vitu vya kusadikika.

Sikatai kuna vijana wa kiume ni wavivu sana na si watu wa kuchakalika. Ila sasa msigeuze hii kitu kuwa ni kila mtu yupo hivyo. Mpambanaji ni Mpambanaji tu kukosa au kupata ni matokeo. Sasa kwann mnalazimisha wanaume wote wafanane matokeo yaani wapate as if walichagua kukosa.

Kitendo cha mwanaume kukuchagua tu tayari ni ishara ya kuwa na interest na wewe, na ulipomkubalia ni ishara ya kukubali proposal yake ya kuwa nae.

Watoto wa kike wa siku hizi you lack proper training ya maisha na kuelewa ni wapi msaada wako unahitajika kwa huyu mwanaume anapohitaji. Wengi maisha hamyajui.

Unahisi wewe unapopigia simu michepuko yako unayoigawia mgegedo ikutumie hela basi na mwanaume anafanya hivyo hivyo?!

Huu ugumu wa sasa ni man made na sio natural. Ingekuwa tunaishi nyumba za tembe na kulima mahindi ndio maisha yameisha am sure 80% ya population ya vijana wa kibongo wangekuwa wameshaanza maisha ya familia. Ila balaa ni kwamba anatakiwa atafute hela ya kodi, umeme, mavazi, bili ya maji, usafiri, mawasiliano, michango ya ulinzi, harusi, na mambo mengine. Hivi vyote anatakiwa atafute mwenyewe na bado wewe hajakulipia bili zako za kipuuzi kama vikoba ambavyo huwa havimsaidii lolote mwisho wa siku.

Kimsingi mnataka watu waigizie maisha na wasiwe natural ili kuwafurahisha ninyi.

Kama ukitafiti vijana wa kiume wanaoamua kukaa mbali maswala ya ninyi wadangaji huwa wanafika mbali kimaisha kabla ya kuanza familia sababu pesa nyingi huwa wanawekeza katika kuwafurahisha na isiwe na faida mwisho wa siku.

Hebu rejeeni misingi ya kuwa mwanamke na vigezo vyake vya ukweli na muache usanii.
Nakazia hii reply 👏👏👏
 
Waangalie Michelle na Barack Obama walipo leo hii. Walianza hawana kitu maskini wa kutupa lakini leo wanakula matunda ya penzi lao la ukweli matunda ya jasho ambalo wamechuma pamoja. Hizo tamaa zenu na mapenzi yenu FAKE zitawapeleka pabaya.

Kwanza walikutana wapi? Then unafikiri Barack angekuwa furushi Michelle angehangaika nae? Aliona yuko na mtu mwenye mwangaza mbele.

Narudia tena, fukuza hilo furushi hapo nyumbani likatafute sio limekaa tu kubadili vipindi kwa tv.
 
Oyaaa wanawake wenzangu, maandiko yanasema kabisa mwanaume utakula kwa Jasho na wewe mwanamke utazaa kwa uchungu. Halafu home una kisiki cha mpingo kimekaa home kimitego kinasuburi ulete nyama na ndizi au mchele, Thubutuuuuu mxiuuuuu ya shangazi yake. Utakuwa umelogwa wewe.

Piga mateke ngumi kwa fujo alete hela sio kukaa home amechomekea suruali kama mwanaume kumbe mdoli tu fukuza hapo hana maana
kama mwanaume napenda motivation kama za design hii
 
hahahaa kama ulidanganywa kuwa uchi ni sehemu ya kupatia pesa basi fanya mpango ukadate na ATM


Soma alama za nyakati la sivyo muda si mrefu utajikuta kwa waganga wa kienyeji kuongeza mvuto
 
hahahaa kama ulidanganywa kuwa uchi ni sehemu ya kupatia pesa basi fanya mpango ukadate na ATM


Soma alama za nyakati la sivyo muda si mrefu utajikuta kwa waganga wa kienyeji kuongeza mvuto
Mzee baba Acha kupaka packages losheni ya mkeo hapo ndani amka Katafute naona umepanic ya bando lote 😬😬
 
Back
Top Bottom