MR. IBU
JF-Expert Member
- Aug 13, 2012
- 1,380
- 2,965
Ziada yake huwa zinawaza kusimama na miguu mitatu na wala sio miwili.ambapo wewe hutoweza kufikilia kamwe..Akili za wanaume Zina nini cha zaidi?
Umekosa Nilichokiandika au umekurupushwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ziada yake huwa zinawaza kusimama na miguu mitatu na wala sio miwili.ambapo wewe hutoweza kufikilia kamwe..Akili za wanaume Zina nini cha zaidi?
Umekosa Nilichokiandika au umekurupushwa
Panua Akili Usipanue mapaja tu..Muda unakwenda...Unesoma mada? Kuna sehemu nimeandika wametuma?
Katafute hela bwana mdogo Acha kulamba lamba lips [emoji182] hilo
Wee kiboko mama[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Akili ishapanuka na mapaja yashapanuliwa vile vile
Tulia mr.Maneno ya mdada mwenye miaka 28 na kuendelea na hata dalili ya mtu kuja kurescue hayupo. Relax
Hahahaa hawa watakuja kufa hawa ..ndio maana huwa wana dhalilishwa sana kwa kupigwa picha chafu na picha hizo kutumwa mitandaoniWaangalie Michelle na Barack Obama walipo leo hii. Walianza hawana kitu maskini wa kutupa lakini leo wanakula matunda ya penzi lao la ukweli matunda ya jasho ambalo wamechuma pamoja. Hizo tamaa zenu na mapenzi yenu FAKE zitawapeleka pabaya.
Nimeagiza popcorn zangu za 300k nafuatilia hili saga mwanzo mwisho[emoji1787][emoji1787]umetangaza VITA YA NNE YA DUNIA upande wa pili[emoji28][emoji28]
Mkuu zawadi zako hizo nimeshalipiwa enjoy your drinkBushmamy kazana mwaya kutafuta pesa, lea kibenten chako....maisha yanasonga....ila kama hujaolewa ukiolewa salaleeeeee namuonea huruma huyo mume atakayekuoa ...una chuki na wanaume..sijui uliumizwa na mmoja wao ama na wewe umelelewa na single mother??? hii anger towards men imetokea wapi?? sema usaidiwe...
HahahaaWewe una nongwa, kila mwanaume unamuona tapeli. Pole Sana nitakupa mchongo mwingine, usikonde
My ribswauza nyapu mna nongwa sana!
Wacha kuwasemea wanawake wenzio,kila mtu ameamua kuishi maisha anayotaka.Wacha wahudumie waume zao...mama dangote,restfish,openkitchen,past shilole,aunt ezekiel,nkOyaaa wanawake wenzangu, maandiko yanasema kabisa mwanaume utakula kwa Jasho na wewe mwanamke utazaa kwa uchungu. Halafu home una kisiki cha mpingo kimekaa home kimitego kinasuburi ulete nyama na ndizi au mchele, Thubutuuuuu mxiuuuuu ya shangazi yake. Utakuwa umelogwa wewe.
Piga mateke ngumi kwa fujo alete hela sio kukaa home amechomekea suruali kama mwanaume kumbe mdoli tu fukuza hapo hana maana
Oyaaa wanawake wenzangu, maandiko yanasema kabisa mwanaume utakula kwa Jasho na wewe mwanamke utazaa kwa uchungu. Halafu home una kisiki cha mpingo kimekaa home kimitego kinasuburi ulete nyama na ndizi au mchele, Thubutuuuuu mxiuuuuu ya shangazi yake. Utakuwa umelogwa wewe.
Piga mateke ngumi kwa fujo alete hela sio kukaa home amechomekea suruali kama mwanaume kumbe mdoli tu fukuza hapo hana maana
Wacha kuwasemea wanawake wenzio,kila mtu ameamua kuishi maisha anayotaka.Wacha wahudumie waume zao...mama dangote,restfish,openkitchen,past shilole,aunt ezekiel,nk
OkWe mchane tu huyo Bushdaddy usije kutufokea sisi huku Jf hatuhusiki [emoji23]
Watoto wa kike miaka hii mnaishi kwa hisia sana..... Yaani mnaishi maisha ya kutumia hisia badala uhalisia.Oyaaa wanawake wenzangu, maandiko yanasema kabisa mwanaume utakula kwa Jasho na wewe mwanamke utazaa kwa uchungu. Halafu home una kisiki cha mpingo kimekaa home kimitego kinasuburi ulete nyama na ndizi au mchele, Thubutuuuuu mxiuuuuu ya shangazi yake. Utakuwa umelogwa wewe.
Piga mateke ngumi kwa fujo alete hela sio kukaa home amechomekea suruali kama mwanaume kumbe mdoli tu fukuza hapo hana maana
True mademu wa bongo ni fake sana.... Halafu ni hiki kizazi kilichozaliwa mid 1990's.Waangalie Michelle na Barack Obama walipo leo hii. Walianza hawana kitu maskini wa kutupa lakini leo wanakula matunda ya penzi lao la ukweli matunda ya jasho ambalo wamechuma pamoja. Hizo tamaa zenu na mapenzi yenu FAKE zitawapeleka pabaya.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] washenzi sanaHahahaa hawa watakuja kufa hawa ..ndio maana huwa wana dhalilishwa sana kwa kupigwa picha chafu na picha hizo kutumwa mitandaoni
We unataka kututibua tu hapa....Wanaume WA Sahiv sio wale wa zamani jombaaa,
Wanaume hawataki kuvuja Jasho, mwanaume muda wote yupo laini laini kama maini.
Nendeni jando jombaaa, mwanaume wa ukweli unatakiwa utahiriwe bila ganzi upo?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hili nalo ni nenoSawa tumepita kule, tukipata pesa mnaanza kulia lia kuwa hamtaki tu wa cheat ww unadhani wenzio hawapendi wenye pesa ni ww tuu ?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dah bro, watu wanatupa madongo ila wewe umerusha jiwe aina ya fatuma kabisa....Kama kuwa na hela ndio kipimo cha uanaume basi na Baba ako sio Mwanaume Kwa sababu kama.ni hela ilitakiwa uchukue Kwa Baba ako mzazi