cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tobaaa[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Bora kubaki single[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tobaaa[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Bora kubaki single[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] haya bana we maliza mchezo na watoto wenzio mi utanikuta kituo cha mbele huku ukishakua
Yaani yule akili hana[emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Haya bana mi nimeyachukua maneno yako positively na yako katika kumbukumbu! Ntakukumbusha siku moja huko mbeleni[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Bahati mbaya sichezi na watoto.
Namsubiri mmoja atakayekuwa wa uhakika..muda wa kucheza sina,kucheza ni dhambi[emoji23][emoji23][emoji23]
Lazima nije kumtendea haki mtoto wa watu atakayejitoa kimasomaso.
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Sawasawa[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]Haya bana mi nimeyachukua maneno yako positively na yako katika kumbukumbu! Ntakukumbusha siku moja huko mbeleni
Bado hujakua.Binafsi kuolewa sijakupa kipaumbele sana kwenye maisha yangu.
Hujakosea.Bado hujakua.
Bado yupo anapigania ujinga wake, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bado yupo anapigania ujinga wake, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa nini mwanamke kuolewa inaonekana ni jambo muhimu, kipaumbele, heshima na mafanikio makubwa kuliko kupata PhD, kujenga nyumba yake, kumiliki biashara yake, kuwa boss wa kampuni kubwa n.k?
Mafanikio makubwa si yale ambayo mtu anayapata kupitia jitihada zake mwenyewe kuliko yale ya kupewa au kusubiria maamuzi ya mtu mwingine?
Kwa nini wanawake ambao wanaamini wanachelewa kuolewa huwa katika pressure kubwa sana ukilinganisha na wanaume?
Son, kupata furaha ya kweli ni lazima upate combination ya mambo mengi ktk maisha yako, ndoa yenye furaha at your age of 40yrs amongst them.Na furaha ya kweli inaanza na mtu mmoja mmoja
Kuoa ni mpango wa Mungu waliowekewa wanapokea pasipo hofu wala Shaka kwa kuwa Mungu ndiye mwanzilishi wa ndoa .
Ukiwa na Raha na upendo toka ndani yako hata ndoa itareflect
Naomba wote fuateni ushauri huu.Ni fikra au itikadi za kiimani ambayo imeshaweka tangia enzi na enzi na inatuathiri mpaka leo.
Ndoa ni makubaliano ,kihalalisho au kithibitisho katika jamii kwamba wawili hawa wapo pamoja officially.
Ndoa ni muhimu ijengwe na msingi wa upendo,vingenevyo inakuwa pambo tu na inapoteza mantiki na ladha ya ndoa.So umri haupaswi kuwa kigezo katika ndoa ndo maana wapo wanaofunga ndoa za uzeeni.
Ndoa nyingi hazidumu kwasababu zinafungwa kwa minadhiri potofu aidha umri umekwenda au kufata mkumbo.
Ndoa sio ya kila mtu.Naweza kusema ni fani ambayo si kila mja anaimudu ndo maana ndoa nyingi hazidumu.Kuna watu walivyoumbwa ipo katika asili yao hawezi kudumu na mtu mmoja sasa hapo kutakuwa na ndoa? labda ya mitala!
Tuwe na uelewa sio watu sote wanaipa ndoa kipaumbele au wanataka ndoa.Hii inaweza kutokana na sababu tofauti mfano mtu ameexperience ndoa alofunga mwanzo haikuenda vizuri na baada ya hapo hataki kabisa kusikia habari hio.Au ameona wazazi wake au watu wanaomzunguka wanavyohenyeka katika ndoa so haoni umuhimu!
Kuna baadhi ya nchi za magharibi kutokufunga ndoa ni jambo la kawaida yaani watu wanaishi pamoja kama mke na mume miaka nenda miaka rudi lkn hamna ndoa.Kama kujijenga wanajijenga na kuzaa wanazaa ila wanaandikiana contract ili wakiachana wanagawana mali n.k