Mwanamke kunywa wine zaidi ya chupa moja ni uroho au kukomoana?

Mwanamke kunywa wine zaidi ya chupa moja ni uroho au kukomoana?

alter ni kali !ni bora uagize hyo km we ni mnyonyaji wa wine ! mie wine napeleka !ndo maana uangalie unatoka na nan !akuu ! mie nitaagiza kwa hela yangu mrad ninywe tu !pyee ka 15000 kanakutoa jashoooooooooo na gubu juu !lol
Elf15 unakunywa 3,hujala hapo,na mnakula kwel,kuku makange,kukuchoma,n
 
mkuu nadhani lengo kubwa la huu uzi ni kwamba huyo gash alikuingizia gharama ambazo sizo, ndio maana umekuja kulalamika..... pia robertson ipo light sana, kwa hawa manguli wa pombe akinywa nne ni kama juice tu.....
cku ingine mwambie anywe dompo, overmeer, amarula, somehow zina stim.
 
mkuu nadhani lengo kubwa la huu uzi ni kwamba huyo gash alikuingizia gharama ambazo sizo, ndio maana umekuja kulalamika..... pia robertson ipo light sana, kwa hawa manguli wa pombe akinywa nne ni kama juice tu.....
cku ingine mwambie anywe dompo, overmeer, amarula, somehow zina stim.
Dompo hawapenda wase** hawa
 
alter ni kali !ni bora uagize hyo km we ni mnyonyaji wa wine ! mie wine napeleka !ndo maana uangalie unatoka na nan !akuu ! mie nitaagiza kwa hela yangu mrad ninywe tu !pyee ka 15000 kanakutoa jashoooooooooo na gubu juu !lol
Alta inanishinda ka sukari sijui nisemeje yaani. Namaqua sweet tho lakini naona haichoshi sana.
Mbiti jaribu namaqua red iwe sweet sio dry lakini...
 
Elf15 unakunywa 3,hujala hapo,na mnakula kwel,kuku makange,kukuchoma,n
muwe mnajiongeza !ukiona upo na mnywaj msikae sehem hizo chukua wine yako moja na oda msos nenden ndan !lazima utamlimit tu ! wee ninywe 1 na huku naziona kwa kazi gan sasa !
bdw wengine hawapend kubanjuliwa anatake time anywe pombe kumbe we ndo anakumaliza kifweza!
 
bas mie na usukari wake na mix na koka !namaqua nimeisahau mdomo ipoje !km dry mie siwezag
Afadhali ako una imix,mie nagongaga dry dry ndio maana inanishinda. Anyway I will try your way[emoji12]
Namaqua red ipo sweet na dry,sasa we jaribu sweet since mpenda utamu utamu kama mie[emoji39]uta enjoy dear. I can't give you ngumu kumesa,try it dear.
 
mkuu nadhani lengo kubwa la huu uzi ni kwamba huyo gash alikuingizia gharama ambazo sizo, ndio maana umekuja kulalamika..... pia robertson ipo light sana, kwa hawa manguli wa pombe akinywa nne ni kama juice tu.....
cku ingine mwambie anywe dompo, overmeer, amarula, somehow zina stim.
Kama saint Anna Nina rafiki angu hata 5 anamaliza that girl
 
Sio ballantines,ni ile bellaire ya rickross ile anayoitangaza diamond sana,...mim wala sio mkubwa,..kanizid miaka 6,am 29,..wel nafuta kaul ya singo maza,ila kwakwel hawa wadada ni changamoto,mi ananikera anapenda makuu,..bday ya mwanae kanambia nimpeleke giraffe hotel mwanae akaswimm ,imagine,nkagoma nkamwambia kwakwel hapana siko vzur,akanambia mwanae anapapenda pale alizoea kwenda,maanina nilimind ila skusema chochote,imagine mtu wa namna hyo,hata wew angekukera,..yaan experience ya singo mazas kwangu ni hovyooo kabsa.najuta,..ila,tuu ni mzur sana na anayajua mambo,ukiona mdada unampiga mashine ana squart kwa kelele huyo sio wa kumwacha,ndo hapo tu aliponteka mie,mi napenda sana ile kitu


ha ha ha ha ha ! mbn easy tu kumbadilisha ? yaan haujajua tu wanawake saikolojia zao !yaan mwenzako anataka kuwaprove watu wrong kuwa hajiwezi ! easy sana !tafuta kaswim pool kengine kasiko na bei mzoeshe kwenda na mwanaye pale !'nyee'(in hehe voice) muwaonee huruma na wao wanahitaj kupendwa!
 
Afadhali ako una imix,mie nagongaga dry dry ndio maana inanishinda. Anyway I will try your way[emoji12]
Namaqua red ipo sweet na dry,sasa we jaribu sweet since mpenda utamu utamu kama mie[emoji39]uta enjoy dear. I can't give you ngumu kumesa,try it dear.

si ndio hizi wanazokuwaga nazo maharusin! nitajaribu ! try at ur own risk !lol
 
Back
Top Bottom