Je angekuwa anataka kunywa Henessy v ,,mwache banaHiv mtu unakunywaje chumba mbili za wine jameni,daaa,ila,wadada wa mjin ni kiti ya kawaida,kuna huyu singo maza wangu bila chupa 3 za saint anna au robertson bado hamjatoka yan,daah,..halaf sasa cha ajab mim sinyw pombe,hata kuonja yaan.mi nagonga juice hapo au tonic ,na hapo kwenye gar ana tayar kagonga chupa mbili za castle.daaa
Yaani we acha tu ukiwa mnywaji ndo utaelewa hiyo raha ya wine inavyopita kooni, inakua murua kabisa!alafu mnalalamika sana jamani au mnataka tuanze kunywa mataptap hahahahHiv mtu unakunywaje chumba mbili za wine jameni,daaa,ila,wadada wa mjin ni kiti ya kawaida,kuna huyu singo maza wangu bila chupa 3 za saint anna au robertson bado hamjatoka yan,daah,..halaf sasa cha ajab mim sinyw pombe,hata kuonja yaan.mi nagonga juice hapo au tonic ,na hapo kwenye gar ana tayar kagonga chupa mbili za castle.daaa
Hahaha,matap tap hapana kwakwelYaani we acha tu ukiwa mnywaji ndo utaelewa hiyo raha ya wine inavyopita kooni, inakua murua kabisa!alafu mnalalamika sana jamani au mnataka tuanze kunywa mataptap hahahah
Price tag enyewe wangevunjika mguu maana hiyo wine chupa mbili tunayosimangiwa bei yake haizidi elfu 20,ukinunua kwenye liquor store.Woiii watuacheJe angekuwa anataka kunywa Henessy v ,,mwache bana
Mi kuna siku tuliitwa na rafiki yangu sehemu ,,hotel nzurii kweli ,akaniambia Dina leo naomba tule haswa na kunywaa,aisee tulivyofika tu tukaulizwa chakula gan tule kabla ya pombr,,tukaagiza kuku na samaki,,tukala,,tukaagia savanna mi nikawa nakunywa robertson,mara ninywe whisky ,,halaf whisky inaleta njaa sana,,tukaagiza msosi round ya pili,,tukahama kiwanja ,tulivyofika huko tukaagiza tena msosi wa tatu,,yule baba akasema sijawah kukutana na watoto wanakula hivi hahaha wala sie hatukumjali tukaendelea kunywa tu,,bili ilivyokuja kunchanganya na vinywaji wanavyokunywa wao vya gharama ikasoma laki 7 na nusu,,ahahahahAsee acha,kuna kuku hyo inaitwa changamoto,wanapika roast ya kuku ya vitunguu tupu,vinakua viing,asee ni tam balaa,haina nyanya hyo,hyo vitunguu tup,bas huyu singo maza wangu,yaan anaanza kukukumbushia kwenye gar,nna ham ya changamoto,..bas nakaaga kimyaaa.sina jinsi
Ni mref so haonekan kama mnene,ila angekua mfup kangekua kifutu,.anakula balaa,akija kwangu anaweza pika mboga 4,hapo kachumbar bado,Na unavumiliaa hahaha,,ni mnene?
Ahhahaha mrekebishe tu kama una future nae,, hicho kinywaji kinauzwa laki na nusu sijajua kwa dar hahahaWala simnyanyasi,huyu dada ungemjua hata wew unge mind,anapenda mambo makubwa sana,..siku ya kwanza tunatongozana namuuliza sasa twende kiwanja gan weekend,ananambia yeye kazoea kwenda kempisky kwa dj peter mo,..baada ya kumgonga nkaanza mpeleka baa za tabata kule ,mara akanipeleka kwake,ni wakawaida saaana,sku1 baada ya muda mref nkamuuliza hiv we sku ile kunambia vile ulikua unantingishaa ama nin,..yaan anapenda makuu,xmass ananambia anataka aonje ile belaire,mi hata siijui inauzwaje,nkamwambia acha hayo mambo bwana,akamind,yan ananiuz balaa,ni mshamba sjui
Eeeh mama,linajua mambo 6*6,..jeupeeee na chura ya hatarNdio uliosema unalipenda kinyamaaaa
Mhh.[emoji32]Nadhan robertson ni chache halaf hazileweshi sana,,dompo nakunywa mbili peke yangu
hahahaha basi mvumilie tu alafu unajua wine nyingi ukinywa harufu yake haikeri mdomoni!Hahaha,matap tap hapana kwakwel
[emoji23] [emoji23] [emoji23] uwo ni ufong'a sasa si kwa unywaji uwoSi unajua ile umemtoa mtu sehemu unamuulizia anahitaji kinywaji gani utasikia" Lobertson" akimaanisha Robertson.
Unaona shiyo ishu unaagiza huku wewe ukipunguza machungu kwa kunywa local bia ingawa si type yako as umezoea kunywa Heinkein,Whindhoek na vingine vya juu.
