hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,678
- 63,304
haya bossInaitwa changamoto hivo hivo,triple 7 moja unapata hiyo kituuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
haya bossInaitwa changamoto hivo hivo,triple 7 moja unapata hiyo kituuu
Honestly sielewi ilikuaje maana kuna tu nilienda nikakuta pamefungwaNdiooo. Hivi Savannah iliishia vipi???
pole sana dogo, wanakuwaga hivyo wengi, ukimpa chance ya out inakuwa kama anakukomoa,
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] aiseeHawajielew,yaan wanapataga second chance halaf wanazichezea,ujue kutembea na singo maza ni kwamba umejitoa muhanga yaan,..singo maza lazma a behave,sasa yeye tayar ana uwalakini halaf bado anaish maisha yaleyale yaliyomfanya aachwe.
Ana squat duh! Afadhali anaye squirt.Sio ballantines,ni ile bellaire ya rickross ile anayoitangaza diamond sana,...mim wala sio mkubwa,..kanizid miaka 6,am 29,..wel nafuta kaul ya singo maza,ila kwakwel hawa wadada ni changamoto,mi ananikera anapenda makuu,..bday ya mwanae kanambia nimpeleke giraffe hotel mwanae akaswimm ,imagine,nkagoma nkamwambia kwakwel hapana siko vzur,akanambia mwanae anapapenda pale alizoea kwenda,maanina nilimind ila skusema chochote,imagine mtu wa namna hyo,hata wew angekukera,..yaan experience ya singo mazas kwangu ni hovyooo kabsa.najuta,..ila,tuu ni mzur sana na anayajua mambo,ukiona mdada unampiga mashine ana squart kwa kelele huyo sio wa kumwacha,ndo hapo tu aliponteka mie,mi napenda sana ile kitu
Konyagi kwa mwanamke haipendezi(maoni yangu) atleast wine inafaa kwa mwanamke....raha jipe mwenyewe nakunywa kwa raha zangu sijibani atiiiChupa nne..si unywe konyagi..au spirits..wine kiafya hutakiwi kunywa zaidi ya glasi mbili
Hata mie nilikutana na hilo pia. Atiii pamefungwa,duh!!nilichoka.Honestly sielewi ilikuaje maana kuna tu nilienda nikakuta pamefungwa
Siyo mbaya kama mtu unamfukunyua. Mimi sioni shida kutumia kama mtu ananipa utamu.Inategemeana na hyo wine unainunua wapi mkuu...bei inabadilika kulingana na eneo
Belaire 130000 Laki na thelathiniWala simnyanyasi,huyu dada ungemjua hata wew unge mind,anapenda mambo makubwa sana,..siku ya kwanza tunatongozana namuuliza sasa twende kiwanja gan weekend,ananambia yeye kazoea kwenda kempisky kwa dj peter mo,..baada ya kumgonga nkaanza mpeleka baa za tabata kule ,mara akanipeleka kwake,ni wakawaida saaana,sku1 baada ya muda mref nkamuuliza hiv we sku ile kunambia vile ulikua unantingishaa ama nin,..yaan anapenda makuu,xmass ananambia anataka aonje ile belaire,mi hata siijui inauzwaje,nkamwambia acha hayo mambo bwana,akamind,yan ananiuz balaa,ni mshamba sjui
It depend unanunulia wapi? Bei ya jumla inaanzia elfu 10 ..sasa ktk mabaa it differs ila ni kuanzia 15,000 na kuendeleaDompo bei gan?
Kumbe!![emoji85] [emoji85] [emoji85]Yaani hivi vitu tunakunywa ndio hivo tu. Vinatia nyege sana
Hahahaaaaa!! Ya heri kabisa mama[emoji85] [emoji85] [emoji85]Auntie salama sana [emoji85] hiyo salaam ya heri kweli auntie
Mkuu hyi inaitwa changamoto,sio makange,nenda baa za tabata ndo utaikuta,makange nayajua,siyapend,changamoto ndo habar ya mjin sasa,ipo hata ya mbuzi,kitimoto etc.hahaaaa eti changamoto
mkuu hiyo yaitwa MAKANGE ...daahh kwahiyo navisa vyote hvyo huyo mwanmke bado upo nae aiseee
mkuu unaroho ngumu mnoo
ukikufilisi njoo utuambie pia
Nunua zako basi.Konyagi kwa mwanamke haipendezi(maoni yangu) atleast wine inafaa kwa mwanamke....raha jipe mwenyewe nakunywa kwa raha zangu sijibani atiii
Alitaka kuniua.kumbe ndo bei yake hyo?duuh af hata lenyew nadhan lilikua halijui bei.maanina,nmekasirika tena baada ya kujua bei leoBelaire 130000 Laki na thelathini
Utakoma nae AseeHiv mtu unakunywaje chumba mbili za wine jameni,daaa,ila,wadada wa mjin ni kiti ya kawaida,kuna huyu singo maza wangu bila chupa 3 za saint anna au robertson bado hamjatoka yan,daah,..halaf sasa cha ajab mim sinyw pombe,hata kuonja yaan.mi nagonga juice hapo au tonic ,na hapo kwenye gar ana tayar kagonga chupa mbili za castle.daaa
Si bora dompo au kama hali imebana mnunulie maji ya UHAIIt depend unanunulia wapi? Bei ya jumla inaanzia elfu 10 ..sasa ktk mabaa it differs ila ni kuanzia 15,000 na kuendelea