Mwanamke kunywa wine zaidi ya chupa moja ni uroho au kukomoana?

Mwanamke kunywa wine zaidi ya chupa moja ni uroho au kukomoana?

Hiv mtu unakunywaje chumba mbili za wine jameni,daaa,ila,wadada wa mjin ni kiti ya kawaida,kuna huyu singo maza wangu bila chupa 3 za saint anna au robertson bado hamjatoka yan,daah,..halaf sasa cha ajab mim sinyw pombe,hata kuonja yaan.mi nagonga juice hapo au tonic ,na hapo kwenye gar ana tayar kagonga chupa mbili za castle.daaa
Je angekuwa anataka kunywa Henessy v ,,mwache bana
 
Hiv mtu unakunywaje chumba mbili za wine jameni,daaa,ila,wadada wa mjin ni kiti ya kawaida,kuna huyu singo maza wangu bila chupa 3 za saint anna au robertson bado hamjatoka yan,daah,..halaf sasa cha ajab mim sinyw pombe,hata kuonja yaan.mi nagonga juice hapo au tonic ,na hapo kwenye gar ana tayar kagonga chupa mbili za castle.daaa
Yaani we acha tu ukiwa mnywaji ndo utaelewa hiyo raha ya wine inavyopita kooni, inakua murua kabisa!alafu mnalalamika sana jamani au mnataka tuanze kunywa mataptap hahahah
 
Je angekuwa anataka kunywa Henessy v ,,mwache bana
Price tag enyewe wangevunjika mguu maana hiyo wine chupa mbili tunayosimangiwa bei yake haizidi elfu 20,ukinunua kwenye liquor store.Woiii watuache
 
Asee acha,kuna kuku hyo inaitwa changamoto,wanapika roast ya kuku ya vitunguu tupu,vinakua viing,asee ni tam balaa,haina nyanya hyo,hyo vitunguu tup,bas huyu singo maza wangu,yaan anaanza kukukumbushia kwenye gar,nna ham ya changamoto,..bas nakaaga kimyaaa.sina jinsi
Mi kuna siku tuliitwa na rafiki yangu sehemu ,,hotel nzurii kweli ,akaniambia Dina leo naomba tule haswa na kunywaa,aisee tulivyofika tu tukaulizwa chakula gan tule kabla ya pombr,,tukaagiza kuku na samaki,,tukala,,tukaagia savanna mi nikawa nakunywa robertson,mara ninywe whisky ,,halaf whisky inaleta njaa sana,,tukaagiza msosi round ya pili,,tukahama kiwanja ,tulivyofika huko tukaagiza tena msosi wa tatu,,yule baba akasema sijawah kukutana na watoto wanakula hivi hahaha wala sie hatukumjali tukaendelea kunywa tu,,bili ilivyokuja kunchanganya na vinywaji wanavyokunywa wao vya gharama ikasoma laki 7 na nusu,,ahahahah
 
Wala simnyanyasi,huyu dada ungemjua hata wew unge mind,anapenda mambo makubwa sana,..siku ya kwanza tunatongozana namuuliza sasa twende kiwanja gan weekend,ananambia yeye kazoea kwenda kempisky kwa dj peter mo,..baada ya kumgonga nkaanza mpeleka baa za tabata kule ,mara akanipeleka kwake,ni wakawaida saaana,sku1 baada ya muda mref nkamuuliza hiv we sku ile kunambia vile ulikua unantingishaa ama nin,..yaan anapenda makuu,xmass ananambia anataka aonje ile belaire,mi hata siijui inauzwaje,nkamwambia acha hayo mambo bwana,akamind,yan ananiuz balaa,ni mshamba sjui
Ahhahaha mrekebishe tu kama una future nae,, hicho kinywaji kinauzwa laki na nusu sijajua kwa dar hahaha
 
Si unajua ile umemtoa mtu sehemu unamuulizia anahitaji kinywaji gani utasikia" Lobertson" akimaanisha Robertson.

Unaona shiyo ishu unaagiza huku wewe ukipunguza machungu kwa kunywa local bia ingawa si type yako as umezoea kunywa Heinkein,Whindhoek na vingine vya juu.

