Mwanamke kuingia kwenye ndoa na kuitwa 'Kumstiri' imekaaje?

Mwanamke kuingia kwenye ndoa na kuitwa 'Kumstiri' imekaaje?

kinje ketile

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2015
Posts
5,089
Reaction score
9,664
Nisiwachoshe kwa salamu, moja kwa moja kwenye hoja. Kuolewa ni Kuolewa tu kwa mwanamke yeyote na ni Jambo Lenye heshima yake. Na kuoa ni kuoa tu kwa Mwanaume na ni Jambo Lenye heshima yake pia kwenye jamii.

Yeyote awe Mwanaume au Mwanamke Umri wa kutimiza ndoa ukifika na Jambo hilo likatimilika basi huwa ni Heshima kwa wote waliolitimiza.

Sasa, hii Lugha inayotumika sana mwanamke Kuolewa ni 'Kumstiri' .. Kisaikolojia teyari inamuweka yeye kuwa yupo ndoani kama vile kapewa Msaada kwenye tuta.

Yaani ni Fadhila tu. Yaani kama vile Kwa Wanaume kuoa Sio hitajio la muhimu.

Ndugu zangu, Sio kwa Ubaya. Labda kuwe na ufafanuzi, hii Lugha ina Ukakasi. Ipo haja ya kutumia Maneno yenye stara Zaidi ya hili ' Kumstiri mtu'.
 
Nisiwachoshe kwa salamu, moja kwa moja kwenye hoja. Kuolewa ni Kuolewa tu kwa mwanamke yeyote na ni Jambo Lenye heshima yake. Na kuoa ni kuoa tu kwa Mwanaume na ni Jambo Lenye heshima yake pia kwenye jamii.

Yeyote awe Mwanaume au Mwanamke Umri wa kutimiza ndoa ukifika na Jambo hilo likatimilika basi huwa ni Heshima kwa wote waliolitimiza.

Sasa, hii Lugha inayotumika sana mwanamke Kuolewa ni 'Kumstiri' .. Kisaikolojia teyari inamuweka yeye kuwa yupo ndoani kama vile kapewa Msaada kwenye tuta.

Yaani ni Fadhila tu. Yaani kama vile Kwa Wanaume kuoa Sio hitajio la muhimu.

Ndugu zangu, Sio kwa Ubaya. Labda kuwe na ufafanuzi, hii Lugha ina Ukakasi. Ipo haja ya kutumia Maneno yenye stara Zaidi ya hili ' Kumstiri mtu'.
Nasimama kwenye mstari sahihi, mwanamke aolewe asiolewe kuliwa kunabaki pale pale tena cha kushangaza zaidi unakuta wanawake walio olewa kwa kishindo na mbwembwe nyingi ndiyo wanaliwa kimasikhara huko nje. Oeni tu tunawasubiri Guest na magheto hao wake zenu, hapa ni mwendo wa Kibaltazar Ebang Engonga tu.
 
Nisiwachoshe kwa salamu, moja kwa moja kwenye hoja. Kuolewa ni Kuolewa tu kwa mwanamke yeyote na ni Jambo Lenye heshima yake. Na kuoa ni kuoa tu kwa Mwanaume na ni Jambo Lenye heshima yake pia kwenye jamii.

Yeyote awe Mwanaume au Mwanamke Umri wa kutimiza ndoa ukifika na Jambo hilo likatimilika basi huwa ni Heshima kwa wote waliolitimiza.

Sasa, hii Lugha inayotumika sana mwanamke Kuolewa ni 'Kumstiri' .. Kisaikolojia teyari inamuweka yeye kuwa yupo ndoani kama vile kapewa Msaada kwenye tuta.

Yaani ni Fadhila tu. Yaani kama vile Kwa Wanaume kuoa Sio hitajio la muhimu.

Ndugu zangu, Sio kwa Ubaya. Labda kuwe na ufafanuzi, hii Lugha ina Ukakasi. Ipo haja ya kutumia Maneno yenye stara Zaidi ya hili ' Kumstiri mtu'.

