Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Elf15 unakunywa 3,hujala hapo,na mnakula kwel,kuku makange,kukuchoma,nalter ni kali !ni bora uagize hyo km we ni mnyonyaji wa wine ! mie wine napeleka !ndo maana uangalie unatoka na nan !akuu ! mie nitaagiza kwa hela yangu mrad ninywe tu !pyee ka 15000 kanakutoa jashoooooooooo na gubu juu !lol
Dompo hawapenda wase** hawamkuu nadhani lengo kubwa la huu uzi ni kwamba huyo gash alikuingizia gharama ambazo sizo, ndio maana umekuja kulalamika..... pia robertson ipo light sana, kwa hawa manguli wa pombe akinywa nne ni kama juice tu.....
cku ingine mwambie anywe dompo, overmeer, amarula, somehow zina stim.
Alta inanishinda ka sukari sijui nisemeje yaani. Namaqua sweet tho lakini naona haichoshi sana.alter ni kali !ni bora uagize hyo km we ni mnyonyaji wa wine ! mie wine napeleka !ndo maana uangalie unatoka na nan !akuu ! mie nitaagiza kwa hela yangu mrad ninywe tu !pyee ka 15000 kanakutoa jashoooooooooo na gubu juu !lol
Alta inanishinda ka sukari sijui nisemeje yaani. Namaqua sweet tho lakini naona haichoshi sana.
muwe mnajiongeza !ukiona upo na mnywaj msikae sehem hizo chukua wine yako moja na oda msos nenden ndan !lazima utamlimit tu ! wee ninywe 1 na huku naziona kwa kazi gan sasa !Elf15 unakunywa 3,hujala hapo,na mnakula kwel,kuku makange,kukuchoma,n
hahahah nimecheka jaman !nahis mdada km wa kinyaki vile au kihehe !lolHa ha ha ha.. Lobertson jomoni
Afadhali ako una imix,mie nagongaga dry dry ndio maana inanishinda. Anyway I will try your way[emoji12]bas mie na usukari wake na mix na koka !namaqua nimeisahau mdomo ipoje !km dry mie siwezag
Kama saint Anna Nina rafiki angu hata 5 anamaliza that girlmkuu nadhani lengo kubwa la huu uzi ni kwamba huyo gash alikuingizia gharama ambazo sizo, ndio maana umekuja kulalamika..... pia robertson ipo light sana, kwa hawa manguli wa pombe akinywa nne ni kama juice tu.....
cku ingine mwambie anywe dompo, overmeer, amarula, somehow zina stim.
namaqua dry safi sana. Huwa sipendagi zenye utamubas mie na usukari wake na mix na koka !namaqua nimeisahau mdomo ipoje !km dry mie siwezag
Sio ballantines,ni ile bellaire ya rickross ile anayoitangaza diamond sana,...mim wala sio mkubwa,..kanizid miaka 6,am 29,..wel nafuta kaul ya singo maza,ila kwakwel hawa wadada ni changamoto,mi ananikera anapenda makuu,..bday ya mwanae kanambia nimpeleke giraffe hotel mwanae akaswimm ,imagine,nkagoma nkamwambia kwakwel hapana siko vzur,akanambia mwanae anapapenda pale alizoea kwenda,maanina nilimind ila skusema chochote,imagine mtu wa namna hyo,hata wew angekukera,..yaan experience ya singo mazas kwangu ni hovyooo kabsa.najuta,..ila,tuu ni mzur sana na anayajua mambo,ukiona mdada unampiga mashine ana squart kwa kelele huyo sio wa kumwacha,ndo hapo tu aliponteka mie,mi napenda sana ile kitu
uh mie wine dry weka mbali na mm !siweznamaqua dry safi sana. Huwa sipendagi zenye utamu
au men yuko busy na kuangalia mpira !lazima ashuke aiseeHizo wine tatu amekunywa kwa dakika 10? Msije kuwa mmekaa sehemu masaa sita halafu unalalamika kanywa chupa tatu.
Haya ni matatizo ndio yaliyowafanya wakawa masingomaza(Single Mother). Wanafikiri wanakomoa kumbe ndio wanapunguza points za kuolewadaa kwanini mnawaandamaga sana single mother mkuu
Afadhali ako una imix,mie nagongaga dry dry ndio maana inanishinda. Anyway I will try your way[emoji12]
Namaqua red ipo sweet na dry,sasa we jaribu sweet since mpenda utamu utamu kama mie[emoji39]uta enjoy dear. I can't give you ngumu kumesa,try it dear.