Mwanamke kama mwanaume hana hela, hana love

Mwanamke kama mwanaume hana hela, hana love

Watoto wa kike miaka hii mnaishi kwa hisia sana..... Yaani mnaishi maisha ya kutumia hisia badala uhalisia.

Ndio maana leo unaweza kwenda kuazima gari ya mtu, ukatafuta hela kidogo na ukamuomba rafiki yako nyumba yake na ukatumia hivi vitu kumpata mwanamke unaemtaka sababu wanaishi kwa hisia na kutaka vitu vya kusadikika.

Sikatai kuna vijana wa kiume ni wavivu sana na si watu wa kuchakalika. Ila sasa msigeuze hii kitu kuwa ni kila mtu yupo hivyo. Mpambanaji ni Mpambanaji tu kukosa au kupata ni matokeo. Sasa kwann mnalazimisha wanaume wote wafanane matokeo yaani wapate as if walichagua kukosa.

Kitendo cha mwanaume kukuchagua tu tayari ni ishara ya kuwa na interest na wewe, na ulipomkubalia ni ishara ya kukubali proposal yake ya kuwa nae.

Watoto wa kike wa siku hizi you lack proper training ya maisha na kuelewa ni wapi msaada wako unahitajika kwa huyu mwanaume anapohitaji. Wengi maisha hamyajui.

Unahisi wewe unapopigia simu michepuko yako unayoigawia mgegedo ikutumie hela basi na mwanaume anafanya hivyo hivyo?!

Huu ugumu wa sasa ni man made na sio natural. Ingekuwa tunaishi nyumba za tembe na kulima mahindi ndio maisha yameisha am sure 80% ya population ya vijana wa kibongo wangekuwa wameshaanza maisha ya familia. Ila balaa ni kwamba anatakiwa atafute hela ya kodi, umeme, mavazi, bili ya maji, usafiri, mawasiliano, michango ya ulinzi, harusi, na mambo mengine. Hivi vyote anatakiwa atafute mwenyewe na bado wewe hajakulipia bili zako za kipuuzi kama vikoba ambavyo huwa havimsaidii lolote mwisho wa siku.

Kimsingi mnataka watu waigizie maisha na wasiwe natural ili kuwafurahisha ninyi.

Kama ukitafiti vijana wa kiume wanaoamua kukaa mbali maswala ya ninyi wadangaji huwa wanafika mbali kimaisha kabla ya kuanza familia sababu pesa nyingi huwa wanawekeza katika kuwafurahisha na isiwe na faida mwisho wa siku.

Hebu rejeeni misingi ya kuwa mwanamke na vigezo vyake vya ukweli na muache usanii.
Umenena vyema mkuu
 
Waangalie Michelle na Barack Obama walipo leo hii. Walianza hawana kitu maskini wa kutupa lakini leo wanakula matunda ya penzi lao la ukweli matunda ya jasho ambalo wamechuma pamoja. Hizo tamaa zenu na mapenzi yenu FAKE zitawapeleka pabaya.
Umekosa kabisa mfano hai kwenye jamii za kitanzania?
Anyway ungeweza hata kumtumia Mwl Mstaafu John magufuli na Mwl Janeth, wametoka mbali sana hawa wawili hadi kufikia hatua ya kuongoza taifa kubwa duniani
 
Inawagharimu wao lakini....

Maana kwa mfano mimi nikitazama age mate wangu au wale wanawake nimewazidi kuanzia miaka 1 hadi 5 wengi kwasasa wameshakanyaga au wanakaribia 30.

Wameshavurugwa na hawana ladha tena maana wameshaanza kukomaa.

Ila nikitazama ambao wapo available wengi ni watoto wa kuanzia 1997 kuendelea...... Wengi sana ni wa umri wa kuanzia 1999......

So kimsingi maisha ya wanawake yanatakiwa utulivu na hekima sana maana wao ndio huwa wanapoteza malengo na directions haraka.

Mimi nikizaa na wanawake 10 still nina nafasi ya kuanza maisha na mwanamke mpya tena mbichi kabisa..... Ila mwanamke akizaa na wanaume wawili tu wakamtenga tayari ameshachemsha gemu.

