jerryempire
JF-Expert Member
- Jan 4, 2017
- 5,530
- 9,550
wallah mmenifanya nmecheka kwa nguvu kwa comments zenu mpka basi zima wamenishangaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huu ukweli aliwahi kuusema mkaburu fulani rais wa africa kusini akashambuliwa eti ni mbaguzi wa rangiWafrika wanapenda kugongana kuliko kitu kingne chochote kile
Waafrika tunapenda ngono mnooooooohuu ukweli aliwahi kuusema mkaburu fulani rais wa africa kusini akashambuliwa eti ni mbaguzi wa rangi
Korona ndio ugonjwa unaotisha kwa sasa jipange funga mkanda hayo mengine mbwebwe
Sent using Jamii Forums mobile app
Comments [emoji23][emoji23]
Asante mkuu kwa maelekezo.
Nakukumbusha tuu.
Tafadhali zingatia kutoenda kwenye msongamano. Nawa mkono kwa sanitiza.
Fata maelekezo yanayotolewa na wizara kuepuka corona
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani ulivyo muuliza alikupa jibu gani..
Schedule yako ya kesho iko planned kweli?!
Kama bado ipange na uandae nguo kabisa,
Kumbuka kumuomba mola wako kabla ya kulala
Kuna mgonjwa mpya wa corona ametangazwa leo. Tujilinde kwa kunawa mikono kwa sabuni na maji tiririka
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo anakua anafikilia Deni lake la vikoba...dera na Kodi ya nyumba
Na anaona kabisa anapoondoka humpi hata mia
K,K
ndo pombe uliyokunywa leo
nani mtoto hapa acha ungeseSiku 30 za kufunga shule na vyuo hazijaisha? Maana hawa watoto wanaharibika sasa!
dah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mwenye uzi now anajutaAsante kwa taarifa nzuri ya hali ya Covid19 nchini. Ila kumbuka kuendelea kufuata maelekezo ya wataalamu ikiwemo kukaa nyumbani kwako zaidi.
Hapo kwenye kuomba mola, ni lazima?Schedule yako ya kesho iko planned kweli?!
Kama bado ipange na uandae nguo kabisa,
Kumbuka kumuomba mola wako kabla ya kulala
Option unaweza omba hata miungu au ukalala tu kama atheistHapo kwenye kuomba mola, ni lazima?
Hivi wewe Goddess kabla ya kulala kila siku ni lazima usali/uombe? I'm curious kujua.Option unaweza omba hata miungu au ukalala tu kama atheist