Ati nini? Kwa hiyo bado sijayaanza maisha eeeh[emoji848]kitu ambacho hujui ni kwamba wanawake wanaanza maisha baada ya kuolewa
Wengine wana matatizo ya uzaziKwanini mwanaume ukishakuwa na kila kitu hela umaarufu na elimu lakini bado unataka mwanamke wa kuoa!kwanini usiamue kuwa unalala na wanawake mbali mbali bila kuoa???
Bila shaka ushawahi kusikia mwanamke anawahi kukua! wakati mwanaume ana miaka 30 inabidi aoe binti aliyemzidi miaka 5-10 kwa mwanamke ni tofauti.
Wote mnatoka university,mkiwa na miaka 23-27 lakini mwanaume anaweZa kuamua kutokuoa hadi akifika miaka 30-35 mbegu zipo za uhakika lakini kwa mwanamke ni tofauti kdg akisema aolewe na miaka 30 ni sawa kabisa sema kimaumbile kuanza kupata watoto na miaka 30+ sio vyema sana na hataweza kuweka ile range nzuri ya watoto .Tuseme mtoto wa kwanzA kapata akiwa na miaka 30 wapili 33 watatu miaka 36 hapo wanne ni mtihani..
All in All,Ndo ni kitu muhimu sana kwa wote mwanamke na mwanaume hivyo wache wadada wapende kuolewa kikubwa wasilazimishe ndoa ila binadamu mwenye afya yake nzuri ya akili,hisia na mwili anahitaji kupata life partner na si ajabu.
Why stress kwao?Umri unawaandama sana wao kuliko sisi.Mwanamke akigonga 30 kiafya inapendeza awe kesha malizana na mambo ya uzazi sasa azae azae hovyo bila mpangilio?????jibu linakuja hapana,solution ndo wanakimbilia kufuata utaratibu sahihi ambao ni ndoa then watoto.
Ningekuwa raisi leo hii jioni pale ikulu chamwino ningekuwa na hafla fupi ya kukuapisha kuwa waziri wa ustawi wa jamii, jinsia na watoto.Kwanini mwanaume ukishakuwa na kila kitu hela umaarufu na elimu lakini bado unataka mwanamke wa kuoa!kwanini usiamue kuwa unalala na wanawake mbali mbali bila kuoa???
Bila shaka ushawahi kusikia mwanamke anawahi kukua! wakati mwanaume ana miaka 30 inabidi aoe binti aliyemzidi miaka 5-10 kwa mwanamke ni tofauti.
Wote mnatoka university,mkiwa na miaka 23-27 lakini mwanaume anaweZa kuamua kutokuoa hadi akifika miaka 30-35 mbegu zipo za uhakika lakini kwa mwanamke ni tofauti kdg akisema aolewe na miaka 30 ni sawa kabisa sema kimaumbile kuanza kupata watoto na miaka 30+ sio vyema sana na hataweza kuweka ile range nzuri ya watoto .Tuseme mtoto wa kwanzA kapata akiwa na miaka 30 wapili 33 watatu miaka 36 hapo wanne ni mtihani..
All in All,Ndo ni kitu muhimu sana kwa wote mwanamke na mwanaume hivyo wache wadada wapende kuolewa kikubwa wasilazimishe ndoa ila binadamu mwenye afya yake nzuri ya akili,hisia na mwili anahitaji kupata life partner na si ajabu.
Why stress kwao?Umri unawaandama sana wao kuliko sisi.Mwanamke akigonga 30 kiafya inapendeza awe kesha malizana na mambo ya uzazi sasa azae azae hovyo bila mpangilio?????jibu linakuja hapana,solution ndo wanakimbilia kufuata utaratibu sahihi ambao ni ndoa then watoto.
Umri haujafika. Ignorance is a bliss. Au kwa kiswahili tunasema kutokujua hatari ya jambo lolote inakupa aman ya muda tu......Binafsi kuolewa sijakupa kipaumbele sana kwenye maisha yangu.
Nadhani mleta mada hakuanzisha huu uzi kuzungumzia watu wenye matatizo ya kiafya ambao sote, mimi na wewe pamoja na mleta mada tunajua ni wazi hatuwezi kuwauliza hilo swali na tukijua wazi wanamatatizo.Wengine wana matatizo ya uzazi
Ni viherehere vya baadhi ya watu na kufuata mikumbo mfano juzijuzi hapa Jokate alipost akisheherekea kumaliza masomo yake na kupokea shahada yake ila baada tu ya kupost comment kama "hongera mh umepata cheti cha masomo bado endelea kupambana upate na cha ndoa " yani i was like ina maana hii elimu ya uongozi alioipata hawaoni umuhimu wake !!?Kwa nini mwanamke kuolewa inaonekana ni jambo muhimu, kipaumbele, heshima na mafanikio makubwa kuliko kupata PhD, kujenga nyumba yake,.kumiliki biashara yake, kuwa boss wa kampuni kubwa n.k?
Mafanikio makubwa si yale ambayo mtu anayapata kupitia jitihada zake mwenyewe kuliko yale ya kupewa au kusubiria maamuzi ya mtu mwingine?
Kwa nini wanawake ambao wanaamini wanachelewa kuolewa huwa katika pressure kubwa sana ukilinganisha na wanaume?