Unashangaa gashi amekunywa chupa ya kwanza ya wine chupa ya pili, chupa ya tatu, cha ajajbu zaidi anajaza glasi mpaka inataka kumwagika.

Jamani jamani huu siyo ushamba kweli jamani!

Wine ni kinywaji cha wastaarabu, kama umezoea kunywa viroba usinywe wine ili ulewe kama umekunywa viroba.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] uwo ni ufong'a sasa si kwa unywaji uwo
 
Mi kuna siku tuliitwa na rafiki yangu sehemu ,,hotel nzurii kweli ,akaniambia Dina leo naomba tule haswa na kunywaa,aisee tulivyofika tu tukaulizwa chakula gan tule kabla ya pombr,,tukaagiza kuku na samaki,,tukala,,tukaagia savanna mi nikawa nakunywa robertson,mara ninywe whisky ,,halaf whisky inaleta njaa sana,,tukaagiza msosi round ya pili,,tukahama kiwanja ,tulivyofika huko tukaagiza tena msosi wa tatu,,yule baba akasema sijawah kukutana na watoto wanakula hivi hahaha wala sie hatukumjali tukaendelea kunywa tu,,bili ilivyokuja kunchanganya na vinywaji wanavyokunywa wao vya gharama ikasoma laki 7 na nusu,,ahahahah
Halafu umetoka hapo ukaenda kulala kwako mbagala chumba hakina hata dirisha! Asubuhi unaanza kukumbuka ile hela uliokunywa na kula jana!🙂🙂🙂🙂🙂
 
Sio ballantines,ni ile bellaire ya rickross ile anayoitangaza diamond sana,...mim wala sio mkubwa,..kanizid miaka 6,am 29,..wel nafuta kaul ya singo maza,ila kwakwel hawa wadada ni changamoto,mi ananikera anapenda makuu,..bday ya mwanae kanambia nimpeleke giraffe hotel mwanae akaswimm ,imagine,nkagoma nkamwambia kwakwel hapana siko vzur,akanambia mwanae anapapenda pale alizoea kwenda,maanina nilimind ila skusema chochote,imagine mtu wa namna hyo,hata wew angekukera,..yaan experience ya singo mazas kwangu ni hovyooo kabsa.najuta,..ila,tuu ni mzur sana na anayajua mambo,ukiona mdada unampiga mashine ana squart kwa kelele huyo sio wa kumwacha,ndo hapo tu aliponteka mie,mi napenda sana ile kitu
Hahahahaha Napo unanichekesha
 
Mi kuna siku tuliitwa na rafiki yangu sehemu ,,hotel nzurii kweli ,akaniambia Dina leo naomba tule haswa na kunywaa,aisee tulivyofika tu tukaulizwa chakula gan tule kabla ya pombr,,tukaagiza kuku na samaki,,tukala,,tukaagia savanna mi nikawa nakunywa robertson,mara ninywe whisky ,,halaf whisky inaleta njaa sana,,tukaagiza msosi round ya pili,,tukahama kiwanja ,tulivyofika huko tukaagiza tena msosi wa tatu,,yule baba akasema sijawah kukutana na watoto wanakula hivi hahaha wala sie hatukumjali tukaendelea kunywa tu,,bili ilivyokuja kunchanganya na vinywaji wanavyokunywa wao vya gharama ikasoma laki 7 na nusu,,ahahahah
Maanina,...we unafkir madem wa skuhiz vishundu wanatoa wap,..wanakula kinyamaa
 
Si unajua ile umemtoa mtu sehemu unamuulizia anahitaji kinywaji gani utasikia" Lobertson" akimaanisha Robertson.

Unaona shiyo ishu unaagiza huku wewe ukipunguza machungu kwa kunywa local bia ingawa si type yako as umezoea kunywa Heinkein,Whindhoek na vingine vya juu.

Unashangaa gashi amekunywa chupa ya kwanza ya wine chupa ya pili, chupa ya tatu, cha ajajbu zaidi anajaza glasi mpaka inataka kumwagika.

Jamani jamani huu siyo ushamba kweli jamani!

Wine ni kinywaji cha wastaarabu, kama umezoea kunywa viroba usinywe wine ili ulewe kama umekunywa viroba.
Mkuu starehe gharama usilalamike
 
Back
Top Bottom