cnyorita cnyora
Member
- Jan 9, 2018
- 13
- 10
Acha kuokota okota Tafuta mwanamke anaejielewa eboooh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sehem tofauti tofauti zenye kueleweka Nenda kanisani utawapata baba.Wanapatikana wapi
Ayo mengi ni makanisa ya kilokole ya manabii wa kisasa ambapo wadada Wengi wakiwa na ham ya kuolewa hukimbilia huko na kujifanya watakatifu Ingia makanisa yanayojulikama Tangu enzi na enzi na mwanamke anaelipenda na kulijua kanisa na ana hofu ya Mungu utamjua tu kuwa makiniKanisani siku hz kuna mchanganyiko wa kuku wa kenyeji na wa kisasa..siyo pure kama zamani
Ntaku inboxAyo mengi ni makanisa ya kilokole ya manabii wa kisasa ambapo wadada Wengi wakiwa na ham ya kuolewa hukimbilia huko na kujifanya watakatifu Ingia makanisa yanayojulikama Tangu enzi na enzi na mwanamke anaelipenda na kulijua kanisa na ana hofu ya Mungu utamjua tu kuwa makini
haya mkuuMkuu hyi inaitwa changamoto,sio makange,nenda baa za tabata ndo utaikuta,makange nayajua,siyapend,changamoto ndo habar ya mjin sasa,ipo hata ya mbuzi,kitimoto etc.
Noma sanaSasa unashangaa nini wakati ndiyo staili ya maisha yetu.
Ukimtoa mtu anakomoa, yeye akiwa anajihudumia hakomoi hivyo ila tu kisa ni za mtu anaagiza asivuovijua.
Ulipaswa ushangae kama ungemtoa akapiga moja au nusu. Ndiyo ungejiuliza huyu kakulia wapi.
Wala simnyanyasi,huyu dada ungemjua hata wew unge mind,anapenda mambo makubwa sana,..siku ya kwanza tunatongozana namuuliza sasa twende kiwanja gan weekend,ananambia yeye kazoea kwenda kempisky kwa dj peter mo,..baada ya kumgonga nkaanza mpeleka baa za tabata kule ,mara akanipeleka kwake,ni wakawaida saaana,sku1 baada ya muda mref nkamuuliza hiv we sku ile kunambia vile ulikua unantingishaa ama nin,..yaan anapenda makuu,xmass ananambia anataka aonje ile belaire,mi hata siijui inauzwaje,nkamwambia acha hayo mambo bwana,akamind,yan ananiuz balaa,ni mshamba sjui
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahahaaaaa!! Ya heri kabisa mama[emoji85] [emoji85] [emoji85]
Nenda nae Water world, hapo ni free swimming 24/7, free entrance week days.Sio ballantines,ni ile bellaire ya rickross ile anayoitangaza diamond sana,...mim wala sio mkubwa,..kanizid miaka 6,am 29,..wel nafuta kaul ya singo maza,ila kwakwel hawa wadada ni changamoto,mi ananikera anapenda makuu,..bday ya mwanae kanambia nimpeleke giraffe hotel mwanae akaswimm ,imagine,nkagoma nkamwambia kwakwel hapana siko vzur,akanambia mwanae anapapenda pale alizoea kwenda,maanina nilimind ila skusema chochote,imagine mtu wa namna hyo,hata wew angekukera,..yaan experience ya singo mazas kwangu ni hovyooo kabsa.najuta,..ila,tuu ni mzur sana na anayajua mambo,ukiona mdada unampiga mashine ana squart kwa kelele huyo sio wa kumwacha,ndo hapo tu aliponteka mie,mi napenda sana ile kitu
Ishu sio kulalama pesa,ila,tunashangaa mdada unakunywa wine kama unakunywa bia,chupa3,ushamba huo,wine hunywi kulewa,ni booster tuu,sasa midada ya kibongo ,halaf unakuta hyo wine sweet sasa,yaan linapenda utam,chupa3??google matumiz ya wine,kama unataka lewa kunywa bia au pombe kaliMbona ni kitu cha kawaida sana yan mbili tu unalalama duh,wengne hapo ndo kunakucha yan!
Si unajua ile umemtoa mtu sehemu unamuulizia anahitaji kinywaji gani utasikia" Lobertson" akimaanisha Robertson.
Unaona shiyo ishu unaagiza huku wewe ukipunguza machungu kwa kunywa local bia ingawa si type yako as umezoea kunywa Heinkein,Whindhoek na vingine vya juu.
Unashangaa gashi amekunywa chupa ya kwanza ya wine chupa ya pili, chupa ya tatu, cha ajajbu zaidi anajaza glasi mpaka inataka kumwagika.
Jamani jamani huu siyo ushamba kweli jamani!
Wine ni kinywaji cha wastaarabu, kama umezoea kunywa viroba usinywe wine ili ulewe kama umekunywa viroba.
Yani unanichekesha sana,kwani umeshikiwa mtutu kuwa nae,maaana unavyolalamika kukerekwa aisee!!!Aya mapenzi mema!Sio ballantines,ni ile bellaire ya rickross ile anayoitangaza diamond sana,...mim wala sio mkubwa,..kanizid miaka 6,am 29,..wel nafuta kaul ya singo maza,ila kwakwel hawa wadada ni changamoto,mi ananikera anapenda makuu,..bday ya mwanae kanambia nimpeleke giraffe hotel mwanae akaswimm ,imagine,nkagoma nkamwambia kwakwel hapana siko vzur,akanambia mwanae anapapenda pale alizoea kwenda,maanina nilimind ila skusema chochote,imagine mtu wa namna hyo,hata wew angekukera,..yaan experience ya singo mazas kwangu ni hovyooo kabsa.najuta,..ila,tuu ni mzur sana na anayajua mambo,ukiona mdada unampiga mashine ana squart kwa kelele huyo sio wa kumwacha,ndo hapo tu aliponteka mie,mi napenda sana ile kitu