Ni kutokujielewa huko mimi nikufumanie direct hafu eti nijifanye kusamehe mbona ngumu hyo, kafanyie uchafu mbali huko kahNi mitihani sana hawa viumbe. Hawaonagi kukosea asilani. Wanaonaga wao ni perfect sana. Sijui ni nature hata sielewagi. Wanajiamink sana ni malaika. Basi tu ni vile sisi wanyonge.
And yes, wanaangalia status ya familia ndo wamake move. Kitooongaaaa[emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23]mimi simwachi bwana nikimfumania hiyo itakuwa fimbo ya kumtesea Hadi uzeeniHeheheheh unajua kabisa ikithibitika tu umeuza utu imeisha hio [emoji28] unapigwa chini mazima! Hamnaga msamaha kwa malaya aisee
Unaanza kumchiti hadi kieleweke[emoji23][emoji23][emoji23]mimi simwachi bwana nikimfumania hyo itakuwa fimbo ya kumtesea Hadi uzeeni
Yeah kibinaadamu kosa kama hilo huwa halisahauliki, wife huwa analikumbishiaga sana tu japokua tukio lilitokea muda mrefu.Hilo kosa halisahauliki kamwe mimi nabaki tu ili watoto wakue basi tena heri kufanyia umalaya mbali na sio ndani hapo hapo hafu kirahisi huwa mnataka kusamehewa loh
Hahahaha mzee ngoja nitaandika thread yake na nitaku tag... Kituko eti nikaanza kukataa katakata kwamba sio mimi hadi nadondosha machozi [emoji23][emoji23][emoji23]Kama movie [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] hebu ilete mkuu
Mabaharia Wazee wa krosi hamtaki kupitwa [emoji23][emoji23]... Nitaleta mnakasha wake ni nitaku- orodhesha .Nilitaman kujua nini kiliendelea
Haikus kubakwa mkuu, tulikubaliana baada ya kumlaghai... Si Unajua vidada vya kinyaturu vilivyo na tushepu twa kichokozi.Tabia zenu ma ponjoro hizi kuwala mabeki tatu[emoji28] haifai na muache! Huyo mtumishi kaja kusaidia kazi sio kubakwa...shabash!
Hawawezi kutushinda akili hawa ha Haha ha ha au nasema uongo ndugu zanguuuuuAkirudi nitalifanyia kazi hili aisee
Huwa hatusahau ni kwamba tunaweza ishi na maumivu mda mrefu pia kutulia sio kwamba huwa mna mbinu sana ni vile huwa tunapuuzia life liendelee mbele basi na sio kwamba ni ujanjaYeah kibinaadamu kosa kama hilo huwa halisahauliki, wife huwa analikumbishiaga sana tu japokua tukio lilitokea muda mrefu.
Huwa nam'bembeleza nakumpa maneno laini, yaani Nampa maneno yakumfanya ajione yeye ni Bora na wa umuhimu. Huwa natoa Hadi machozi ya kiuwongo ili kushindilia uwongo wangu uonekane ukweli ( nasemaga wanawake Wana mioyo laini, ila wanaume tuna mbinu [emoji16])
Basi mwisho wa siku atalaza kichwa kifuani kwangu nami nitaitumia vizuri chance hiyo kwa kumpa support ya kumpigapiga mgongoni huku nikimshikashika nywele zake... At the end nakula tunda [emoji23]
Sio ku mu cheat tu tu tunaanza ku move on kiakili na kuanza sasa kujiandaa na lolote hasa investment za kisiri siri hamna kumuonea huruma kwa kutoa hela zake hapo navuta mda watoto wakue kue wakubwa kuanzia form six akikubuhu namwacha akiwa nguvu hana. Hapo ndo huwa majuto yenuUnaanza kumchiti hadi kieleweke
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji125][emoji125][emoji125][emoji377][emoji377][emoji377]Kamanda kashapigwa humo, mtoto wa kike anatambaa na chaki tu kuhalalisha jambo lake kuwa chanzo ni kisasi ila deep down anauza utu tayari
Sio ku mu cheat tu tu tunaanza ku move on kiakili na kuanza sasa kujiandaa na lolote hasa investment za kisiri siri hamna kumuonea huruma kwa kutoa hela zake hapo navuta mda watoto wakue kue wakubwa kuanzia form six akikubuhu namwacha akiwa nguvu hana. Hapo ndo huwa majuto yenu
Heeheheh af mke kakukuta upo namba 7 unasukuma kende maliwatoni kwa mtoto wa watuHaikus kubakwa mkuu, tulikubaliana baada ya kumlaghai... Si Unajua vidada vya kinyaturu vilivyo na tushepu twa kichokozi.
Alafu kamejifunga khanga kishundu kimechomoza Kam kichuguu [emoji23][emoji23]. Baharia nikapita nae
Fwala sana wee kiumbe [emoji23][emoji23][emoji23]Heeheheh af mke kakukuta upo namba 7 unasukuma kende maliwatoni kwa mtoto wa watu
Siwezi pata hzo adhabu ya kaburi maana ukifa husikii chochote wala aza yoyoteHalafu unategemea kupunguziwa adhabu ya kaburi
Yaap ila fumanizi uchwara aliliset yeye na wamama flani majirani,basi tangu kipindi hicho imekua nongwa kelele tuAlikufumania nini [emoji28] mzee baba?
Heheheheh pole sana mzee baba nawewe andaa fumanizi tu😅Yaap ila fumanizi uchwara aliliset Yeye na wamama flani majirani,basi tangu kipindi hicho imekua nongwa kelele tu
KabisaHawawezi kutushinda akili hawa ha Haha ha ha au nasema uongo ndugu zanguuuuu
Ha ha ha qumermakeHahahaha mzee ngoja nitaandika thread yake na nitaku tag... Kituko eti nikaanza kukataa katakata kwamba sio mimi hadi nadondosha machozi [emoji23][emoji23][emoji23]