Zari yule pale anajifanyaga sijui boss lady ila tazama kila siku kulia lia hapewi matunzo na kutaka attention ya wanaume.
Kweli kabisa[emoji848]
 
Kwanza walikutana wapi? Then unafikiri Barack angekuwa furushi Michelle angehangaika nae? Aliona yuko na mtu mwenye mwangaza mbele.

Narudia tena, fukuza hilo furushi hapo nyumbani likatafute sio limekaa tu kubadili vipindi kwa tv.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji1787]
 
Wanaume WA Sahiv sio wale wa zamani jombaaa,
Wanaume hawataki kuvuja Jasho, mwanaume muda wote yupo laini laini kama maini.
Nendeni jando jombaaa, mwanaume wa ukweli unatakiwa utahiriwe bila ganzi upo?
nani atahiriwe bila ganzi?

na niwe govinda milele tu
 
Asante mdada, nilimjibu hapo vizuri tu lakini naona hakunielewa, Michelle aliona kabisa Obama ni msaka nyoka mzuri tu, ndo mana hadi leo hii wapo wote,
Sasa vijaume hivi vya hapa kichwani Hawazi mbali muda wote akaulizia bifu la kiba na diamond limefikia wap,
Nyoooo mtasubiri sana tu
Na kubishania mpira, utasikia " messi katudanganya sisi fans wake" kuanzia asubuhi hadi jioni imetoka hiyo
 
Umekosa kabisa mfano hai kwenye jamii za kitanzania?
Anyway ungeweza hata kumtumia Mwl Mstaafu John magufuli na Mwl Janeth, wametoka mbali sana hawa wawili hadi kufikia hatua ya kuongoza taifa kubwa duniani
Taifa kubwa duniani???[emoji15][emoji15][emoji15]
 
Oyaaa wanawake wenzangu, maandiko yanasema kabisa mwanaume utakula kwa Jasho na wewe mwanamke utazaa kwa uchungu. Halafu home una kisiki cha mpingo kimekaa home kimitego kinasuburi ulete nyama na ndizi au mchele, Thubutuuuuu mxiuuuuu ya shangazi yake. Utakuwa umelogwa wewe.

Piga mateke ngumi kwa fujo alete hela sio kukaa home amechomekea suruali kama mwanaume kumbe mdoli tu fukuza hapo hana maana
We umefukuza wangap?
 
Oyaaa wanawake wenzangu, maandiko yanasema kabisa mwanaume utakula kwa Jasho na wewe mwanamke utazaa kwa uchungu. Halafu home una kisiki cha mpingo kimekaa home kimitego kinasuburi ulete nyama na ndizi au mchele, Thubutuuuuu mxiuuuuu ya shangazi yake. Utakuwa umelogwa wewe.

Piga mateke ngumi kwa fujo alete hela sio kukaa home amechomekea suruali kama mwanaume kumbe mdoli tu fukuza hapo hana maana

[emoji23][emoji23][emoji23] nyie viumbe nyie sijawahi ona kwakwel
 
Ila mkiwa na miaka 35+ mnatafuta bora awe mwanaume na mkiwa na miaka under 20 huwa mna mapenz ya kweli.

Sasa 20yrs up 34 mnajifanya mnatafuta tajiri na awe wa peke ako hongeleni sana msiwe basi na wivu na wenzenu pia wanataka huyo huyo tajiri wako
 
alikutongoza sijui umemtongoza, ukakubali, ukavua samaki, ukamkaribisha home, hukujua yote haya? SHUMAMITI kua na adabu
 
Huyo mama huwa ni kipensi suruali, sijui hata kama ana mume maana ni katili kwa maandiko yake na she does not sound as a woman, she is not humble halafu hana respect kwa wanume, yeye anawaza pesa tu na thamani ya mume kwake sio utu wala upendo bali ni pesa hata kama ni ya ushirikina au ya wizi

I am not trying to judge he in any ways ila najaribu kusema ambacho nakisoma toka kwake
Aisee mambo mengi muda mchache
 
Back
Top Bottom