Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe una nongwa, kila mwanaume unamuona tapeli. Pole Sana nitakupa mchongo mwingine, usikondePUMBA!
Wewe una nongwa, kila mwanaume unamuona tapeli. Pole Sana nitakupa mchongo mwingine, usikonde
Umevurugwa.....Usijifanye unanijua mpuuzi wewe...mashudu yako yanahusiana nini na mimi kutapeliwa..potea huko, nyau we!
Wewe Ni sadist, ndio maana nature inakuadhibuWewe ndio umevurugwa unaandika mashudu...
Hio chuki moyoni mwangu umeipima na nini?
Chukua time, mpuuzi mmoja tu wewe...
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Hapo unapompiga mateke na ngumi mixer kumfukuza ni kwako ama kwake?
Wewe Ni sadist, ndio maana nature inakuadhibu
Eti mchaga na pesa..hakuna penzi kwa mchaga kama huna pesa (sio wote)Huyo mama huwa ni kipensi suruali, sijui hata kama ana mume maana ni katili kwa maandiko yake na she does not sound as a woman, she is not humble halafu hana respect kwa wanume, yeye anawaza pesa tu na thamani ya mume kwake sio utu wala upendo bali ni pesa hata kama ni ya ushirikina au ya wizi
I am not trying to judge he in any ways ila najaribu kusema ambacho nakisoma toka kwake
calm down dearHunijui na hutokaa unijue, nature imeingiaje hapa??? au kuandika mashudu ni nature ??? mxiewww
Kwa kweli sio wachaga wote, ila hawa wachache kama akina bushmammy wanaharibu sana,Eti mchaga na pesa..hakuna penzi kwa mchaga kama huna pesa (sio wote)
Nina maCousin wachaga yaani stori zao ni hizi hizi. Pesa pesa..pesa.
Pesa itakufaa nini bila qmani ya nafsi.?
Mbona hueleweki, umepewa mfano wa mwanamke mwenzio aliyevumilia shida unakuja na hoja nyingine. Yaani wemwenyewe hujui unataka nnWanaume WA Sahiv sio wale wa zamani jombaaa,
Wanaume hawataki kuvuja Jasho, mwanaume muda wote yupo laini laini kama maini.
Nendeni jando jombaaa, mwanaume wa ukweli unatakiwa utahiriwe bila ganzi upo?