Utaelewa ukikua
 
Wanawake ni watu wa kustiriwa tu. Wanashupaza shingo kujifanya haki sawa ila hawajiwezi kivyao hata chembe.

Unamstiri Vipi mtu ambaye Wewe unao Ulazima wa kuwa naye ili uweze kutengeneza Familia yako ukawa na Watoto wako?

Hapa hakuna kbs dhana ya Kumstiri mtu, hapa ipo dhana ya kila mmoja kumhitaji mwenzie..
 
Utaelewa ukikua

Jenga hoja, Kiswahili ni Lugha yenye utajiri wa Maneno.

Dhana ya kumstiri inamaanisha kumkwamua sehemu aliyokwama au Kumuepusha na dhaririko. Lakini hakuna Mwanaume anayeweza Kujenga Familia yeye pekee. Hivyo kuna kuhitajiana na Sio kustiri au kunusuru....! Lugha hiyo ni ya kumuondolea mtu thamani.
 
Unamstiri Vipi mtu ambaye Wewe unao Ulazima wa kuwa naye ili uweze kutengeneza Familia yako ukawa na Watoto wako?

Hapa hakuna kbs dhana ya Kumstiri mtu, hapa ipo dhana ya kila mmoja kumhitaji mwenzie..
Naona unachanganya Ndoa ndo Stara yenyewe, Mwanamke kutengeneza familia akiwa ndani ya ndoa inakuza sana hadhi yake kuliko akizalishwa nje lazima jamii itamnyooshea vidole
 
Haya mambo yakifika usiyacheleweshe

Kuoa /kuolewa-kustiriwa .
Kuzika/kuzikwa -kumuhifadhi
 
Hayo mambo yapo Kwa kobazi huko..sie huko hakuna hiyo misemo.

Nkitafakari huo msemo ni kama wanawake tupo uchi na tunatianaibu bila ndoa.
Msemo wa kumfanya mwanamke ajione duni,matokeo unagombea uke wenza,week hii dud lipo kwako,week ijayo Kwa mwingine Hadi zipite week tatu ndo unaliona tena kwako
 
Nisiwachoshe kwa salamu, moja kwa moja kwenye hoja. Kuolewa ni Kuolewa tu kwa mwanamke yeyote na ni Jambo Lenye heshima yake. Na kuoa ni kuoa tu kwa Mwanaume na ni Jambo Lenye heshima yake pia kwenye jamii.

Yeyote awe Mwanaume au Mwanamke Umri wa kutimiza ndoa ukifika na Jambo hilo likatimilika basi huwa ni Heshima kwa wote waliolitimiza.

Sasa, hii Lugha inayotumika sana mwanamke Kuolewa ni 'Kumstiri' .. Kisaikolojia teyari inamuweka yeye kuwa yupo ndoani kama vile kapewa Msaada kwenye tuta.

Yaani ni Fadhila tu. Yaani kama vile Kwa Wanaume kuoa Sio hitajio la muhimu.

Ndugu zangu, Sio kwa Ubaya. Labda kuwe na ufafanuzi, hii Lugha ina Ukakasi. Ipo haja ya kutumia Maneno yenye stara Zaidi ya hili ' Kumstiri mtu'.
Quran 4:34 katika Kiswahili Kiswahili | an-Nisa' 34. Wanaume ni wasimamizi wa wanawake, kwa kufadhiliwa na Mwenyezi Mungu baadhi yao juu ya baadhi, na kwa mali yao wanayo yatoa . Basi wanawake wema ni wale wenye kut'ii na wanao jilinda hata katika siri kwa kuwa Mwenyezi Mungu ameamrisha wajilinde.
 