Unashangaa gashi amekunywa chupa ya kwanza ya wine chupa ya pili, chupa ya tatu, cha ajajbu zaidi anajaza glasi mpaka inataka kumwagika.
Jamani jamani huu siyo ushamba kweli jamani!
Wine ni kinywaji cha wastaarabu, kama umezoea kunywa viroba usinywe wine ili ulewe kama umekunywa viroba.
Halafu umetoka hapo ukaenda kulala kwako mbagala chumba hakina hata dirisha! Asubuhi unaanza kukumbuka ile hela uliokunywa na kula jana!πππππMi kuna siku tuliitwa na rafiki yangu sehemu ,,hotel nzurii kweli ,akaniambia Dina leo naomba tule haswa na kunywaa,aisee tulivyofika tu tukaulizwa chakula gan tule kabla ya pombr,,tukaagiza kuku na samaki,,tukala,,tukaagia savanna mi nikawa nakunywa robertson,mara ninywe whisky ,,halaf whisky inaleta njaa sana,,tukaagiza msosi round ya pili,,tukahama kiwanja ,tulivyofika huko tukaagiza tena msosi wa tatu,,yule baba akasema sijawah kukutana na watoto wanakula hivi hahaha wala sie hatukumjali tukaendelea kunywa tu,,bili ilivyokuja kunchanganya na vinywaji wanavyokunywa wao vya gharama ikasoma laki 7 na nusu,,ahahahah
Baa 15..nan akanywee kwenye liquor store..bora anywee nyumbanPrice tag enyewe wangevunjika mguu maana hiyo wine chupa mbili tunayosimangiwa bei yake haizidi elfu 20,ukinunua kwenye liquor store.Woiii watuache
Hahahahaha Napo unanichekeshaSio ballantines,ni ile bellaire ya rickross ile anayoitangaza diamond sana,...mim wala sio mkubwa,..kanizid miaka 6,am 29,..wel nafuta kaul ya singo maza,ila kwakwel hawa wadada ni changamoto,mi ananikera anapenda makuu,..bday ya mwanae kanambia nimpeleke giraffe hotel mwanae akaswimm ,imagine,nkagoma nkamwambia kwakwel hapana siko vzur,akanambia mwanae anapapenda pale alizoea kwenda,maanina nilimind ila skusema chochote,imagine mtu wa namna hyo,hata wew angekukera,..yaan experience ya singo mazas kwangu ni hovyooo kabsa.najuta,..ila,tuu ni mzur sana na anayajua mambo,ukiona mdada unampiga mashine ana squart kwa kelele huyo sio wa kumwacha,ndo hapo tu aliponteka mie,mi napenda sana ile kitu
Maanina,...we unafkir madem wa skuhiz vishundu wanatoa wap,..wanakula kinyamaaMi kuna siku tuliitwa na rafiki yangu sehemu ,,hotel nzurii kweli ,akaniambia Dina leo naomba tule haswa na kunywaa,aisee tulivyofika tu tukaulizwa chakula gan tule kabla ya pombr,,tukaagiza kuku na samaki,,tukala,,tukaagia savanna mi nikawa nakunywa robertson,mara ninywe whisky ,,halaf whisky inaleta njaa sana,,tukaagiza msosi round ya pili,,tukahama kiwanja ,tulivyofika huko tukaagiza tena msosi wa tatu,,yule baba akasema sijawah kukutana na watoto wanakula hivi hahaha wala sie hatukumjali tukaendelea kunywa tu,,bili ilivyokuja kunchanganya na vinywaji wanavyokunywa wao vya gharama ikasoma laki 7 na nusu,,ahahahah
Namaqua inauzwa sh.ngapiAlta inanishinda ka sukari sijui nisemeje yaani. Namaqua sweet tho lakini naona haichoshi sana.
Mbiti jaribu namaqua red iwe sweet sio dry lakini...
Kwa kero hiz,sina future nae.Ahhahaha mrekebishe tu kama una future nae,, hicho kinywaji kinauzwa laki na nusu sijajua kwa dar hahaha
Mr Mtui inaelekea ulisomea economicsUkishamjulia usimpeleke viwanja vya gharama...au uwe unaziweka ndani akija anazikuta...
Hakuna namna,ndo mnapotuteka hapo,tunasahau yote,..ihimidiwe papuch.Hahahahaha Napo unanichekesha
Mkuu starehe gharama usilalamikeSi unajua ile umemtoa mtu sehemu unamuulizia anahitaji kinywaji gani utasikia" Lobertson" akimaanisha Robertson.
Unaona shiyo ishu unaagiza huku wewe ukipunguza machungu kwa kunywa local bia ingawa si type yako as umezoea kunywa Heinkein,Whindhoek na vingine vya juu.
Unashangaa gashi amekunywa chupa ya kwanza ya wine chupa ya pili, chupa ya tatu, cha ajajbu zaidi anajaza glasi mpaka inataka kumwagika.
Jamani jamani huu siyo ushamba kweli jamani!
Wine ni kinywaji cha wastaarabu, kama umezoea kunywa viroba usinywe wine ili ulewe kama umekunywa viroba.