Wapi huko ambako watu hawapendi kuoana???jamii yetu bado wanaona mwanamke ukiolewa umekuwa umegain kitu kikubwa tu
So how is true of what of your sayingMaisha yana "fakes" nyingi sana kama pesa, mali, majumba, starehe.
Lakini kiuhalisia utakuja kugundua maisha yanahitaji LOVE ( UPENDO ), AMANI na FURAHA.
Ukiwa na mtu anayeweza:
- Kusimama na wewe katika nyakati ngumu,
- Kukutia moyo
- Kukupenda
Nakuhakikishia utahisi you have the world hata kama hujala siku 2
Ukitaka kujua hili, siku ukiwa very stressed au deppressed, hebu chukua simu yako mpigie mtu unayempenda, eithet awe:
- Mama
- Baba
- Mwanao
- Mpenzi
- Mjomba
- Rafiki
Utajihisi moyo unapoa tuliiii
Ndio maana hata wagonjwa, huko hospitalini akioneshwa upendo anakuwa poa mnooo.
Hii siri ya upendo, hamasa na matumaini inatumiwa sana na:
- Viongozi wa dini
- Motivational speakers
Hakuna jambo zuri kama kuambiwa Nakupenda, kutoka kwa mtu umpendae.
Ukiwa bado kijana, una nguvu mbwembwe zinakuwa nyingi. Ila itafikia stage hata kukaa mjini utaona kelele, hata ukiwa na majumba 600 utalala kwenye chumba kimoja. Na wakati huo utahitaji kuwa na mtu wa karibu siyo tena kampani za Bar na Night clubs.
Family! family! family! Is irreplaceable.
Vitu vingine kama midegree, sijui vyeo ni vitu artificial vya kutengeneza tu.
Tafuta utapata.Wapi huko ambako watu hawapendi kuoana???
Kwanini mwanaume ukishakuwa na kila kitu hela umaarufu na elimu lakini bado unataka mwanamke wa kuoa!kwanini usiamue kuwa unalala na wanawake mbali mbali bila kuoa???
Bila shaka ushawahi kusikia mwanamke anawahi kukua! wakati mwanaume ana miaka 30 inabidi aoe binti aliyemzidi miaka 5-10 kwa mwanamke ni tofauti.
Wote mnatoka university,mkiwa na miaka 23-27 lakini mwanaume anaweZa kuamua kutokuoa hadi akifika miaka 30-35 mbegu zipo za uhakika lakini kwa mwanamke ni tofauti kdg akisema aolewe na miaka 30 ni sawa kabisa sema kimaumbile kuanza kupata watoto na miaka 30+ sio vyema sana na hataweza kuweka ile range nzuri ya watoto .Tuseme mtoto wa kwanzA kapata akiwa na miaka 30 wapili 33 watatu miaka 36 hapo wanne ni mtihani..
All in All,Ndo ni kitu muhimu sana kwa wote mwanamke na mwanaume hivyo wache wadada wapende kuolewa kikubwa wasilazimishe ndoa ila binadamu mwenye afya yake nzuri ya akili,hisia na mwili anahitaji kupata life partner na si ajabu.
Why stress kwao?Umri unawaandama sana wao kuliko sisi.Mwanamke akigonga 30 kiafya inapendeza awe kesha malizana na mambo ya uzazi sasa azae azae hovyo bila mpangilio?????jibu linakuja hapana,solution ndo wanakimbilia kufuata utaratibu sahihi ambao ni ndoa then watoto.
Hizi analysis zimetulia sanaaa ila ni kutoka kwa ME.. ebu sasa tupate KE mmoja alete hapa uchambuzi wa maana tujue sabb za msingi.Maisha yana "fakes" nyingi sana kama pesa, mali, majumba, starehe.
Lakini kiuhalisia utakuja kugundua maisha yanahitaji LOVE ( UPENDO ), AMANI na FURAHA.
Ukiwa na mtu anayeweza:
- Kusimama na wewe katika nyakati ngumu,
- Kukutia moyo
- Kukupenda
Nakuhakikishia utahisi you have the world hata kama hujala siku 2
Ukitaka kujua hili, siku ukiwa very stressed au deppressed, hebu chukua simu yako mpigie mtu unayempenda, eithet awe:
- Mama
- Baba
- Mwanao
- Mpenzi
- Mjomba
- Rafiki
Utajihisi moyo unapoa tuliiii
Ndio maana hata wagonjwa, huko hospitalini akioneshwa upendo anakuwa poa mnooo.
Hii siri ya upendo, hamasa na matumaini inatumiwa sana na:
- Viongozi wa dini
- Motivational speakers
Hakuna jambo zuri kama kuambiwa Nakupenda, kutoka kwa mtu umpendae.
Ukiwa bado kijana, una nguvu mbwembwe zinakuwa nyingi. Ila itafikia stage hata kukaa mjini utaona kelele, hata ukiwa na majumba 600 utalala kwenye chumba kimoja. Na wakati huo utahitaji kuwa na mtu wa karibu siyo tena kampani za Bar na Night clubs.
Family! family! family! Is irreplaceable.
Vitu vingine kama midegree, sijui vyeo ni vitu artificial vya kutengeneza tu.