Kumstiri hii Ni Islamic concept zaidi sio kiswahili tu Kama lugha ,pale hili neno linapotumika kweny masiala ya ndoa.
Maanake kumstiri Ni kwamba asili ya mwanamke Ni uchi kwahyo unapomuoa manake umemuepusha kwa kiasi kikubwa na kufanya zinaa ,
Kumstiri inshort sio economically haswaa japo inaweza kuwa hivyo wakati mwengne ,Ila lengo Ni umemuepusha na kuzini ovyo maana mwanamke kubadlisha wanaume Ni Kama kujidhalilisha sababu anaonyesha kile kilichofichwa kwa kila mtu , tofaut na mwanaume.
Mifano: mwanamke anapoolewa anapunguza kule kuitwa itwa hovyo na wanaume, Tena utaskia wengne wanasema mke wa mtu Yule kwahyo wanampa heshima flani hvii.
NB: mwanamke ndo rahisi kuingia kweny zinaa sababu za vishawishi vya kipesa na Ni ngumu kwake kuvumilia matamanio yake kwa mda mrefu ndo maana anaonekana yeye ndo muhitaj Zaid kwamba kastiriwa!
 
Ndoa ni zawadi ya mwanaume kwa mwanamke aliyempenda kwa dhati.
 
Hayo mambo yapo Kwa kobazi huko..sie huko hakuna hiyo misemo.

Nkitafakari huo msemo ni kama wanawake tupo uchi na tunatianaibu bila ndoa.
Msemo wa kumfanya mwanamke ajione duni,matokeo unagombea uke wenza,week hii dud lipo kwako,week ijayo Kwa mwingine Hadi zipite week tatu ndo unaliona tena kwako
Jifariji!!!

Ukiolewa bikra huna wewe umesitiriwa hiyo kuitwa kusitiriwa haimaanishi kusitiriwa ni kupata sehemu ya kula na kulala tu hapana ina maana pana zaidi.
 
hili neno linatumika zaidi na watu wa IMANI fulani(la kiimani zaidi)
Kwa jinsi nilivyowaelewa wenye imani hiyo kuna historia nyuma yake.
Ambapo huko lilikoanzia wanaume wa mji/nchi ile wengi walikuwa ni maaskari wa vita wakipigania imani yao na taifa lao kwa vita
.Wengi walikufa vitani wakaacha WANAWAKE WAJANE WENGI kutokana na athari za vita.
Ikapelekea idadi ya wanaume kupungu kuwa ndogo sana na idadi ya wanawake kuwa kubwa sana ikichangiwa na wajane wengi ambao waume zao walikufa/waliuwawa vitani.

BUSARA IKATUMIKA
Wale wanaume wachache waliobakia hai baada ya vita hata walio oa mke mmoja waongeze wake ili wa WASITIRI /kuwafadhili wale wanawake wengi wasiokuwa na waume ikiwemo wajane waliopeteza waume zao kutokana na athari za vita.Hivyo wanaume wasio oa waoe zaidi ya mke mmoja walioa waongeze kuoa wake zaidi ili KUWASITIRI wanawake.
 
Jifariji!!!

Ukiolewa bikra huna wewe umesitiriwa hiyo haimaanishi kusitiriwa ni kupata sehemu ya kula na kulala tu ina maana pana sana.

Dah, Umesema Ukiolewa bikra Huna inakuwa Umesitiriwa..! Ni hisani tu

Kwaiyo Ukiolewa na Bikra ndo Umeolewa haswa...ndo ivo?
 
Jenga hoja, Kiswahili ni Lugha yenye utajiri wa Maneno.

Dhana ya kumstiri inamaanisha kumkwamua sehemu aliyokwama au Kumuepusha na dhaririko. Lakini hakuna Mwanaume anayeweza Kujenga Familia yeye pekee. Hivyo kuna kuhitajiana na Sio kustiri au kunusuru....! Lugha hiyo ni ya kumuondolea mtu thamani.

Ngoja, sogea kidogo tu utakuja kuelewa wanawake, sina Sababu ya kujenga Hoja
 
Back
Top Bottom