Mwanamke kama mwanaume hana hela, hana love

Mwanamke kama mwanaume hana hela, hana love

Inawagharimu wao lakini....

Maana kwa mfano mimi nikitazama age mate wangu au wale wanawake nimewazidi kuanzia miaka 1 hadi 5 wengi kwasasa wameshakanyaga au wanakaribia 30.

Wameshavurugwa na hawana ladha tena maana wameshaanza kukomaa.

Ila nikitazama ambao wapo available wengi ni watoto wa kuanzia 1997 kuendelea...... Wengi sana ni wa umri wa kuanzia 1999......

So kimsingi maisha ya wanawake yanatakiwa utulivu na hekima sana maana wao ndio huwa wanapoteza malengo na directions haraka.

Mimi nikizaa na wanawake 10 still nina nafasi ya kuanza maisha na mwanamke mpya tena mbichi kabisa..... Ila mwanamke akizaa na wanaume wawili tu wakamtenga tayari ameshachemsha gemu.

Zari yule pale anajifanyaga sijui boss lady ila tazama kila siku kulia lia hapewi matunzo na kutaka attention ya wanaume.
Mkuu una akili Sana [emoji119]

One love
 
Kwanza walikutana wapi? Then unafikiri Barack angekuwa furushi Michelle angehangaika nae? Aliona yuko na mtu mwenye mwangaza mbele.

Narudia tena, fukuza hilo furushi hapo nyumbani likatafute sio limekaa tu kubadili vipindi kwa tv.
Asante mdada, nilimjibu hapo vizuri tu lakini naona hakunielewa, Michelle aliona kabisa Obama ni msaka nyoka mzuri tu, ndo mana hadi leo hii wapo wote,
Sasa vijaume hivi vya hapa kichwani Hawazi mbali muda wote akaulizia bifu la kiba na diamond limefikia wap,
Nyoooo mtasubiri sana tu
 
Itoshe kusema "Mwanamke yeyote anapaswa kuishi kwa kutumia akili na hekima, akiziendekeza hisia na peer pressure ....mtaa utamzimia data muda c mrefu ....

One love
 
Inawagharimu wao lakini....

Maana kwa mfano mimi nikitazama age mate wangu au wale wanawake nimewazidi kuanzia miaka 1 hadi 5 wengi kwasasa wameshakanyaga au wanakaribia 30.

Wameshavurugwa na hawana ladha tena maana wameshaanza kukomaa.

Ila nikitazama ambao wapo available wengi ni watoto wa kuanzia 1997 kuendelea...... Wengi sana ni wa umri wa kuanzia 1999......

So kimsingi maisha ya wanawake yanatakiwa utulivu na hekima sana maana wao ndio huwa wanapoteza malengo na directions haraka.

Mimi nikizaa na wanawake 10 still nina nafasi ya kuanza maisha na mwanamke mpya tena mbichi kabisa..... Ila mwanamke akizaa na wanaume wawili tu wakamtenga tayari ameshachemsha gemu.

Zari yule pale anajifanyaga sijui boss lady ila tazama kila siku kulia lia hapewi matunzo na kutaka attention ya wanaume.
Kwa maelezo yote haya naona kabisa hii mada ilikuwa yako ndo mana unajitahidi kijitetea kwa nguvu zote,
Mzee baba Punguza shobo mjini uweke heshima nyumbani, Katafute hela zilipo utadharauliwa hadi na watoto
 
Kwanza walikutana wapi? Then unafikiri Barack angekuwa furushi Michelle angehangaika nae? Aliona yuko na mtu mwenye mwangaza mbele.

Narudia tena, fukuza hilo furushi hapo nyumbani likatafute sio limekaa tu kubadili vipindi kwa tv.
Full panic mode
 
Nyie mnaolewa na wavulana na sio wanaume...Msituhusishe wanaume katika hayo maswala tafadharini tuheshimiane...mwanaume awezi kaa ndani asubirie umletee chakula ale..
 
Ushasema mwanamke hapa nazungumzia mwanamke sizungumzii shepu ya mwanamke au mwanaume hapa? Upo ankoo?

Tulia we Mwanamama, na sura zenu zilizochoka Kama Daftari la madeni ya muuza mkaa hamuoni kama tunawasitiri saa Zingine?... Mwanamke mwili umekukakamaa utafkiri Mbao za lenta umchongolee mdomo Nani?

Kama Mwanaume Hana hela nenda katafute wewe.. asingekuepo angekutaftia Nani? Mnadai haki sawa tukija Kwenye Majukumu mnakimbilia Maandiko, laana zenu!!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] asante
 
Tulia we Mwanamama, na sura zenu zilizochoka Kama Daftari la madeni ya muuza mkaa hamuoni kama tunawasitiri saa Zingine?... Mwanamke mwili umekukakamaa utafkiri Mbao za lenta umchongolee mdomo Nani?

Kama Mwanaume Hana hela nenda katafute wewe.. asingekuepo angekutaftia Nani? Mnadai haki sawa tukija Kwenye Majukumu mnakimbilia Maandiko, laana zenu!!

Duh mwanaume unachamba kama mwanamke !!
 
Oyaaa wanawake wenzangu, maandiko yanasema kabisa mwanaume utakula kwa Jasho na wewe mwanamke utazaa kwa uchungu. Halafu home una kisiki cha mpingo kimekaa home kimitego kinasuburi ulete nyama na ndizi au mchele, Thubutuuuuu mxiuuuuu ya shangazi yake. Utakuwa umelogwa wewe.

Piga mateke ngumi kwa fujo alete hela sio kukaa home amechomekea suruali kama mwanaume kumbe mdoli tu fukuza hapo hana maana
Nakaziaaaaaa[emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Huyo mama huwa ni kipensi suruali, sijui hata kama ana mume maana ni katili kwa maandiko yake na she does not sound as a woman, she is not humble halafu hana respect kwa wanume, yeye anawaza pesa tu na thamani ya mume kwake sio utu wala upendo bali ni pesa hata kama ni ya ushirikina au ya wizi

I am not trying to judge he in any ways ila najaribu kusema ambacho nakisoma toka kwake
Ha ha ha
 
Oyaaa wanawake wenzangu, maandiko yanasema kabisa mwanaume utakula kwa Jasho na wewe mwanamke utazaa kwa uchungu. Halafu home una kisiki cha mpingo kimekaa home kimitego kinasuburi ulete nyama na ndizi au mchele, Thubutuuuuu mxiuuuuu ya shangazi yake. Utakuwa umelogwa wewe.

Piga mateke ngumi kwa fujo alete hela sio kukaa home amechomekea suruali kama mwanaume kumbe mdoli tu fukuza hapo hana maana
Acha matumizi mabaya ya vitabu vya Mungu. Wewe umeambiwa utazaa kwa uchungu sasa kwanini unaingilia majukumu ya mwanaume ya kula kwa jasho kwa kuleta ndizi nyama na mchele?
 
Oyaaa wanawake wenzangu, maandiko yanasema kabisa mwanaume utakula kwa Jasho na wewe mwanamke utazaa kwa uchungu. Halafu home una kisiki cha mpingo kimekaa home kimitego kinasuburi ulete nyama na ndizi au mchele, Thubutuuuuu mxiuuuuu ya shangazi yake. Utakuwa umelogwa wewe.

Piga mateke ngumi kwa fujo alete hela sio kukaa home amechomekea suruali kama mwanaume kumbe mdoli tu fukuza hapo hana maana
Roho ya Jezebeli hii. Mungu akusaidie Sana.
 
Back
Top Bottom